Mapungufu yangu naona ndio sababu

Mapungufu yangu naona ndio sababu

Kushindwa kufokea na kupiga kisha wewe kuachwa, ni maajabu haya!

Hilo laweza kubeba madhaifu yako mengine ambayo haujayaeleza hapa, ambayo unatakiwa ujitathimini, yaani kuanzia "show" zako pamoja na huduma kwa mamsap.

Wanawake wengi katika mahusiano hawapendi kukelembeshwa kwa maneno pamoja na kudundwa, iweje kwako iwe kinyume?

Waweza kuwa mpole na "msikivu", lakini kama haujipindi kiume kutoa shoo za kibabe, ukawa mchoyo wa kuhesabu finyango za nyama jikoni, hauna stori za maana chumbani, muda wote wewe ni kimya tu hauongeleshi, "mkono wa birika",kutoa matumizi kwa mbinde, kama unazo sifa hizo yakupasa ujirekebishe pakubwa, maana upole wako kwa madhaifu hayo hutoboi.

Ukisikia mwanamme mpole kwa mwanamke, ujue ana kauli thabiti za kimahaba kwa mkewe na anampenda kwa dhati, lakini si mpole kitandani hilo ulijue!
Kama una sifa nilizozieleza hapo juu, jitathimini na uchukue hatua broda.
Mkuu mwanamke halidhishwi kwa ngono,na ngono huwa sio kipaumbele kwa mwanamke.Hivyo,huyo atakuwa anakataliwa na lake jambo lakini sio ngono wala mambo ya show.
 
Aah Ila kweli

Aiseh tena kama mie siku nikipata wa mwanaume anajua kupiga atanibonda mno
Kuna mmoja alinikera hadi nkahc kutetemeka kwa hasira ...ndo mara yangu ya kwanz kumpiga mtot wa watu mikwenz na mitama na ikawa mwsho wa mahusiano yetu japo kuna muda namkumbuka sanaa ila nkiwazia ujinga alonifanyia naona nlikuw sahihi tu
 
Kuna mmoja alinikera hadi nkahc kutetemeka kwa hasira ...ndo mara yangu ya kwanz kumpiga mtot wa watu mikwenz na mitama na ikawa mwsho wa mahusiano yetu japo kuna muda namkumbuka sanaa ila nkiwazia ujinga alonifanyia naona nlikuw sahihi tu
Kwa nini
 
Kuna mmoja alinikera hadi nkahc kutetemeka kwa hasira ...ndo mara yangu ya kwanz kumpiga mtot wa watu mikwenz na mitama na ikawa mwsho wa mahusiano yetu japo kuna muda namkumbuka sanaa ila nkiwazia ujinga alonifanyia naona nlikuw sahihi tu
Pole... me nishawai bondwa bn nlilia kwa sauti jamaa alitoa mimacho badae nkapewa ka laki na nusu ya kuombea msamaha nkachukua Ela nkapepea zangu kufanya shopping ya chakula ndani kwangu
 
Pole... me nishawai bondwa bn nlilia kwa sauti jamaa alitoa mimacho badae nkapewa ka laki na nusu ya kuombea msamaha nkachukua Ela nkapepea zangu kufanya shopping ya chakula ndani kwangu
Haha!kumbe kipgo kwako ni mtego sio?sasa njoo ukutane na sisi tunaopiga bila kulipa uone kama utabak kweny hayo mahusiano
 
Simple mathematics
Tafuta wa kufanana na wewe kuachana sio dhambi ila kuforce penzi ndo mwishoni kunaleta dhambi tena kubwa so ndogo
 
Haha!kumbe kipgo kwako ni mtego sio?sasa njoo ukutane na sisi tunaopiga bila kulipa uone kama utabak kweny hayo mahusiano
Sio mtego ye alikua anataka kunipa hako ka pesa nkajinunulie vitu vdg vdg siku nne kabla ya ugomvi.....alivonipiga akaona Cha kunibembelezea ni kipi akanipa pesa
 
Mkuu mwanamke halidhishwi kwa ngono,na ngono huwa sio kipaumbele kwa mwanamke.Hivyo,huyo atakuwa anakataliwa na lake jambo lakini sio ngono wala mambo ya show.
Ninajua hivyo.
Usiangalie hilo kama kigezo pekee ndiyo maana nikaeleza na viambatishi vingine.

Lakini kaa ukikumbuka kauli za wanawake huwa: ...."sijafuata ugali kwako, hata kwetu upo"... unaelewa maana ya usemi huo?

Nikwambie sasa, hiyo ndiyo amri ya kwanza iliyo kuu katika ndoa.

Kinapofika kipengele hiko, chukulia serious bwana mdogo, chakarika, yaani punish kama unaua mtu, utapendwa na kuchekewa.

Hayo mengine niliyokwishaeleza, penda, hudumia ipasavyo uone kama utakimbiwa!
 
Sio mtego ye alikua anataka kunipa hako ka pesa nkajinunulie vitu vdg vdg siku nne kabla ya ugomvi.....alivonipiga akaona Cha kunibembelezea ni kipi akanipa pesa
Kwel pesa sabun ya roho...hukujal kwamba ungeweza umizwa na hyo hela isitoshe hata matibabu?
 
Kwel pesa sabun ya roho...hukujal kwamba ungeweza umizwa na hyo hela isitoshe hata matibabu?
Yani kuumizwa angeniumiza mno sema tu alijizuia maan mwenye kosa nlikua mim alafu nabisha nilichezea vibao viwili nikaaanza kusikia masikion yanafanya zzzzzzzzzzzzzzzz
 
Yani kuumizwa angeniumiza mno sema tu alijizuia maan mwenye kosa nlikua mim alafu nabisha nilichezea vibao viwili nikaaanza kusikia masikion yanafanya zzzzzzzzzzzzzzzz
Hahaha!tatzo lenu huwa ni wabish sanaa afu unakutana na nunda hatak maelezo mengi due ni kama unamchosha tu....unaishia kula makwenz tu
 
inawezekana pia unapiga Show za upole sana hupendi Show Show... Me nakushauri tu kaza trako pelekea moto uone kama kuna mwanamke atakuletea dharau
Kama na hapo analeta hotuba za kina mpango ndo basi tena🙌
 
Upole sio ulemavu hivyo huna hajabya kujiona mnyonge...

Ishu ni kwamba bado hujapata wa kufanana na wewe...
 
Back
Top Bottom