Mapungufu ya kisheria katika Kesi ya Yesu (kwa mujibu wa sheria ya wayahudi)

Mapungufu ya kisheria katika Kesi ya Yesu (kwa mujibu wa sheria ya wayahudi)

personal accountant alikuwa nani?ingekuwa vipi MPESA na Tigopesa zingekuwa kipindi kile,yuda msaliti angetumiwa pesa za kumsaliti kwenye simu yake,na yesu angekuwa anatumia simu gani.na ngekuwa anaendesaha gari gani
Kijana, kama vitu ambavyo vipo wazi kwenye Biblia huvielewi, unafikiri utaweza jadiliana nami kuhusu Yesu. Nenda kasoma Biblia ambayo haipo Kiarabu. Ukisha maliza kusoma angalu Gospel yake, njoo tujadiliane hapa.

Yesu Kristo ni Mungu Mkuu
 
sioni kama kuna tatizo kati ya unachosema kuhusu utawala wa rumi vs uyahudi na point nilizo raise, mimi nimezungumzia jinsi kuhani mkuu na senhedrin "balaza la makuhani" walivyo vunja sharia za kiyaudi katika kuendesha mashtaka ya yesu. kumbuka dola ya rumi hawauwa na interest na yesu kabisa. Wala Pontius Pilate hakumfahamu yesu kabla.

Kuhusu, Josephus, katika vitabu vyake (mkusanyiko wa maandiko yake) na pia ushahidi mbalimbali unathibitisha kuwa aliishi wakati wa yesu, na wakati pilato akiwa gavana wa Judea. Nakulete proof ya hili
makuhani kwa kutokumwadhibu Yesu kwa kuponya watu siku ya sabato walikuwa wanavyunja amri za kiyahudi, achilia mbali Yesu kuitwa kristo.

Josephus angeliishi kipindi cha Yesu angeliandika kuhusu kukimbizwa kwa Yesu kwenda Misri.

Ni kama kijana wa miaka 20 kwa sasa kuandika habari za ukombozi wa Tanganyika si ajabu insha yake ikashindwa kutofautisha mipaka, bendera na hata jina la hiyo Tanganyika.

Josephus na kazi zake nyingi ni kama kichocheo cha mafikirio na si kiini chake kwani hana vyanzo madhubuti ukiacha yale aliyoshiriki binafsi.
 
Na swali moja .

Pasaka ni sikukuu ya gani ? / Pasaka ni sikuku ya nn ?
 
Huu si wakati wake, hapa ni kuzaliwa, mtoa mada hii ingekuwa vizuri zaidi kipindi cha sikukuu kubwa yaani pasaka
 
It is a lie.

Jesus was not poor. He had 12 people working for Him. Nonetheless, He had a personal accountant. You don't have that.

Can a poor man be able to employ 12 people who were business men and an accountant?

Jesus had employed 12 businessmen and had a personal accountant? What was Jesus's business?
 
Jesus had employed 12 businessmen and had a personal accountant? What was Jesus's business?
His Father's business. Luke 2: 49 And He said unto them, How is it that ye sought me? wist ye not that I must be about my Father's business?
 
His Father's business. Luke 2: 49 And He said unto them, How is it that ye sought me? wist ye not that I must be about my Father's business?

That is ridiculous! You've based your claim on that verse? Let's read from Luke 2:48 and expose your lame lie. Luke 2:48-49 reads as follows;

[SUP]48 [/SUP]So when they saw Him, they were amazed; and His mother said to Him, "Son, why have You done this to us? Look, Your father and I have sought You anxiously."
[SUP]49 [/SUP]And He said to them, "Why did you seek Me? Did you not know that I must be about My Father's business?"

Joseph and Mary took Jesus to Jerusalem, on their way back home they lost him so they had to go back looking for him and they found him in the synagogue that's when Mary said what is written on Luke 2:48 and Jesus response was on Luke 2:49. The father Jesus was referring to was God, not Joseph and the business he was referring to was not making money as you want to mislead us but Jesus was talking about doing God's work.
 
Hakuna sheria hapo mmekosa kazi nyie.
Mnashindwa kumshtaki Muhammad ambae amevunja sheria nyingi na Ame abuse haki za watoto mnakimbilia kwa Yesu Kristo. Mnaakili kweli?

masikini upo too emotional!! hakuna ulichoelewa ila povu limekutoka. Aliyeandika hapa huenda ni mkristo tu kama wewe na ameeleza ni kwa kiasi gani sheria haikufuatwa wakati wa hukumu ya Yesu.
 
unajua ile kesi ulikuwa yesu lazma ashinde tatzo lilikuja kuwa, jamaa aling'ang'ania kuukumiwa.
we fikilia kuna mpaka jamaa mmoja aliamua kumkata sikio mmoja wa maaskari na hata wale watu wengine walikuwa tayar kulianzisha tifu ili wale askar wasimchukue but ndio hivyo tena yeye akakataa 🙁🙁🙁
 
Kitu kingine ulichosahau ni kuwa Yesu alikuwa maskini hivyo hakuweza ku-afford a good lawyer, kama ambavyo inatokea kwenye jamii zetu mpaka leo.

Kifo kwake kilkuwa n lazma....ndo mana kasema ili andiko kitimie... kumbuka yeye n mungu.... asingeshindwa kukwepa..
 
Jesus is God. That is why the pharisees said He blasphemy when He compared Himself to God.

Hili neno inabidi ukubali bila ya kutumia akili,ukishirikisha akili kidogo tu basi utagundua Yesu ni binadamu.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Hili neno inabidi ukubali bila ya kutumia akili,ukishirikisha akili kidogo tu basi utagundua Yesu ni binadamu.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
Do you know the meaning of "incarnation of Christ"?

Itakubidi wewe ndio utumie akili kidogo kuelewa kuwa hujui unacho dhania unakifahamu.
 
That is ridiculous! You've based your claim on that verse? Let's read from Luke 2:48 and expose your lame lie. Luke 2:48-49 reads as follows;

[SUP]48 [/SUP]So when they saw Him, they were amazed; and His mother said to Him, "Son, why have You done this to us? Look, Your father and I have sought You anxiously."
[SUP]49 [/SUP]And He said to them, "Why did you seek Me? Did you not know that I must be about My Father's business?"

Joseph and Mary took Jesus to Jerusalem, on their way back home they lost him so they had to go back looking for him and they found him in the synagogue that's when Mary said what is written on Luke 2:48 and Jesus response was on Luke 2:49. The father Jesus was referring to was God, not Joseph and the business he was referring to was not making money as you want to mislead us but Jesus was talking about doing God's work.
What do you think I will use when I am talking about Jesus? Hereunder is another impeccable exhibit.

Now that really is amazing, isn't it? Here is Jesus at age 12, involved in a theologically-rich "Q&A Session" with the Jewish teachers at the temple. Luke writes in verse 47 that "all who heard Him were astonished." This includes Mary and Joseph, verse 48:

Luke 2:
48 So when they saw Him, they were amazed (it's like they don't know what to say); and His mother said to Him, "Son, why have You done this to us? Look, Your father and I have sought You anxiously."
49 And He said to them, "Why did you seek Me? Did you not know that I must be about My Father's business?"
 
Hii escrow plus his brothers changed some of us to be theology analysts... good bye christmas see you next year.
sioni kama kuna tatizo kati ya unachosema kuhusu utawala wa rumi vs uyahudi na point nilizo raise, mimi nimezungumzia jinsi kuhani mkuu na senhedrin "balaza la makuhani" walivyo vunja sharia za kiyaudi katika kuendesha mashtaka ya yesu. kumbuka dola ya rumi hawauwa na interest na yesu kabisa. Wala Pontius Pilate hakumfahamu yesu kabla.

Kuhusu, Josephus, katika vitabu vyake (mkusanyiko wa maandiko yake) na pia ushahidi mbalimbali unathibitisha kuwa aliishi wakati wa yesu, na wakati pilato akiwa gavana wa Judea. Nakulete proof ya hili
 
What do you think I will use when I am talking about Jesus? Hereunder is another impeccable exhibit.

Now that really is amazing, isn't it? Here is Jesus at age 12, involved in a theologically-rich "Q&A Session" with the Jewish teachers at the temple. Luke writes in verse 47 that "all who heard Him were astonished." This includes Mary and Joseph, verse 48:

Luke 2:
48 So when they saw Him, they were amazed (it's like they don't know what to say); and His mother said to Him, "Son, why have You done this to us? Look, Your father and I have sought You anxiously."
49 And He said to them, "Why did you seek Me? Did you not know that I must be about My Father's business?"

Duh, kaazi kweli kweli! What Jesus preaching at age of 12 has got to do with what we were discussing? The issue was Jesus had 12 businessmen and a personal accountant as his employees. Prove that!
 
Nimesoma hizi thresds nimecheka sana..what i note kuna somewhr wrong. My father's business watu wanainterpret tofauti..that was god business.
Am christian na ninaamini yesu ni mungu na mungu wa maisha yangu..na siwezi kufika kwa mungu bila kupitia kwa yesu.
Ninaheshimu sana uislamu na waislamu..namuheshimu sana muhamad..( nimesoma kidogo mambo ya kislamu kiukweli muhamad was a hero huwezi bisha).
Tusitofautiane sana kwa misingi ya kidini jamani..hizi dini zote zina ukweli sana dont queation some one believe..
Amen..
 
Kitu kingine ulichosahau ni kuwa Yesu alikuwa maskini hivyo hakuweza ku-afford a good lawyer, kama ambavyo inatokea kwenye jamii zetu mpaka leo.
Sasa si mnasema jesus is God.

Sasa god anahitaji lawyer tena kujitetea?

Teh teh teh
 
Back
Top Bottom