Mara Paaap!! Tumebaki watu weusi tupu

Mara Paaap!! Tumebaki watu weusi tupu

Hizi fantansies za kipumbavu sana

Badala tukae na kujengea our own civilization,tuko hapa tukapiga stori za kipumbavu sana kama zile tukiwa la pili au la tatu!

Mentality za ajabu sana hizi,za kua na ndoto ya kwenda kulowea alichojenga superior race zaidi yako!

Upumbavu ulioje!
Wewe jenga tu, sisi tutakuombea ufe afu tutarithi utakavyoviacha..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ukaona isiwe taabu ikabdi na ww utembee na biti....hongera kwa kuwa mmliki wa teknolojia wa kiafrica hahahahaha
huu ududuna wa mwafrika baanaa hahahahah ok hati miliki za bilgeti na wale jamaa wa epo zote za kwangu. hati miliki za teknolojia y satellites na teknolojia yote inauohusu mambo ya anga na nucler system nimewahi ni vya kwngu na ukoo wngu. vilivyobaki vyote chukueni

hapo namaanisha NASA , INTERNATIONAL SPACESTATION, KAMpUNI ZA ELON, VYYOTE CHINI YA UMILIKI WANGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom