SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,841
- 1,843
(mode hii ni ya ki intelijensia zaidi, usiihamishe plse)
Usiku Yesu alipokamatwa alifikishwa mbele ya wafuatao kwa mashtaka, Caiaphas - Kuhani mkuu (na aliye agiza yesu akamatwe na pia ndiye aliandaa mashtaka), Annas - Kuhani mkuu mstaafu, na Sanhedrini - Baraza la makuhani. Kwa kuwa hawa ni viongozi wa kidini Yesu hapa alishtakiwa kwa makosa mawili;
1. Kufuru (blasphemy), 2. Kajitangaza kuwa ni mwana wa Mungu na Messiah
Baadaye akapelekwa kwa kwa Pilato, na huko mashtaka ghafla yakabadilika na kuwa matatu yafuatayo;
- Kutaharakisha jamii na kusababisha uasi (rioting)
- Kukataza watu kulipa kodi
- Kujitangaaza kuwa ni mfalme wa wayahudi (uhaini).
Makosa haya chini ya utawala wa Rumi adhabu yake ni kifo;
Hapa tunaona mashtaka yanabadilishwa kwa sababu nia ya Caiaphas ilikuwa yesu afe na kwa kuwa bataza la makuhani halina mamlaka ya kutoa hukumu ya kifo na pia mashtaka ya kwanza hayakuwa na mashiko wala hayakuwahusu watawala (Rumi), akaona ni vyema abadilishe mashtaka ili apate uhalali wa kumfikisha yesu mbele ya pilato (Gavana) na pia apate hukumu ya kifo.
Kumbuka yesu alikamatwa na askari wa hekalu (temple guards) kwa maagizo ya caiaphas na si askari wa utawala wa Rumi
Kesi ya Yesu chini ya viongozi wa kidini (kuhani mkuu na baraza la makuhani) iligubikwa na uvunjifu wa sheria za kiyahudi katika hali ya juu na waziwazi kiasi cha kutisha. Yafuatayo yalikiukwa kwa mujibu wa sheria za wayahudi za wakati huo;
1. Haikuruhusiwa kesi/shauri lolote kuendeshwa wakati wa sikukuu au maandalio ya sikukuu (No trial was to be held during feast time) lakini haohao viongozi wa sheria za kiyahudi waliendesha shauri la yesu wakati wa sikukuu ya pasaka
2. Kila mjumbe wa baraza alipaswa kupiga kura binafsi wakati wa maamuzi yeyote ya hukumu ( Each member of the court was to vote individually to convict or acquit) lakini yesu alihukumiwa kwa kura ya pamoja (but Jesus was convicted by acclamation.)
3. Kama mtu akihukumiwa kifo, hukumu hiyo itatekelezwa siku ifuatayo (If the death penalty was given, a night must pass before the sentence was carried out) lakini yesu alihukumiwa na hukumu ilitekelezwa muda mfupi tu baada ya hukumu kutolewa.
4. Wayahudi hawakuwa na mamlaka ya kutoa hukumu ya kifo, lakini hukumu ya yesu ilipendekezwa na wayahudi na wakampeleka kwa pilato kuomba ruhusa ya utekelezaji (The Jews had no authority to execute anyone.)
5. Haikuruhusiwa shauri lolote kuendeshwa wakati wa usiku (No trial was to be held at night) lakini shauri la yesu liliendeshwa usiku.
6. Mtuhumiwa yeyote alipaswa kupewa uwakilishi na uhuru wa kuleta mashahidi ( The accused was to be given counsel or representation) lakini yesu hakupewa nafasi hii.
7. Mashtaka ya mtuhumiwa yalipaswa kubakia hayo hayo katika kila hatua ya kesi, lakini yesu mashtaka yake yalibadilika kila stage ya kesi.
Kimsingi kesi ya Yesu ndo kesi iliyoongoza kwa uvunjifu wa sheria na utaratibu wa kuendesha mashauri na kesi na rekodi hiyo haijavunjwa mpaka leo.
Note: Uchambuzi huu ume base kutoka, (John 18:19-24; Matthew 26:57, John18:23, Luke 23:7, Luke 23:11-12, John 18:28, Luke 23:7, Luke 23:11-12, Luke23:25 na sheria za kiyahudi ni kwa mujibu wa mwanahistoria na mwandishi nguli Josephus aliyeishi wakati wa Yesu.)
Usiku Yesu alipokamatwa alifikishwa mbele ya wafuatao kwa mashtaka, Caiaphas - Kuhani mkuu (na aliye agiza yesu akamatwe na pia ndiye aliandaa mashtaka), Annas - Kuhani mkuu mstaafu, na Sanhedrini - Baraza la makuhani. Kwa kuwa hawa ni viongozi wa kidini Yesu hapa alishtakiwa kwa makosa mawili;
1. Kufuru (blasphemy), 2. Kajitangaza kuwa ni mwana wa Mungu na Messiah
Baadaye akapelekwa kwa kwa Pilato, na huko mashtaka ghafla yakabadilika na kuwa matatu yafuatayo;
- Kutaharakisha jamii na kusababisha uasi (rioting)
- Kukataza watu kulipa kodi
- Kujitangaaza kuwa ni mfalme wa wayahudi (uhaini).
Makosa haya chini ya utawala wa Rumi adhabu yake ni kifo;
Hapa tunaona mashtaka yanabadilishwa kwa sababu nia ya Caiaphas ilikuwa yesu afe na kwa kuwa bataza la makuhani halina mamlaka ya kutoa hukumu ya kifo na pia mashtaka ya kwanza hayakuwa na mashiko wala hayakuwahusu watawala (Rumi), akaona ni vyema abadilishe mashtaka ili apate uhalali wa kumfikisha yesu mbele ya pilato (Gavana) na pia apate hukumu ya kifo.
Kumbuka yesu alikamatwa na askari wa hekalu (temple guards) kwa maagizo ya caiaphas na si askari wa utawala wa Rumi
Kesi ya Yesu chini ya viongozi wa kidini (kuhani mkuu na baraza la makuhani) iligubikwa na uvunjifu wa sheria za kiyahudi katika hali ya juu na waziwazi kiasi cha kutisha. Yafuatayo yalikiukwa kwa mujibu wa sheria za wayahudi za wakati huo;
1. Haikuruhusiwa kesi/shauri lolote kuendeshwa wakati wa sikukuu au maandalio ya sikukuu (No trial was to be held during feast time) lakini haohao viongozi wa sheria za kiyahudi waliendesha shauri la yesu wakati wa sikukuu ya pasaka
2. Kila mjumbe wa baraza alipaswa kupiga kura binafsi wakati wa maamuzi yeyote ya hukumu ( Each member of the court was to vote individually to convict or acquit) lakini yesu alihukumiwa kwa kura ya pamoja (but Jesus was convicted by acclamation.)
3. Kama mtu akihukumiwa kifo, hukumu hiyo itatekelezwa siku ifuatayo (If the death penalty was given, a night must pass before the sentence was carried out) lakini yesu alihukumiwa na hukumu ilitekelezwa muda mfupi tu baada ya hukumu kutolewa.
4. Wayahudi hawakuwa na mamlaka ya kutoa hukumu ya kifo, lakini hukumu ya yesu ilipendekezwa na wayahudi na wakampeleka kwa pilato kuomba ruhusa ya utekelezaji (The Jews had no authority to execute anyone.)
5. Haikuruhusiwa shauri lolote kuendeshwa wakati wa usiku (No trial was to be held at night) lakini shauri la yesu liliendeshwa usiku.
6. Mtuhumiwa yeyote alipaswa kupewa uwakilishi na uhuru wa kuleta mashahidi ( The accused was to be given counsel or representation) lakini yesu hakupewa nafasi hii.
7. Mashtaka ya mtuhumiwa yalipaswa kubakia hayo hayo katika kila hatua ya kesi, lakini yesu mashtaka yake yalibadilika kila stage ya kesi.
Kimsingi kesi ya Yesu ndo kesi iliyoongoza kwa uvunjifu wa sheria na utaratibu wa kuendesha mashauri na kesi na rekodi hiyo haijavunjwa mpaka leo.
Note: Uchambuzi huu ume base kutoka, (John 18:19-24; Matthew 26:57, John18:23, Luke 23:7, Luke 23:11-12, John 18:28, Luke 23:7, Luke 23:11-12, Luke23:25 na sheria za kiyahudi ni kwa mujibu wa mwanahistoria na mwandishi nguli Josephus aliyeishi wakati wa Yesu.)