Mapungufu ya kisheria katika Kesi ya Yesu (kwa mujibu wa sheria ya wayahudi)

Mapungufu ya kisheria katika Kesi ya Yesu (kwa mujibu wa sheria ya wayahudi)

Kitu kingine ulichosahau ni kuwa Yesu alikuwa maskini hivyo hakuweza ku-afford a good lawyer, kama ambavyo inatokea kwenye jamii zetu mpaka leo.
umesahau na wala yesu hakulimbikiza mali kama wachungaji wa leo!!
 
It is a lie.

Jesus was not poor. He had 12 people working for Him. Nonetheless, He had a personal accountant. You don't have that.

Can a poor man be able to employ 12 people who were business men and an accountant?
ww kweli hamnazo wale hakua akiwalipa msharaha!walijitoa bure!kama unazo dalili za wale wafuasi kulipwa mishahara zilete itatusaidia!
 
Hakuna sheria hapo mmekosa kazi nyie.
Mnashindwa kumshtaki Muhammad ambae amevunja sheria nyingi na Ame abuse haki za watoto mnakimbilia kwa Yesu Kristo. Mnaakili kweli?
yesu mwenyewe alimtabiria mtume muhammad?pale akiwaeleza wanafunzi wake wasubiri atakuja roho mtakatifu!sasa mtume ndo roho takatifu isio na shaka kabisa.
 
Hakukuwa wa njia nyingine ya kuukomboa ulimwengu bali mwana wa Daudi afe msalabani. Yesu alijua kikombe kilicho mbele yake; aliingua Yerusalem akijua fika anakwenda kuuawa na siku ya tatu atakufuma kama ilivyotabiliwa kwenye vitabu vya manabii.

Dakika za mwisho za mateso Yesu alimwomba Mwenyezi Mungu amuepushe kikombe cha mauti kilichokuwa mbele yake.

Kulikiwa hamna namna bali mwana wa Adamu afe ili mwanadamu apate wokovu.
 
Hakukuwa wa njia nyingine ya kuukomboa ulimwengu bali mwana wa Daudi afe msalabani. Yesu alijua kikombe kilicho mbele yake; aliingua Yerusalem akijua fika anakwenda kuuawa na siku ya tatu atakufuma kama ilivyotabiliwa kwenye vitabu vya manabii.

Dakika za mwisho za mateso Yesu alimwomba Mwenyezi Mungu amuepushe kikombe cha mauti kilichokuwa mbele yake.

Kulikiwa hamna namna bali mwana wa Adamu afe ili mwanadamu apate wokovu.
Kama ni mpango Wa mungu kufa.
YESU ASINGEMLAANI YUDA ESKALIOTI
 
Hakukuwa wa njia nyingine ya kuukomboa ulimwengu bali mwana wa Daudi afe msalabani. Yesu alijua kikombe kilicho mbele yake; aliingua Yerusalem akijua fika anakwenda kuuawa na siku ya tatu atakufuma kama ilivyotabiliwa kwenye vitabu vya manabii.

Dakika za mwisho za mateso Yesu alimwomba Mwenyezi Mungu amuepushe kikombe cha mauti kilichokuwa mbele yake.

Kulikiwa hamna namna bali mwana wa Adamu afe ili mwanadamu apate wokovu.
hapo ulipoandika yesu aliomba aondolewe kikombe cha kifo basi pale pale mungu alimuondolea akawekwa mtu aliefanana nae!
 
Kijana, kama vitu ambavyo vipo wazi kwenye Biblia huvielewi, unafikiri utaweza jadiliana nami kuhusu Yesu. Nenda kasoma Biblia ambayo haipo Kiarabu. Ukisha maliza kusoma angalu Gospel yake, njoo tujadiliane hapa.

Yesu Kristo ni Mungu Mkuu
Kuna jambo la kujifunza hapa!
 
Kama ni mpango Wa mungu kufa.
YESU ASINGEMLAANI YUDA ESKALIOTI
Kama hujui wote waliotumika kwenye zoezi zima walipata msamaha. Msamaha alioutoa pale msalabani ulikuwa kwa wanadamu wote. "Eee baba uwasamehe kwani hawajui waliyendalo...."
 
Back
Top Bottom