Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Kocha Yuko vizuri ila anahitaji kujirekebisha maeneo fulani hasa ya kuchagua wachezaji sahihi na kufanya Sub sahihi na kwa wakati.
Washambuliaji kama Mwaikimba, ni vigumu kupatikana kwa urahisi, vijana wengi wenye nguvu na akili za kucheza Mpira wanachagua kusoma na kufanya biashara.
Badala ya kucheza mpira ambao kwao wanauona bado hauna security ya uhakika ya maisha yao.
Washambuliaji kama Mwaikimba, ni vigumu kupatikana kwa urahisi, vijana wengi wenye nguvu na akili za kucheza Mpira wanachagua kusoma na kufanya biashara.
Badala ya kucheza mpira ambao kwao wanauona bado hauna security ya uhakika ya maisha yao.