Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hahahaha poa ngoja niwahi visima vya mafuta huko Texas na migodi ya madiniMkuu zile Casino za Las Vegas nimeshaziwahi bro tafuta machaka mengine mbona yapo mengi tu bro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisaUsichukulie kila KITU seriously.
Sometimes watu wanahitaji kupunguza stress
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nakuona na zile pigo za kicow boy mkuuHahahaha poa ngoja niwahi visima vya mafuta huko Texas na migodi ya madini
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri hapa ume overreact.
Jukwaa la mzaha unategemea ukute kitu tofauti na mzaha!
Mtu ana 30yrs ana mzaha?
Mzaha huu?
Kuna mizaha ya 30yrs olds ila si hizi wishful thinkings!
Mpaka ufike Ulaya miguu itakuwa imeota mizizi kwa kutembea.. Maana kutakuwa hamna Usafiri labda Fisi.Tujiandae best[emoji23] na sisi tukaishi ulaya. Sio kila siku ulaya tunaiona kwa tv tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jenga tu, sisi tutakuombea ufe afu tutarithi utakavyoviacha..Hizi fantansies za kipumbavu sana
Badala tukae na kujengea our own civilization,tuko hapa tukapiga stori za kipumbavu sana kama zile tukiwa la pili au la tatu!
Mentality za ajabu sana hizi,za kua na ndoto ya kwenda kulowea alichojenga superior race zaidi yako!
Upumbavu ulioje!
Sio bure kuna sehemu una shida au ni ujuaji umekuzidi huwezi fikiria hata huu uzi upo jukwaa gani?Niko najenga yangu ndio maana hunioni humu na wishful thinkings za kusubiri eti wafe nikachukue their civilizations!
Wa kuuliza hasa ni huyu anaeleta huu utoto humu to begin with!
Mimi na Sanchi world
Kapumzike uta burst bure wakati watu wanajipunguzia stress katika jukwaa halisiNiko najenga yangu ndio maana hunioni humu na wishful thinkings za kusubiri eti wafe nikachukue their civilizations!
Wa kuuliza hasa ni huyu anaeleta huu utoto humu to begin with!
huu ududuna wa mwafrika baanaa hahahahah ok hati miliki za bilgeti na wale jamaa wa epo zote za kwangu. hati miliki za teknolojia y satellites na teknolojia yote inauohusu mambo ya anga na nucler system nimewahi ni vya kwngu na ukoo wngu. vilivyobaki vyote chukueni
hapo namaanisha NASA , INTERNATIONAL SPACESTATION, KAMpUNI ZA ELON, VYYOTE CHINI YA UMILIKI WANGU
Aah ntatumia our traditional flight[emoji41]Mpaka ufike Ulaya miguu itakuwa imeota mizizi kwa kutembea.. Maana kutakuwa hamna Usafiri labda Fisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi na Sanchi world
Kapumzike uta burst bure wakati watu wanajipunguzia stress katika jukwaa halisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimewahi Brazil Amazon yote ya kwangu na wadada wa ki-Latino