Mapungufu ya Lady Jaydee na kosa la kumwita Mwana FA kuwa MwanaFatuma

Itikadi yangu nipo pamoja na Mtu yoyote ambae anaonesha kuonewa!! Ruge anamtumia FA na hii sio Mara moja, jibwana hilo hutanua roho lake baya kwa vijana wengi ambao wanamsujudia, kwa Mara nyingine amemtumia huyu mtoto wa tanga kwa jide mbali na kina sugu!! Pambana JIDE raia tupo nyuma yako ningekua najua kunuti ningemsomea huyu mamba anaesumbua wasanii wetu!!
 
kakq umesema kweli ila watu watajifanya kubisha!!! jay dee hataki na wenzake wapate yeye alichopata!! angesema mwanzo ningemwelewa ila kwa leo hii hapana!
yeye anamuita mwenzake mwanafatuma cku na yeye akiitwa mgumba makengeza asinune!!

Wewe umezaa??,angalia sana maneno yatakurududia,hat kama umezaa watoto wako wanakufa na usipate tena,so kuwa muangalifu,mungu adhihakiwi dada
 
You're not even an inch differemt from her bro.. same shit..

I'm a world of difference from her because:-

(1) I'm not a struggling musician.

(2) I'm not a confused, frustrated, disgruntled, and paranoid individual like she is.

(3) I'm a dude and she is a dudette.

(4) I'm a blue-collar mbeba box while she's a rinky-dink bongofleva artist/ businessperson.

(5) I'm me and she's her.
 

Miafrika ndivyo tulivyo, good at judging and blaming but never take trouble to rectify the whole thing.... too judgemental while leaving aside our flaws...
 
Miafrika ndivyo tulivyo, good at judging and blaming but never take trouble to rectify the whole thing.... too judgemental while leaving aside our flaws...

Guess what pal? You are doing the same damn thing too.
 
Nashukuru sana kwa waliouelewa huu uzi wangu nilioweka hapa.sina nia mbaya wala ugomvi na jide,maana mimi ni mpenzi pia wa baadhi ya nyimbo zake,lakini si sapoti baadhi ya mambo ya anayofanya eti kwa kuwa napenda muziki wake.
Nitakuwa mnafiki kama nitaendelea kumvimbisha kichwa kama wengine humu na kumpa sifa za kijinga huku nikiona anapotea taratibu.Siku zote huwa naamini katika haya kwa wasanii.
1.kutengeneza bifu na wenzako ni mwanzo wa kuwagawa mashabiki wako,maana inawezekana unayefanya nae bifu kuna baadhi ya mashabiki wako pia wanpenda muziki wake.
2.Unapunguza idadi ya mashabiki wako
3.Epuka sana kuonesha hisia kuwa unatofautina na msanii mwenzako
4.Kwa wasanii wengi wa kiafrika ama niseme kibongo bifu huwa ni dalili za kuisha kimuziki.nitakupa mifano hai
#1 .wapi dududaya na mr.nice??
#2 .wapi rado
#3 .wapi Oten
#4 .wapi daz baba na daz nundaz
#5 .wapi Wanaume halisi n family
#6 .wappi joseln,mr blue n.
Hii ni baadhi ya mifano ambayo nakumbuka wengine mtaongezea.NARUDIA TENA KUKUKUMBUSHA KUWA WEWE SIO MUHIMU KULIKO WENGINE.
 
She has an arrogant and false sense of entitlement. Even worse, she thinks she is the shit when she ain't.

Her music is shitty and her attitude is woeful. She needs an attitude adjustment.

U nailed it my brother! Attitude 'F'...
 
Mambo ya fedha kashirikishwa na mh sugu....mwanaFaTuMa atarudi nyuma tu...actually jide kasaidia mwanaFatuma kuwepo alipo...shadow nyingi sana kuizitendea haki colabo zake...team anaconda
 

masuke bora useme ww....huyu free sijui idea ni mang'aaa tuu anaongea ka anapandisha milima ya kwao hajielew....
 

Hii ina harufu ya ki propaganda! Fanyeni kazi acheni umburura!
 
jide ndo kila kitu anayesema eti anapitwa na wakati eti awaachie akina nani sijui khaa hao wanahonga dudu zao ili watoke! Jide ni international bana si uchwara. Huyo Rugay na mapunga wengine pale radio wafu fm ingekuwa kiwanja piga bomba tu, hawana adabu kabisa.
 

niliandika hivi jana mods wakafuta...


Ya Jay Dee na MwanaFA.........
Anachokifanya Jay Dee ni kudhalilisha wanawake!!
***************
Muda sasa umepita toka utoke ule unaoitwa Waraka Wa Jay Dee dhidi ya Clouds. Nilisikia pia ufafanuzi wa Ruge dhidi ya tuhuma zilizoelekezwa, na hivi majuzi nimebahatika kusikia ama kusoma kile kinachoendelea baina ya Jay Dee na MwanaFa...

Sikutaka kuandika chochote, ila hili la Juzi ambalo limeshabikiwa na wengi kwa Mwana FA kuitwa MwanaFatuma limenifanya niandike kitu. Wengi wameshangilia inawezekana kwa kufuata mkumbo ama kutojua tafsiri hasa ya MwanaFA kuitwa Fatuma.

Mengi yamesemwa katika kuhalalisha ufatuma wa MwanaFa, na akaenda mbali kudai yeye ndiye alimfanyia FA chorus na alikuwa hawezi panda Fiesta bila yeye. Inawezekana ni kweli, ila lazima tujue kuwa mtu anayekaa na kuongelea kila wakati mambo yaliyopita, kuna uhakika kuwa hana lolote jipya la kufanya. Sitaki kuamini kama FA kafika alipofika kwa ajiri ya "Alikufa kwa ngoma", "msiache kuongea" na "Hawajui". Kama ni hivyo, basi Jay Dee kwanini asiukubali mchango wa FA wakati alipoimba Wanaume kama Mabinti?

Nikirudi kwenye huu unaoitwa Ufatuma wa MwanaFA nakuona kukengeuka kwa hali ya juu kwa huyu dada yetu. Kama alivyofanya kwenye "Wanaume kama Mabinti", anachokifanya hapa ni kuchukua kunakoitwa kutumika kwa FA na kuwahalalishia wanawake. Tuseme FA anafanya upuuzi pengine kama anavyodhani, lakini kwanini huu upuuzi tuwaamishie akina Fatuma? Je wanawake ni halali yao kukwamishana, kuwekeana fitina na kutumika? Anataka kutuambia anachokifanya FA kingekuwa halali endapo angefanya Linah, Recho ama Stara Thomas?

Mpaka sasa sijaona hoja ya msingi ambayo Jide ameisimamia zaidi ya kutafuta public sympathy. Haina maana ya kuendelea kulumbana tena kwa kejeli ambazo mwisho wa siku zinamshushia heshima na kuonesha jinsi alivyo upstair!!!

Kikubwa afanye kazi, hakuna namna ya kukwepa ushindani, ndiyo maana hata ukienda bar leo utakuta friji ya Pepsi na ya Coca cola ikiwa pembeni, na bado maisha yanaendelea.
 
kama imekutach free idea KAJINYONGE ..USIINGILIE YASIOKUHUSU,YAKO UMEYAKALIA YA WENGINE UNAYATOLEA POVU...USHAMBA UMEKUZIDI

Hapana dadangu,haoa tunatoa maoni na mawazo tu so usichukie n mtazamo wangu tu,kunywa maji kisha pumua kwa nguvu kama nimekugusa,lakini asante kwa kusoma uzi
 
Kwanza huyo Fatuma mbona hata sura yae imekaa kifatumafatuma mi nadhani Anakonda hajakosea kumwita hivyo. Tabia za kununuliwa hazifai kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…