huu ududuna wa mwafrika baanaa hahahahah ok hati miliki za bilgeti na wale jamaa wa epo zote za kwangu. hati miliki za teknolojia y satellites na teknolojia yote inauohusu mambo ya anga na nucler system nimewahi ni vya kwngu na ukoo wngu. vilivyobaki vyote chukueni
hapo namaanisha NASA , INTERNATIONAL SPACESTATION, KAMpUNI ZA ELON, VYYOTE CHINI YA UMILIKI WANGU
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tutatumia magari,simu na tv zao sasa zikiisha hapo tunarudi zama za mawe za giza [emoji1][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ukimiliki wewe vitakuwa tu pambo maana wenye utaalamu ndio hivyo hawapo[emoji3][emoji3]huu ududuna wa mwafrika baanaa hahahahah ok hati miliki za bilgeti na wale jamaa wa epo zote za kwangu. hati miliki za teknolojia y satellites na teknolojia yote inauohusu mambo ya anga na nucler system nimewahi ni vya kwngu na ukoo wngu. vilivyobaki vyote chukueni
hapo namaanisha NASA , INTERNATIONAL SPACESTATION, KAMpUNI ZA ELON, VYYOTE CHINI YA UMILIKI WANGU
Lakini sisi waafrika si tunamiliki uchawi.Ama kweli ! Kumbe ukiondo "z" kutoka "mzungu" unapata "Mungu" mzungu - z = Mungu . Wazungu wana Uungu ndani , mwafrika ana nini ? Dunia ni ya wazungu , waafrika tunasubiri neno kwa mzungu ,ndio maana walipoleta dini tuliishia kusema "ndio mzee "
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaa nyumba na viwanja vitakuwa vingi sana wenyewe hamnaDuuh mkuu, are you serious ??
Mimi itakuwa zangu yangu kuongoza Marekani
nitaajiri akina Magonjwa Mtambuka UCD stroke ambao fahari yao ilikua kuwahi nyumba za kina rugemalila na lugumi kish nawapa manual books wajifungie na wazisome kisha tutaendesha hizo kampuni,Hata ukimiliki wewe vitakuwa tu pambo maana wenye utaalamu ndio hivyo hawapo[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
China siendiItafika mahali sisi waafrika tutaenda kununua nyumba na kushika viwanja china na mataifa mengine huko
Duh.nitajiri akina Magonjwa Mtambuka UCD stroke ambao fahari yao ilikua kuwahi nyumba za kina rugemalila na lugumi kish nawapa manual books wajifungie na wazisome kisha tutaendesha hizo kampuni,
Hahahahah naenda kujimegea kipande Cha Beverly hills [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujiandae best[emoji23] na sisi tukaishi ulaya. Sio kila siku ulaya tunaiona kwa tv tu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] dah kwahiyo wakifa tutaenda kilithi majengo yao na malizao?
π π π tubaki tu na hili jua letu itakuwa vzr zaidi.Tujiandae best[emoji23] na sisi tukaishi ulaya. Sio kila siku ulaya tunaiona kwa tv tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo? Sibaki isee, me ntaenda zangu abroad[emoji38] [emoji38] [emoji38] tubaki tu na hili jua letu itakuwa vzr zaidi.
π π π π nenda Italy patakufaa sana.
Nawaza tuu!
Utakua ndio mwisho wa maendeleo ya Teknolojia.
Vita kila mahali
Na si ajabu maisha yakawa magumu na ya hatari zaidi ya ilivyo sasa.
Na Hapo Ndipo Tutakapo Amini MZUNGU Ukitoa 'Z' ni MUNGU!
Uzi Tayari!!
Sent using Jamii Forums mobile app