Mara Paaap!! Tumebaki watu weusi tupu

Mara Paaap!! Tumebaki watu weusi tupu

Itafika mahali sisi waafrika tutaenda kununua nyumba na kushika viwanja china na mataifa mengine huko
Nawaza tuu!
Utakua ndio mwisho wa maendeleo ya Teknolojia.
Vita kila mahali
Na siajabu maisha yakawa magumu na ya hatari zaidi ya ilivyo sasa.

Na Hapo Ndipo Tutakapo Amini MZUNGU Ukitoa 'Z' ni MUNGU!

Uzi Tayari!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaza tuu!
Utakua ndio mwisho wa maendeleo ya Teknolojia.
Vita kila mahali
Na si ajabu maisha yakawa magumu na ya hatari zaidi ya ilivyo sasa.

Na Hapo Ndipo Tutakapo Amini MZUNGU Ukitoa 'Z' ni MUNGU!

Uzi Tayari!!

Sent using Jamii Forums mobile app

majungu,fitina,uzandiki,uchawi,roho ya kwa nini.hapo tuna rudi zama za binadamu wa kwanza kuwa sokwe afrika


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naona ndio utakuwa mwisho wa dunia.maana sisi rangi nyeusi,mmmhhhh...!!!
 
huu ududuna wa mwafrika baanaa hahahahah ok hati miliki za bilgeti na wale jamaa wa epo zote za kwangu. hati miliki za teknolojia y satellites na teknolojia yote inauohusu mambo ya anga na nucler system nimewahi ni vya kwngu na ukoo wngu. vilivyobaki vyote chukueni

hapo namaanisha NASA , INTERNATIONAL SPACESTATION, KAMpUNI ZA ELON, VYYOTE CHINI YA UMILIKI WANGU
 
Nawaza tuu!
Utakua ndio mwisho wa maendeleo ya Teknolojia.
Vita kila mahali
Na si ajabu maisha yakawa magumu na ya hatari zaidi ya ilivyo sasa.

Na Hapo Ndipo Tutakapo Amini MZUNGU Ukitoa 'Z' ni MUNGU!

Uzi Tayari!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila jamani ehee! tusiombee iwe hivyo maana hakuta kuwa na mtetezi kama wa Haki za binadamu,Shirika la chakula duniani,Jeshi la UN n.k, tuta uliwa ovyo na hakuna wa kuuliza,tuta kufa kama dagaa.
 
huu ududuna wa mwafrika baanaa hahahahah ok hati miliki za bilgeti na wale jamaa wa epo zote za kwangu. hati miliki za teknolojia y satellites na teknolojia yote inauohusu mambo ya anga na nucler system nimewahi ni vya kwngu na ukoo wngu. vilivyobaki vyote chukueni

hapo namaanisha NASA , INTERNATIONAL SPACESTATION, KAMpUNI ZA ELON, VYYOTE CHINI YA UMILIKI WANGU
Hahahahah naenda kujimegea kipande Cha Beverly hills [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiiii yani Jiwe na mwanae wakuachie kizembe hivyo?
huu ududuna wa mwafrika baanaa hahahahah ok hati miliki za bilgeti na wale jamaa wa epo zote za kwangu. hati miliki za teknolojia y satellites na teknolojia yote inauohusu mambo ya anga na nucler system nimewahi ni vya kwngu na ukoo wngu. vilivyobaki vyote chukueni

hapo namaanisha NASA , INTERNATIONAL SPACESTATION, KAMpUNI ZA ELON, VYYOTE CHINI YA UMILIKI WANGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom