Mara: Abiria 16, Dereva na Kondakta wakamatwa kwa tuhuma za kumpiga Askari wa Usalama Barabarani

Mara: Abiria 16, Dereva na Kondakta wakamatwa kwa tuhuma za kumpiga Askari wa Usalama Barabarani

Huyo askari kuna jambo itakuwa alifanya au alitoa kauli chafu , si rahisi watu wote wampige yeye kama alitumia ustaarabu wa kisheria
Askari huwa wanajiona kama miungu watu ,yaani wao ndiyo wanajua kila kitu na wana haki ya kukufanya chochote! Next time ni Kupiga na kuwachoma moto tu ili akili iwakae sawa...Askari kinachowapa nguvu ni hiyo mitutu yao tu.
 
Jeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu 18, wakiwemo dereva, kondakta na abiria 16, kwa tuhuma za kumpiga askari wa usalama barabarani aliyekuwa akikagua gari walilokuwa wamepanda. Tukio hilo lilitokea Septemba 18, 2024, saa 12 jioni katika mkoa wa Mara.

Akizungumza kuhusu tukio hilo, Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Trafiki Kuu, Butusyo Mwambelo, amesema kuwa askari huyo alikumbwa na kipigo wakati akijaribu kushusha abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari. Hata hivyo, kondakta wa gari hilo alifunga mlango na wote waliokuwa ndani ya gari, akiwemo dereva, kondakta, na abiria, walianza kumshambulia askari huyo.

“Askari wetu alikuwa akitekeleza wajibu wake wa kuwataka abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari washuke. Lakini ghafla walimzonga kwa maneno ya kebehi, na kondakta kufunga mlango wa gari. Ndipo dereva, kondakta na abiria wao wakaanza kumpiga askari akiwa ndani ya gari. Je, kweli tumefika hatua hiyo kama Watanzania?” alisema Mwambelo.
=============
Wananchi wanahasira sana hadi kufikia hatua ya kumtwaga askari mh tunapoelekea sasa ni balaa tupu!

Soma Pia: Abiria watakiwa kupaza sauti kwa Madereva wasiofuata Sheria za Usalama Barabarani


Juzi ilikuwa Lamadi. Sasa imeenda Mara. Mimi sio mpiga ramli wa kigiriki
 
Ningekuwa polisi hata siku moja nisingejitoa kupambania uhai wa mwananchi,maana hapo kwa kutumia akili zangu timamu sioni kosa la hao askari kushambuliwa kisa kuwashusha waliozidi katika gari.Hivi wakifa hao watu polisi mtakosa mishahara?
 
Tz bado huduma nyingi za Jamii ni mbovu, unawashushaje watu walosimama kwenye Gari tena mkoani watu 18 tu wakati Dar watu zaidi ya 150 wanasimama kwenye Mwendokasi moja wanakosa mpaka pumzi wengine wanazimia wengine wanaumia hovyo hovyo na hakuna Trafic anaeliona hilo.
Wapigwe tu mpaka watakapowaambia waajiri wao waboreshe huduma maana hakuna mtu anapenda kusimama akaacha seat iliyowazi.
 
Tz bado huduma nyingi za Jamii ni mbovu, unawashushaje watu walosimama kwenye Gari tena mkoani watu 18 tu wakati Dar watu zaidi ya 150 wanasimama kwenye Mwendokasi moja wanakosa mpaka pumzi wengine wanazimia wengine wanaumia hovyo hovyo na hakuna Trafic anaeliona hilo.
Wapigwe tu mpaka watakapowaambia waajiri wao waboreshe huduma maana hakuna mtu anapenda kusimama akaacha seat iliyowazi.
 
Ili Swala niliwahi kulisema Wanasiasa matamko yao yanaweza kupelekea Machafuko..

Na Rais kama Conforter In Chief yaani Mfariji mkuu wa Taifa hakupaswa Kutoa Ile Hotuba imechochea Hasira Nyingi sana kwa Raia..

inabidi angetoa Hotuba ya Kufariji kwa sababu wanaoumia na Matukio haya Ni raia na wala sio wanasiasa
Hakuna excuse ya kumpiga huyo askari,sheria ifuate mkondo
 
Tz bado huduma nyingi za Jamii ni mbovu, unawashushaje watu walosimama kwenye Gari tena mkoani watu 18 tu wakati Dar watu zaidi ya 150 wanasimama kwenye Mwendokasi moja wanakosa mpaka pumzi wengine wanazimia wengine wanaumia hovyo hovyo na hakuna Trafic anaeliona hilo.
Wapigwe tu mpaka watakapowaambia waajiri wao waboreshe huduma maana hakuna mtu anapenda kusimama akaacha seat iliyowazi.
 
Back
Top Bottom