Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
- Thread starter
- #21
Mzee huyu Mungu amrehemu
Ni mzee sana na mara nyingi nikifikiria watu wanaoandika historia hutamani wangefanya mahojiano naye mapema.Alikuwa ni mtumishi wa serikali na mcheshi sana na hodari wa kuzungumza na vijana.
Mara ya mwisho nilipoonana naye aliniambia anaumwa sana na anamsubiri mwanawe ampeleke hospitali ya rufaa.Nilipokuwa simuoni muda mrefu nikadhani ndio keshatangulia tena.Sikuwa na mtu wa kumuulizia habari zake.Miaka kadhaa ikapita.Siku hiyo ghafla nikaonana naye.Kwa furaha wala sikukumbuka kuchukua mawasiliano yake ili niwatume vijana wangu kwake. Miaka kadhaa imepita tena.Sijui kama tutakutana tena hpa duniani.Na kama nikikutana naye basi siku hiyo sitomuachia aende peke yake kwake.
Ni mzee sana na mara nyingi nikifikiria watu wanaoandika historia hutamani wangefanya mahojiano naye mapema.Alikuwa ni mtumishi wa serikali na mcheshi sana na hodari wa kuzungumza na vijana.
Mara ya mwisho nilipoonana naye aliniambia anaumwa sana na anamsubiri mwanawe ampeleke hospitali ya rufaa.Nilipokuwa simuoni muda mrefu nikadhani ndio keshatangulia tena.Sikuwa na mtu wa kumuulizia habari zake.Miaka kadhaa ikapita.Siku hiyo ghafla nikaonana naye.Kwa furaha wala sikukumbuka kuchukua mawasiliano yake ili niwatume vijana wangu kwake. Miaka kadhaa imepita tena.Sijui kama tutakutana tena hpa duniani.Na kama nikikutana naye basi siku hiyo sitomuachia aende peke yake kwake.