Mapungufu ya kisheria katika Kesi ya Yesu (kwa mujibu wa sheria ya wayahudi)

Mapungufu ya kisheria katika Kesi ya Yesu (kwa mujibu wa sheria ya wayahudi)

Poor soul like this one deserve what? except spunk his ripen cheeks
 
It seems the issue of your gender is giving you headache. Young girl, did you take your morning pills? Do you need help understanding one of these words or something?

Please let me know. I will set you up with a link to a free online dictionary.

You're the one in need of a pill, first you go off topic from what was the discussion then you call me a girl and you don't even know me. You are just babbling, major sign for mental illness.
 
You're the one in need of a pill, first you go off topic from what was the discussion then you call me a girl and you don't even know me. You are just babbling, major sign for mental illness.
You just missed another morning pills!!!! Now, you offer meaningless pictures to obfuscate your defeat on the intellectual merits.
 
Mambo ambayo naona alichangia Yesu kujiingiza kwenye hukumu (Incite)

Allingia kwa nyimbo na kelele kuu Yerusalem mji ukataharuki
Hakumiminiwa mafuta ya kikuhani je iweje atangazwe kuwa Masihi
Alimwaga vitu vya walipa kodi hekaluni
Alitishia kuvunja hekalu
alilisha watu mwili wake
alisababisha uzembe watu hawakuzalisha muda mwingi wanamfuata
 
Hakuna sheria hapo mmekosa kazi nyie.
Mnashindwa kumshtaki Muhammad ambae amevunja sheria nyingi na Ame abuse haki za watoto mnakimbilia kwa Yesu Kristo. Mnaakili kweli?

Povu linamtoka.
 
Mambo ya udini yalisababisha nikamkosa chaguo langu SALHA! Nataman sana TZ iwe na dini moja tu ya UTANZANIA au ya UAFRICA!
 
Mambo ambayo naona alichangia Yesu kujiingiza kwenye hukumu (Incite)

Allingia kwa nyimbo na kelele kuu Yerusalem mji ukataharuki
Hakumiminiwa mafuta ya kikuhani je iweje atangazwe kuwa Masihi
Alimwaga vitu vya walipa kodi hekaluni
Alitishia kuvunja hekalu
alilisha watu mwili wake
alisababisha uzembe watu hawakuzalisha muda mwingi wanamfuata

YESU KRISTO ni Mungu Mkuu
 
Duh Mashakil kweli kweli,

Sasa ww Gabriel alikua ni mpelekaji ujumbe lazima awepo na si kwa muhammad tu alishuka bali alishuka kwa mitume wengi na waja wema pia na hao utakataa ujumbe wao ww vipi hujajibu swali langu unakimbia kimbia kama huwezi sema siwezi kujibu huo mzig mzito kwangu instead ya ww kupenya penya aya iko wazi kabisa

Hayo maneno ni ya Jibril hakuna hata sehemu moja Gabriel ana claim kama yy ni mungu hamna si katika bibli wala quraan

Muhammad hakuwahi kuongea na Allah sasa hii ndo sababu ya kukataa utume wa kipenzi chetu au maneno ya Allah

"Verily, I am Allah: There is no god but I: kusoma ama kuona ama kusikia husikii kipi kati ya hicho passage iko wazi kabisa I AM ALLAH:HAKUNA MOLA MWENGINE ISIPOKUA MIMI

Ukiisoma hiyo Revelation 21:7 inaonesha wazi kwamba mungu ni mmoja na ana wana ila yesu si mungu wala si mtoto pekee wamungu kwa ushahidi wa biblia kutoka kwa yesu ukiisoma Yohana 20:17 inasema "Yesu akamwambia usinishike kwa maana sijapaa kwenda kwa baba lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie napaa kwenda kwa baba yangu naye ni baba yenu kwa mungu wangu nae ni mungu wenu: vipi tena yesu anakuwa mungu wakati anasema baba yangu ndo baba yenu na mungu wangu ndo mungu wenu weka hoja zako vizuri halafu rudi tena.

Na ukiisoma Yohana 17:1-3 inasema "Na uzima wa milele ndio huu wakujue ww mungu wa pekee na yesu christo uliyemtuma" na anayetumwa na mungu anakuwa mtume ama mungu.

Maneno hayo yanathibitishwa na quraan pia ambapo Allah anasema katika sura ya 112 Al-Ikhlas

1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.


3. Hakuzaa wala hakuzaliwa


4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.

Kijana njoo na hoja nikiona umekuja na pumba tena saivi itanibidi nikuache upite tuu maana quraan inasema hakuna kulazimishana katika dini na ukija na hoja ukijibu hoja zangu na swali langu basi tutaenda vizuri tuu Insha Allah.
Bogus reply
 
Kijana, kama vitu ambavyo vipo wazi kwenye Biblia huvielewi, unafikiri utaweza jadiliana nami kuhusu Yesu. Nenda kasoma Biblia ambayo haipo Kiarabu. Ukisha maliza kusoma angalu Gospel yake, njoo tujadiliane hapa.

Yesu Kristo ni Mungu Mkuu
Kwahiyo Mungu alitundikwa msalabani? Kuweni serious muda mwingine
Na muda yupo kaburini nani alikuwa anaendesha dunia
 
It is a lie.

Jesus was not poor. He had 12 people working for Him. Nonetheless, He had a personal accountant. You don't have that.

Can a poor man be able to employ 12 people who were business men and an accountant?

Then why didn't he afford a lawyer to represent him in his trial?
 
...kwan yesu si alikuwa lazima afe ili andiko litimie....sasa nan angewaokoa watu na dhamb zao.....

Yaani mungu muweza wa yote akubali kufa tu ili awaokoe wanadamu? Acheni utani jamani. After all kweli mungu anaweza kufa?
 
(mode hii ni ya ki intelijensia zaidi, usiihamishe plse)

Usiku Yesu alipokamatwa alifikishwa mbele ya wafuatao kwa mashtaka, Caiaphas - Kuhani mkuu (na aliye agiza yesu akamatwe na pia ndiye aliandaa mashtaka), Annas - Kuhani mkuu mstaafu, na Sanhedrini - Baraza la makuhani. Kwa kuwa hawa ni viongozi wa kidini Yesu hapa alishtakiwa kwa makosa mawili;

1. Kufuru (blasphemy), 2. Kajitangaza kuwa ni mwana wa Mungu na Messiah

Baadaye akapelekwa kwa kwa Pilato, na huko mashtaka ghafla yakabadilika na kuwa matatu yafuatayo;

- Kutaharakisha jamii na kusababisha uasi (rioting)
- Kukataza watu kulipa kodi
- Kujitangaaza kuwa ni mfalme wa wayahudi (uhaini).

Makosa haya chini ya utawala wa Rumi adhabu yake ni kifo;

Hapa tunaona mashtaka yanabadilishwa kwa sababu nia ya Caiaphas ilikuwa yesu afe na kwa kuwa bataza la makuhani halina mamlaka ya kutoa hukumu ya kifo na pia mashtaka ya kwanza hayakuwa na mashiko wala hayakuwahusu watawala (Rumi), akaona ni vyema abadilishe mashtaka ili apate uhalali wa kumfikisha yesu mbele ya pilato (Gavana) na pia apate hukumu ya kifo.

Kumbuka yesu alikamatwa na askari wa hekalu (temple guards) kwa maagizo ya caiaphas na si askari wa utawala wa Rumi

Kesi ya Yesu chini ya viongozi wa kidini (kuhani mkuu na baraza la makuhani) iligubikwa na uvunjifu wa sheria za kiyahudi katika hali ya juu na waziwazi kiasi cha kutisha. Yafuatayo yalikiukwa kwa mujibu wa sheria za wayahudi za wakati huo;

1. Haikuruhusiwa kesi/shauri lolote kuendeshwa wakati wa sikukuu au maandalio ya sikukuu (No trial was to be held during feast time) lakini haohao viongozi wa sheria za kiyahudi waliendesha shauri la yesu wakati wa sikukuu ya pasaka

2. Kila mjumbe wa baraza alipaswa kupiga kura binafsi wakati wa maamuzi yeyote ya hukumu ( Each member of the court was to vote individually to convict or acquit) lakini yesu alihukumiwa kwa kura ya pamoja (but Jesus was convicted by acclamation.)

3. Kama mtu akihukumiwa kifo, hukumu hiyo itatekelezwa siku ifuatayo (If the death penalty was given, a night must pass before the sentence was carried out) lakini yesu alihukumiwa na hukumu ilitekelezwa muda mfupi tu baada ya hukumu kutolewa.

4. Wayahudi hawakuwa na mamlaka ya kutoa hukumu ya kifo, lakini hukumu ya yesu ilipendekezwa na wayahudi na wakampeleka kwa pilato kuomba ruhusa ya utekelezaji (The Jews had no authority to execute anyone.)

5. Haikuruhusiwa shauri lolote kuendeshwa wakati wa usiku (No trial was to be held at night) lakini shauri la yesu liliendeshwa usiku.

6. Mtuhumiwa yeyote alipaswa kupewa uwakilishi na uhuru wa kuleta mashahidi ( The accused was to be given counsel or representation) lakini yesu hakupewa nafasi hii.

7. Mashtaka ya mtuhumiwa yalipaswa kubakia hayo hayo katika kila hatua ya kesi, lakini yesu mashtaka yake yalibadilika kila stage ya kesi.

Kimsingi kesi ya Yesu ndo kesi iliyoongoza kwa uvunjifu wa sheria na utaratibu wa kuendesha mashauri na kesi na rekodi hiyo haijavunjwa mpaka leo.

Note: Uchambuzi huu ume base kutoka, (John 18:19-24; Matthew 26:57, John18:23, Luke 23:7, Luke 23:11-12, John 18:28, Luke 23:7, Luke 23:11-12, Luke23:25 na sheria za kiyahudi ni kwa mujibu wa mwanahistoria na mwandishi nguli Josephus aliyeishi wakati wa Yesu.)
imeniweka sawa
(mode hii ni ya ki intelijensia zaidi, usiihamishe plse)

Usiku Yesu alipokamatwa alifikishwa mbele ya wafuatao kwa mashtaka, Caiaphas - Kuhani mkuu (na aliye agiza yesu akamatwe na pia ndiye aliandaa mashtaka), Annas - Kuhani mkuu mstaafu, na Sanhedrini - Baraza la makuhani. Kwa kuwa hawa ni viongozi wa kidini Yesu hapa alishtakiwa kwa makosa mawili;

1. Kufuru (blasphemy), 2. Kajitangaza kuwa ni mwana wa Mungu na Messiah

Baadaye akapelekwa kwa kwa Pilato, na huko mashtaka ghafla yakabadilika na kuwa matatu yafuatayo;

- Kutaharakisha jamii na kusababisha uasi (rioting)
- Kukataza watu kulipa kodi
- Kujitangaaza kuwa ni mfalme wa wayahudi (uhaini).

Makosa haya chini ya utawala wa Rumi adhabu yake ni kifo;

Hapa tunaona mashtaka yanabadilishwa kwa sababu nia ya Caiaphas ilikuwa yesu afe na kwa kuwa bataza la makuhani halina mamlaka ya kutoa hukumu ya kifo na pia mashtaka ya kwanza hayakuwa na mashiko wala hayakuwahusu watawala (Rumi), akaona ni vyema abadilishe mashtaka ili apate uhalali wa kumfikisha yesu mbele ya pilato (Gavana) na pia apate hukumu ya kifo.

Kumbuka yesu alikamatwa na askari wa hekalu (temple guards) kwa maagizo ya caiaphas na si askari wa utawala wa Rumi

Kesi ya Yesu chini ya viongozi wa kidini (kuhani mkuu na baraza la makuhani) iligubikwa na uvunjifu wa sheria za kiyahudi katika hali ya juu na waziwazi kiasi cha kutisha. Yafuatayo yalikiukwa kwa mujibu wa sheria za wayahudi za wakati huo;

1. Haikuruhusiwa kesi/shauri lolote kuendeshwa wakati wa sikukuu au maandalio ya sikukuu (No trial was to be held during feast time) lakini haohao viongozi wa sheria za kiyahudi waliendesha shauri la yesu wakati wa sikukuu ya pasaka

2. Kila mjumbe wa baraza alipaswa kupiga kura binafsi wakati wa maamuzi yeyote ya hukumu ( Each member of the court was to vote individually to convict or acquit) lakini yesu alihukumiwa kwa kura ya pamoja (but Jesus was convicted by acclamation.)

3. Kama mtu akihukumiwa kifo, hukumu hiyo itatekelezwa siku ifuatayo (If the death penalty was given, a night must pass before the sentence was carried out) lakini yesu alihukumiwa na hukumu ilitekelezwa muda mfupi tu baada ya hukumu kutolewa.

4. Wayahudi hawakuwa na mamlaka ya kutoa hukumu ya kifo, lakini hukumu ya yesu ilipendekezwa na wayahudi na wakampeleka kwa pilato kuomba ruhusa ya utekelezaji (The Jews had no authority to execute anyone.)

5. Haikuruhusiwa shauri lolote kuendeshwa wakati wa usiku (No trial was to be held at night) lakini shauri la yesu liliendeshwa usiku.

6. Mtuhumiwa yeyote alipaswa kupewa uwakilishi na uhuru wa kuleta mashahidi ( The accused was to be given counsel or representation) lakini yesu hakupewa nafasi hii.

7. Mashtaka ya mtuhumiwa yalipaswa kubakia hayo hayo katika kila hatua ya kesi, lakini yesu mashtaka yake yalibadilika kila stage ya kesi.

Kimsingi kesi ya Yesu ndo kesi iliyoongoza kwa uvunjifu wa sheria na utaratibu wa kuendesha mashauri na kesi na rekodi hiyo haijavunjwa mpaka leo.

Note: Uchambuzi huu ume base kutoka, (John 18:19-24; Matthew 26:57, John18:23, Luke 23:7, Luke 23:11-12, John 18:28, Luke 23:7, Luke 23:11-12, Luke23:25 na sheria za kiyahudi ni kwa mujibu wa mwanahistoria na mwandishi nguli Josephus aliyeishi wakati wa Yesu.)
 
It is a lie.

Jesus was not poor. He had 12 people working for Him. Nonetheless, He had a personal accountant. You don't have that.

Can a poor man be able to employ 12 people who were business men and an accountant?

Can you prove this??
 
Back
Top Bottom