Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huba la jb na Happy lilivuta wengi kweliDaaaah nimecheka sana. Lols
Ila mimi niliipenda zile scene kabla ya harusi, huba lilikuwa huba kweli!
Hiyo Kix naona ni wachina tu kuna kingine zaidi ?Mimi zaidi ya mpira sina kipindi ninachokipenda, maana drama zangu za Kikorea hazipo humo.
Kuna kipindi waliziwekaga wakazitoa…
Au nitaangalia Kix wa akina Jackie Chan za miaka ya 70 huko 🤣🤣🤣
Wangeshikilia kwenye ubora ule wangenipata, walipokoroga tu nikatupilia mbali.Huba la jb na Happy lilivuta wengi kweli
Baada ya hapo hamna cha maana
Me siangalii bora niangalie njoro wa uba Ile ya wakenya
Uba ya kenya iko vzrHuba la jb na Happy lilivuta wengi kweli
Baada ya hapo hamna cha maana
Me siangalii bora niangalie njoro wa uba Ile ya wakenya
Mumeo si atakuwepo akiiendesha kwa hela tunazolipia app yako au ulitakaje?Halafu familia yangu utaiangalia wewe Mkuu?
Kwa staha na kuchekesha wako vzrMostly ni wachina, mara chache za kizungu.
Huwa napenda maana movie zao zina staha, hakuna mambo ya kishenzi na zinachekesha.
DuhMumeo si atakuwepo akiiendesha kwa hela tunazolipia app yako au ulitakaje?
Hahahaha,wale na zile monkey dynasty wanaruka ruka hewani tu naonaga, nakubaki kushangaa tu productionHasa wale drunken master, huwa nacheka sana.
Umefanya vzr sanaID za watu huku zinaakisi mengi, nilipoiona tu nimetulia.
Huwa nashangaa pia teknolojia yao ktk movies!Hahahaha,wale na zile monkey dynasty wanaruka ruka hewani tu naonaga, nakubaki kushangaa tu production
Maisha magic nadhaniMimi mbona hiyo siijui? Iko kwenye channel gani?
Hata mm huwa natazama hizo production zao, na zile costumes ,kifupi huwa si base na hadithi na dili na vingine kbsHuwa nashangaa pia teknolojia yao ktk movies!
Drama za mwaka 80 zina quality kuliko Mwantumu ya Joti ya miaka hii ya karibuni na zinginezo!
Wale jamaa wako mbali sana.
Sawa sawa ,nakuelewaSio kila vita ni za kupigana, ukijua hilo utashinda mengi.
Sasa mimi huwa natazama vyote, hadi uhodari wa kuigiza na walivyoiva kikakamavu.Hata mm huwa natazama hizo production zao, na zile costumes ,kifupi huwa si base na hadithi na dili na vingine kbs