Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Sizungumzii misukule kama ile ya mikoa ya kanda ya ziwa ambapo watu huzika mtu halafu akaokotwa baada ya muda miji ya mbali.
Nazungumzia vile hujamuona mtu fulani au mzee wa eneo bila kuuliza au bila kupata habari zake kiuhakika baadae ukamuona siku ya siku kwenye mishughuliko yake.
Vile vile nazungumziaj pale anapotkea mtu akatoa taarifa ya kifo cha mtu fulani na kwa wasifu wake huo ukatosheka kuwa ni mtu fulani unayemfahamu. Lakini ya miezi au miaka ukakutana naye tena njiani au sokoni.
Kama imewahi kukutokezea hiyo kama ambavyo imenitokezea mimi mara nyingi nini ulifanya kwa huyo mtu ujliyejenga sura kuwa tayari ni mchanga.
Nazungumzia vile hujamuona mtu fulani au mzee wa eneo bila kuuliza au bila kupata habari zake kiuhakika baadae ukamuona siku ya siku kwenye mishughuliko yake.
Vile vile nazungumziaj pale anapotkea mtu akatoa taarifa ya kifo cha mtu fulani na kwa wasifu wake huo ukatosheka kuwa ni mtu fulani unayemfahamu. Lakini ya miezi au miaka ukakutana naye tena njiani au sokoni.
Kama imewahi kukutokezea hiyo kama ambavyo imenitokezea mimi mara nyingi nini ulifanya kwa huyo mtu ujliyejenga sura kuwa tayari ni mchanga.