Mara: Mkuu wa Mkoa ashangaa Wanafunzi wa Darasa la 7 kutowafahamu Waziri Mkuu na Rais wa Zanzibar

Mara: Mkuu wa Mkoa ashangaa Wanafunzi wa Darasa la 7 kutowafahamu Waziri Mkuu na Rais wa Zanzibar

Ukiwauliza wakutajie majina ya wasanii wa bongo fleva watatiririka. Sasa jiulize wanafundishwa darasani kuhusu bongo fleva?
 
Kwani watu hao wana msaada gani kwa matatizo yao?
Kiongozi huyo wa Mkoa, Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee ameyaeleza hayo wakati akizungumza na Walimu wa shule tofauti Mkoani hapo.

Amesema amewauliza wanafunzi wengi na wameonekana hawana ufahamu juu ya Sikukuu ya Mapinduzi, kutomfahamu Waziri Mkuu wa Tanzania wala Rais wa Zanzibar.

Amesema “Nimezunguka shule tatu tofauti nimepata mmoja tu ndio mjanja nikampa na Tsh. 10,000. Mtoto wa Darasa la Saba, mwaka huu anafanya mtihani kuhingia kidato cha kwanza lakini hana historia ya Nchi yetu, inaumiza.

“Tusiishie uangalia tu madaftari na sare za shule, nyie ni walimu, hii ni aibu.”

Chanzo & Video: Jambo TV
a
 
Mtoto kaulizwa matunda ya mapinduzi matukufu ya zanzibar kosa aseme ni kuzaliwa kwa zanzibar huru, kajibu maembe,
 
Sijaiangalia hiyo video lakini nataka nijue kama kweli RC amewauliza hao wanafunzi juu ya waziri mkuu wa zanzibar
Umekoti vibaya.
Kauliza "Rais wa Zanzibar ni nani na Waziri mkuu ni nani" vitoto vikabaki gaaa! Havina jibu!
 
Hivi nikisema 'Baba na mama Amina wanakuja' hivi maana yake ni baba juma na mama Amina au baba Amina na mama Amina ? Soma heading vizuri compare na mfano wangu ndio ujibu
Wewe mwenyewe mkuu mfano wa statement yako umeshindwa kuujengea hoja yenye majibu sahihi!

"Baba na mama Amina wanakuja".

Hapo kuna sentensi ama statement mbili sahihi.

Ya kwanza: "baba yako wewe pamoja na mama Amina wanakuja".

Ya pili: "baba na mama (wazazi) wa Amina wanakuja".
 
Kiongozi huyo wa Mkoa, Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee ameyaeleza hayo wakati akizungumza na Walimu wa shule tofauti Mkoani hapo.

Amesema amewauliza wanafunzi wengi na wameonekana hawana ufahamu juu ya Sikukuu ya Mapinduzi, kutomfahamu Waziri Mkuu wa Tanzania wala Rais wa Zanzibar.

Amesema “Nimezunguka shule tatu tofauti nimepata mmoja tu ndio mjanja nikampa na Tsh. 10,000. Mtoto wa Darasa la Saba, mwaka huu anafanya mtihani kuhingia kidato cha kwanza lakini hana historia ya Nchi yetu, inaumiza.

“Tusiishie uangalia tu madaftari na sare za shule, nyie ni walimu, hii ni aibu.”

Chanzo & Video: Jambo TV
wajue mapinduzi yana faida gani kwao shule zao hazi vioo maji madawat walimu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna watu watakuja hapa kulaumu mfumo wa elimu ya TZ.

Kujifunza siyo shuleni tu, ukitoa cartoon watoto wa siku hizi hawafuatilii sherehe za kitaifa ambazo mara nyingi unaweza kudaka vitu baadhi muhimu, kama kujua viongozi, historia ya taifa n.k.

Pia usomaji wa mageziti (siyo ya udaku) ni muhimu. Nakumbuka kipindi naanza kujifunza kusoma, mazoezi mengi nilifanya kupitia magazeti.

Mkuu wa mkoa kasema vizuri, wazazi nao suala la elimu wamewatupia walimu tu.
mapunduzi yana faida gani kwao?
 
Kwamba wakishajua hivyo watakuwa Wana uhakika wa kutoboa kimaisha au lengo tujue umetoa ten
 
Makosa ya nani ?

Hao wanafunzi hao huyo waziri mkuu na Rais wa Zanzibar na wengine wengi kuwepo kama hawapo ?

Mbona wanamjua Messi na wengineo....

Huenda viongozi ndio wana-under-perform
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna watu watakuja hapa kulaumu mfumo wa elimu ya TZ.

Kujifunza siyo shuleni tu, ukitoa cartoon watoto wa siku hizi hawafuatilii sherehe za kitaifa ambazo mara nyingi unaweza kudaka vitu baadhi muhimu, kama kujua viongozi, historia ya taifa n.k.

Pia usomaji wa mageziti (siyo ya udaku) ni muhimu. Nakumbuka kipindi naanza kujifunza kusoma, mazoezi mengi nilifanya kupitia magazeti.

Mkuu wa mkoa kasema vizuri, wazazi nao suala la elimu wamewatupia walimu tu.
Kuna umuhimu gani kumjua jina lake hamna faida yeyote msituchanganye

Kwanza sahivi tunafaulishwa tu kwenda sekondari na elimu ni bure ..ndio maana mimi nitaenda mwezi wa pili mwezi wa kwanza ni usafi tu hatusomi
 
Kiongozi huyo wa Mkoa, Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee ameyaeleza hayo wakati akizungumza na Walimu wa shule tofauti Mkoani hapo.

Amesema amewauliza wanafunzi wengi na wameonekana hawana ufahamu juu ya Sikukuu ya Mapinduzi, kutomfahamu Waziri Mkuu wa Tanzania wala Rais wa Zanzibar.

Amesema “Nimezunguka shule tatu tofauti nimepata mmoja tu ndio mjanja nikampa na Tsh. 10,000. Mtoto wa Darasa la Saba, mwaka huu anafanya mtihani kuhingia kidato cha kwanza lakini hana historia ya Nchi yetu, inaumiza.

“Tusiishie uangalia tu madaftari na sare za shule, nyie ni walimu, hii ni aibu.”

Chanzo & Video: Jambo TV
Ukiona hivyo ujue viongozi wa Mkoa wote hawafai, pamoja na wilaya. Haiwezekani umuwakilishe Rais halafu hujawaambia wananchi kwamba unamwakilisha Samia na Dk Mwinyi, teuzi ijayo SSH awafute mkuu wa Mkoa na wilaya na wakurugenzi

Wamejipima, wamejiona hawatoshi. Ni dhahiri hawafanyi ziara kuwaambia wananchi kwamba ni Rais ndiye anajenga madarasa, na Waziri Mkuu ndiye msimamizi
 
Ina umuhimu gani kuwajua ? Hao sahiv wafundishwe mambo yatkayo wasaidia huko mbele na siyo kukariri majina ya watu
 
Kiongozi huyo wa Mkoa, Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee ameyaeleza hayo wakati akizungumza na Walimu wa shule tofauti Mkoani hapo.

Amesema amewauliza wanafunzi wengi na wameonekana hawana ufahamu juu ya Sikukuu ya Mapinduzi, kutomfahamu Waziri Mkuu wa Tanzania wala Rais wa Zanzibar.

Amesema “Nimezunguka shule tatu tofauti nimepata mmoja tu ndio mjanja nikampa na Tsh. 10,000. Mtoto wa Darasa la Saba, mwaka huu anafanya mtihani kuhingia kidato cha kwanza lakini hana historia ya Nchi yetu, inaumiza.

“Tusiishie uangalia tu madaftari na sare za shule, nyie ni walimu, hii ni aibu.”

Chanzo & Video: Jambo TV
Wazingatie masomo tu , waachane na maswali yasiyo na tija
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna watu watakuja hapa kulaumu mfumo wa elimu ya TZ.

Kujifunza siyo shuleni tu, ukitoa cartoon watoto wa siku hizi hawafuatilii sherehe za kitaifa ambazo mara nyingi unaweza kudaka vitu baadhi muhimu, kama kujua viongozi, historia ya taifa n.k.

Pia usomaji wa mageziti (siyo ya udaku) ni muhimu. Nakumbuka kipindi naanza kujifunza kusoma, mazoezi mengi nilifanya kupitia magazeti.

Mkuu wa mkoa kasema vizuri, wazazi nao suala la elimu wamewatupia walimu tu.
Mwalimu Zero, mwanafunzi zero, mzazi ndio kabisa hata aangalie daftari Hana habari 0+0+0 =Ujinga!!
 
Hah Hah inaonesha kuwa umaarufu wa CCM upo ktk mitandao ya kijamii lakini familia za kiTanzania hawana habari na CCM pamoja na viongozi wake .

Mwl: Matunda tuliyopata baada ya Mapinduzi (Matukufu)?
Mwanafunzi : Embe

RC : Rais wa bongoFlava ni nani ? Wanafunzi : Diamond


Hii inaakisi role model wa wanafunzi wengi Tanzania siyo wanasiasa wa CCM walio ofisini.
 
Back
Top Bottom