Mara Paaap!! Tumebaki watu weusi tupu

Hiiii yani Jiwe na mwanae wakuachie kizembe hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ukimiliki wewe vitakuwa tu pambo maana wenye utaalamu ndio hivyo hawapo[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahah naenda kujimegea kipande Cha Beverly hills [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Safari ni ndefu sana hapa Mkuu utaniachia hata ekar kadhaa hivi
 

Hizi fantansies za kipumbavu sana

Badala tukae na kujengea our own civilization,tuko hapa tukapiga stori za kipumbavu sana kama zile tukiwa la pili au la tatu!

Mentality za ajabu sana hizi,za kua na ndoto ya kwenda kulowea alichojenga superior race zaidi yako!

Upumbavu ulioje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…