Mapungufu yaliyopo kwenye video ya Ally kiba (Mwana Dsm)

Ajabu hiyo jamani!Kiba anafanya mziki wake mwenyewe wala hashindani na mtu.Angetaka mashindano nadhani MWANA angeonekana kwenye video yake.
hahahahahaaaa eti angetaka mashindano mwana angeonekana kwenye video umenichekeshaje?
 
Ww muandika uzi wanakugeuza n kukula kiduara sio bure kwani umesikia ally kiba ni mcheza move? Sio lazima kuweka matukio kwenye video kwani ww ni kiziwe au bubu?
 

U r very critical...critical thinking
 
Huyu ni Mwanadaresalam mambo ya ki intonation amwachie Diamond.
 
pale south ndo dar au?

Bora god father angekuja kushuti kichupa huku.
 

mkuu nashukuru kwa kusema umeona mapungufu kwa sababu kwa maoni yako ungependa umuone MWANA akiwa katika hali ya kukimbia nyumbani mpaka kupatwa na matatizo!!!

Kimsingi mkuu unaishi kwa mazoea sio kila wimbo lazima video yake ioneshe mfululizo wa hadithi nzima ya kinachoimbwa,kimsingi naomba nkuulize swali mkuu,
kama ww ndo ungekua DIRECTOR wa video ya ROSE MHANDO ya wimbo wake uitwao UTAMU WA YESU ungeiongoza nasi watazamaji tukapata video iliyo na mlolongo upi wa matukio!!!?
Ukinijb ntaamini hauna chuki binafsi
 

Teh teh teh erick kiwelu bwana kwa mikwara kiboko cc Matola Ritz matumbo mtvbase Bill Cosby
 
Last edited by a moderator:
Unapozungumzia video ya mwana, unazungumzia the most awaited video of the year, na laiti kama video zote zingechambuliwa hv bas bongo tungetisha kwa video bomba
 


Kwani nyimbo za Captain John Komba ukiweka silent zinaeleweka mkuu ?
 


Angeagiza keki yenye umbo la yesu,na kumuonyesha rose akihamasisha watu wakaikate na Kuila.tehh tehh tehh.

Yaan kuna watu wa ajabu humu ndani!!!iyelewi.
 
Unapozungumzia video ya mwana, unazungumzia the most awaited video of the year, na laiti kama video zote zingechambuliwa hv bas bongo tungetisha kwa video bomba

Nakubaliana na wewe mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…