Mapungufu ya kisheria katika Kesi ya Yesu (kwa mujibu wa sheria ya wayahudi)

Mapungufu ya kisheria katika Kesi ya Yesu (kwa mujibu wa sheria ya wayahudi)

Nimeshajibu nini maana ya al malik na ukitaka niweke root yake linapatikana vipi na jee yesu alipotumia kwenye biblia kwamba yy ni king jee alikua ni king tuu ama huna point ukweli ushauona ila ukiyofundishwa ama hela hutaki kuziacha
Umejibu wapi ndugu? Wewe lete jibu hapa tulione.
 
Unazungumzia mapapa yale yanobaka watoto wa kiume ama make it clear

A progressive society would have to put laws in place to deter the abuse of children.

The idea is complex and should be decided upon by law and not personal morals. Boiling it down to: forcing a person to do anything against their will should be illegal. Just like the way Islam forces people to join the cult. Open your eyes and ask baby Ayeesha.
 
Nambokola Mungu wangu ni Mungu Muumbaji, mwanzo na mwisho na kwa mujibu wa Biblia, tunayo majina mengi ambayo yote yanabeba sifa zake. Nikukumbushe tu kuwa Mungu si kama mwanadamu mwenye nafsi moja na roho moja. Mungu ninayemuabudu ana nafsi zaidi ya moja na ana roho zaidi ya moja ndo maana ana uwezo wa kuwa mahali popote na kwa wakati mmoja. Niambie ni mwanadamu yupi ambaye aliwahi kuzaliwa bila muunganiko wa mwanaume na mwanamke? Hii tu inatosha kukuthibitishia kuwa YESU hakuwa mwanadamu wa kawaida kama ambavyounaweza kuwa unafikiria.
Mungu ana nafsi tatu tunazozifahamu maamuma wengi je zipo nyingine tusizozifahamu, na roho zake zi ngapi, kama hutojali kufafanua bila kusahau hizi sifa za Mungu (kama kuwapo kila sehemu): je zimenogezwa na wana theolojia au ni halisi na ni nini chanzo chake.
 
Yesu kuzaliwa bila muunganiko wa mwanaume na mwanamke siyo kithibitisho pekee kuwa alikuwa na uungu ndani yake, ukiacha kuzaliwa kuna yale aliyoyafanya yaani miujiza ya uponyaji na wokovu wa wanadamu, kuna kifo chake kilivyokuwa na kufufuka kwake na pia kupaa kwake kurudi Mbinguni.

Mungu aliyeumba mbingu na nchi ni mmoja, ni Jehovah nissi, Jehova jireh, Jehova rapha n.k

Sasa tuanze hapa kwamba mungu ni mmoja tu hana mwana wala msaidizi tunakubaliana hapo halafu yesu hakufa na kufufuka mkuu hivi kama alikufa jee alama za yule alokaa kwenye tumbo la samaki zimetimia.
 

A progressive society would have to put laws in place to deter the abuse of children.

The idea is complex and should be decided upon by law and not personal morals. Boiling it down to: forcing a person to do anything against their will should be illegal. Just like the way Islam forces people to join the cult. Open your eyes and ask baby Ayeesha.

islam never forced anyone and unazungumzia nini kuhusu watoto wa kiume wanobakwa makanisani naona unashika ya muhammad tuu lakini yenu unakimbia
 
islam never forced anyone and unazungumzia nini kuhusu watoto wa kiume wanobakwa makanisani naona unashika ya muhammad tuu lakini yenu unakimbia
ISLAM TO BE SUPERIOR TO ALL OTHER RELIGIONS

Muhammad said, "I have been ordered to fight with the people till they say, none has the right to be worshipped but Allah" (Al Bukhari vol. 4:196

Quran 9:33. - "It is He {Allah} Who has sent His Messenger (Muhammad) with guidance and the religion of truth (Islam), to make it superior over all religions even though the Mushrikun (polytheists, pagans, idolaters, disbelievers in the Oneness of Allah) hate (it)."

2:193 (or 2:189): "... Fight the unbelievers until no other religion except Islam is left."

APOSTATES MUST DIE

Muhammad said, "Whoever changes his Islamic religion, kill him." (Hadith Al Buhkari vol 9.84.57. )

Allah AKA Muhammad Ordered Apostates To Be Murdered

Verse 4:89

"They but wish that ye should reject Faith, as they do, and thus be on the same footing (as they): But take not friends from their ranks until they flee in the way of Allah (From what is forbidden). But if they turn renegades, seize them and slay them wherever ye find them; and (in any case) take no friends or helpers from their ranks;"
 
You dont read do you?

My point is who came up with the idea of trinity, the history shows that it was copied from paganisms and man made
Trinity is not an idea. Just like Allah is a pagan goddess worshiped by Meccans prior to the birth of Muhammad.

Let us examine below some valid questions and answers :

Did the Pagan Arabs in pre-Islamic times worship 360 gods? Yes
Did the pagans Arabs worship the sun, moon and the stars? Yes
Did the Arabs built temples to the Moon-god? Yes
Did different Arab tribes give the Moon-god different names/titles? Yes
What were some of the names/titles? Sin, Hubul, Ilumquh, Al-ilah.
Was the title "al-ilah" (the god) used as the Moon-god? Yes
Was the word "Allah" derived from "al-ilah?" Yes
Was the pagan "Allah" a high god in a pantheon of deities? Yes.
Was he worshipped at the Kabah? Yes.
Was Allah only one of many Meccan gods? Yes
Did they place a statue of Hubul on top of the Kabah? Yes.
At that time was Hubul considered the Moon-god? Yes.
Was the Kabah thus the "house of the Moon-god"? Yes.
Did the name "Allah" eventually replace that of Hubul as the name of the Moon god? Yes.
Did they call the Kabah the "house of Allah"? Yes.
Were al-Lat, al-Uzza and Manat called "the daughters of Allah"? Yes.
Yusuf Ali explains in fn. 5096, pg. 1445, that Lat, Uzza and Manat were known as "the daughters of God [Allah]"
Did the Qur'an at one point tell Muslims to worship al-Lat, al-Uzza and Manat? Yes. In Surah 53:19-20.
Have those verses been "abrogated" out of the present Qur'an? Yes.
What were they called? "The Satanic Verses."
 
kwa ujumla ni kwamba kulikuwa kuna uvunjaji mkubwa sana wa haki za binadamu katika kesi ya yesu, katika kila hatua yan mashitaka ya yesu taratibu za mashitaka zilivunjwa kwa mfano
1 kukamatwa kwake John 18: 19-24 hapa kulikuwa na uvunjifu wa taratibu za kisheria kwa wakati anachukuliwa maelezo na kuhani ilionyesha waziwazi kuwa tayari alikuwa kama ameshahukumiwa tayari, pia alipigwa kukubali makosa yaliyokuwa yanamkabili kwa kuhani,lakini alipoomba kuita mashahidi hakupewa nafasi.
2




hangepewa nafasi ya kujitetea wakati alikiri kosa alipoulizwa ,
"wewe ni mfalume wa wayahudi?.
akajibu,"wewe wasema"au kwa lugha ingine alikubali,kosa alilokamatiwa mojawapo ilikuwa ni kujiita yeye ndo king wa wayahudi,kitu ambacho kilikua sawa na uhaini,sasa ajitete vipi wakati alikiri mwenyewe?
Yesu kusema "wewe wasema haimaanishi alikiri kosa kauli hiyo inaweza kutafsiriwa kuwa alimaanisha wewe unayasema hayo si mimi, lakini kama unakumbuka yesu alisema wakati anahojiwa kawaulizeni wanafunzi wake alikokamatiwa, kauli hii inatafsiri mashahidi waitwe kuja kutoa ushahidi katika shauri, hivyo vyote vilikiukwa.
 
personal accountant alikuwa nani?ingekuwa vipi MPESA na Tigopesa zingekuwa kipindi kile,yuda msaliti angetumiwa pesa za kumsaliti kwenye simu yake,na yesu angekuwa anatumia simu gani.na ngekuwa anaendesaha gari gani

kama ile ya wema sepetu.. ile iloteterusha penzi
 
Yesu kusema "wewe wasema haimaanishi alikiri kosa kauli hiyo inaweza kutafsiriwa kuwa alimaanisha wewe unayasema hayo si mimi, lakini kama unakumbuka yesu alisema wakati anahojiwa kawaulizeni wanafunzi wake alikokamatiwa, kauli hii inatafsiri mashahidi waitwe kuja kutoa ushahidi katika shauri, hivyo vyote vilikiukwa.
Waweza sema hivyo,lakini kitendo tu cha kujiita masiha tayari amejiita king.
maana ya masiha kwa kigiriki ni kristo yaani mpakwa mafuta.na making wa israel kipindi hicho walikuwa wanapakwa mafuta mafuta ndo wanakua king.
kitendo cha kujiita kristo ama masiha ilikua ni sawa na kujiita king,kitendo ambacho kilikua ni uhaini.Ndo maana hata yesu aliwakataza mwanzo wanafunzi wake wasiwaambie watu kuwa yeye ni kristo kwani alihofia kukamatwa,ni mpaka alipo go public pale jerusalem kujiita masiha ndipo wakamkamata.
kule galilaya alikua free kusema kwani galilaya ilikua na uasi dhidi ya warumi na wenyeji wa galilaya wengi walikua agaisnt warumi.
kitendo cha yeye kujiita king kilikua tishio kwa herode,aliekua ni mtawala kibaraka wa warumi.
wayahudi kipindi hicho walikua wakimsubiri masiha ama king atakaewakomboa toka mikononi mwa warumi na si mwana wa mungu kama baadae maandiko yalivyopindishwa.
 
The mashiach will be a great political leader descended from King David (Jeremiah 23:5). The mashiach is often referred to as "mashiach ben David" (mashiach, son of David). He will be well-versed in Jewish law, and observant of its commandments (Isaiah 11:2-5). He will be a charismatic leader, inspiring others to follow his example. He will be a great military leader, who will win battles for Israel. He will be a great judge, who makes righteous decisions (Jeremiah 33:15). But above all, he will be a human being, not a god, demi-god or other supernatural being
 
Waweza sema hivyo,lakini kitendo tu cha kujiita masiha tayari amejiita king.
maana ya masiha kwa kigiriki ni kristo yaani mpakwa mafuta.na making wa israel kipindi hicho walikuwa wanapakwa mafuta mafuta ndo wanakua king.
kitendo cha kujiita kristo ama masiha ilikua ni sawa na kujiita king,kitendo ambacho kilikua ni uhaini.Ndo maana hata yesu aliwakataza mwanzo wanafunzi wake wasiwaambie watu kuwa yeye ni kristo kwani alihofia kukamatwa,ni mpaka alipo go public pale jerusalem kujiita masiha ndipo wakamkamata.
kule galilaya alikua free kusema kwani galilaya ilikua na uasi dhidi ya warumi na wenyeji wa galilaya wengi walikua agaisnt warumi.
kitendo cha yeye kujiita king kilikua tishio kwa herode,aliekua ni mtawala kibaraka wa warumi.
wayahudi kipindi hicho walikua wakimsubiri masiha ama king atakaewakomboa toka mikononi mwa warumi na si mwana wa mungu kama baadae maandiko yalivyopindishwa.
hapa ELUNGATA umedadavua vizuri lakini yeye alipowaambia wakaulize wanafunzi wake alitaka waitwe wathibitishe hilo
 

You avoided my argument. Why does your chemical illusion constitute a moral duty upon another chemical animal who has a different illusion of raping children as 'good' for him?

Did you remember to take your pill today?
 
Did you remember to take your pill today?
You took them all young girl. You hit the wall, were exposed and refuted. Now, you offer meaningless pictures to obfuscate your defeat on the intellectual merits.
 
You took them all young girl. You hit the wall, were exposed and refuted. Now, you offer meaningless pictures to obfuscate your defeat on the intellectual merits.

Ha ha ha! It seems you didn't!
 
Ha ha ha! It seems you didn't!
If we are 100% chemical animals and our chemicals cause child rape, why is child rape morally wrong?
Why is the child rapist morally culpable when he has no free-will choice?

Answer the questions
 
If we are 100% chemical animals and our chemicals cause child rape, why is child rape morally wrong?
Why is the child rapist morally culpable when he has no free-will choice?

Answer the questions

Take the pill, then scroll up so you can remind your dead brain what we were discussing. You are obviously hallucinating!
 
Take the pill, then scroll up so you can remind your dead brain what we were discussing. You are obviously hallucinating!
It seems the issue of your gender is giving you headache. Young girl, did you take your morning pills? Do you need help understanding one of these words or something?

Please let me know. I will set you up with a link to a free online dictionary.
 
Back
Top Bottom