Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio yenyewe wahusika kila siku wapyaMalalamiko ya Huba ni mengi sana, natumai yatafanyiwa kazi.
Si ndio ile mara JB akataka kuoa, mara akawa kichaa…
isike kaona yeye hawamuweki muda mrefu maana tamthiliya zake zinaisha wenzake isidingo tuu yy anaenda tamthiliya ya nne wenzake badooHuba, Jua Kali ~ Pesa
Kitimtim ~ Mapenzi
Kama sio Isike kusimama kidete, zingekuwa Isidingo za bongo hizo.
hatupewi nafasi kk wanaopewa ndo hao wanatoa rushwa na ngono ukija kufatilia utakuta hadi ushoga upoYour tisa ila Mpali ni bonge moja la tamthiliya yani najiuliza Bongo movie wamezidiwa hadi na wazambia kweli!
Lol...ndio ni subjective, ila unaweza usipende kitu lakini ukajua ni kazi nzuri ya sanaa.
Hiyo Jua Kali nimeiona na bado sana haijafikia kiwango cha kusema eti ni tamithilia kali. Umeshawahi kuona tamthilia kali?
Ikiwa wameshindwa tu kwenye uandishi wa matukio ambao ndio msingi wa hii sanaa ndio utaita kali?
Kumbe watazamaji standard zetu zipo chini ndio maana tunaletewa takataka tuangalie. Lol.
ile tamthiliya ya jua kali sio tamthiliya bora ni vile watu wanapewa chakula hicho chenye afadhali kwanza ni tamthiliya ambayo haina upigaji mzuri wa picha ya scene za majonzi na furaha mwanga unaotumika kwenye hizi scene na mmoja . scene ya usiku na mchana za ndani mwanga ni mmoja hatuoni uwepo wa jua ukipigwa ndani kiufupi cinematography ni mbovu . uandishi wa kawaida sanaaa ofisi ya kina madevu hatuonyeshwi inahusika na nini ? ofisi asilimia nyingi wanaongelea mambo ya nje ya ofisiLol...ndio ni subjective, ila unaweza usipende kitu lakini ukajua ni kazi nzuri ya sanaa.
Hiyo Jua Kali nimeiona na bado sana haijafikia kiwango cha kusema eti ni tamithilia kali. Umeshawahi kuona tamthilia kali?
Ikiwa wameshindwa tu kwenye uandishi wa matukio ambao ndio msingi wa hii sanaa ndio utaita kali?
Kumbe watazamaji standard zetu zipo chini ndio maana tunaletewa takataka tuangalie. Lol.
haikuwa ya cheche na timu yake ile ni wazungu jordan riber na baba yake john riberCheche na timu yake walitisha sana, sijui kwanini haleti kazi nyingine jamani!
Mjinga wewe[emoji1787]Na sasa Maria kapata ujauzito. Mimba ataambiwa ni yake.
Sasa mpaka ajue anachapiwa ni miezi 9 labda ya kujifungua.
Sasa hebu piga picha miezi 9 kwenye Jua Kali ni miaka Mingapi huku mtaani.
158 magic eastMimi mbona hiyo siijui? Iko kwenye channel gani?
Uislam humu unasaidia nini mkuu! Mada inahusu dini? Au kuna ujinga unafanywa kisa dini fulani?! Funguka huenda ukawa na taarifaKwakua wewe sio muislamu huwezi elewa
Uislam humu unasaidia nini mkuu! Mada inahusu dini? Au kuna ujinga unafanywa kisa dini fulani?! Funguka huenda ukawa na taarifa
fanya jambo liwe jamboAsante mwaya, nashukuru.
Tatizo nikisema nifanye hivyo mtaniunga mkono kweli kwenye kunipa maokoto? Lols
Na sasa hivi ndio nina maumbea mazito ya kutikisa nchi! Hayo maubuyu hadi dada yetu yule hana.
Kama ndugu mbona hujamfata inbox au kwingine? AuNampa nasaha, huyo ni ndugu yangu.
Naomba usiingilie mazungumzo yetu, tafadhali
thanks. Nakunia Madam Mpambanaji!Kesho tu, jiandae kabisa bro.