Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee ramli zimeanzaKama limeanzia Butiama kuna shida Mahali
Mbona hiyo dira inatupeleka U11 March 2021
Butiama, Musoma
Tanzania
Ukubwa wa tetemeko ni Magnitude 4.7 - limetokea eneo-kitovu dira inasoma (1.510°S 34.279°E) kilometa 20 Kusini-Kusini-Magharibi (SSW) ya Tarime Tanzania . Chanzo cha habari kituo cha serikali ya Marekani cha kurekodi matetemeko ya ardhi. https://earthquake.usgs.gov/earthquakes/eventpage/us7000di0h/executive
M 4.7 - 20 km SSW of Tarime, Tanzania
- 2021-03-11 01:47:13 (UTC)
- 1.510°S 34.279°E
- 10.0 km depth
- Interactive Map
Source : https://earthquake.usgs.gov/earthquakes/eventpage/us7000di0h/executive
🤣🤣🤣😷😷Kama limeanzia Butiama kuna shida Mahali
Ni kweli limeitikisa mkoa wa Mara kwa nguvu zote.Aliye mikoa ya kaskazini umesikia hiyo kitu?
Good morning!Tupeane taarifa zaidi toka maeneo mengine kama kuna madhara au taarifa zozote kuhusu.
Nipo Mwanza.
====
UPDATE
View attachment 1722473View attachment 1722474
Lina uhusiano wowote na yanayoendelea nchini sasa hivi?
Labda ni ishara maalum!
Kitu kama salam hivi!
Jamaa wa Butiama akimpelekea ujumbe yule wa Chato!
JF never boring!Lina uhusiano wowote na yanayoendelea nchini sasa hivi?
Labda ni ishara maalum!
Kitu kama salam hivi!
Jamaa wa Butiama akimpelekea ujumbe yule wa Chato!
Wewe ni real human or robot?.Ni kweli limeitikisa mkoa wa Mara kwa nguvu zote.