Mara: RC Hapi Awasimamisha Kazi Watendaji; Asema Kazi Inaendelea

Mara: RC Hapi Awasimamisha Kazi Watendaji; Asema Kazi Inaendelea

Kindeena

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
11,462
Reaction score
21,124
1645028446593.jpg
1645028460022.jpg
 
Hapi Ameamka katika kutoa bla bla!
Mtu ana madaraka ya kufanya kazi halafu ana lia lia kwa Rais, ati watu chini yake wanakula rushwa , asijifikire u RC ni u Boy Scout.
 
Hizo ndio kazi tunataka ufanye kama mkuu wa mkoa na sio zile mara daktari amemkalipia mgonjwa, mara mchina kamnyanyasa mtanzania. Piga kazi zenye akili na Mama atakuona.
 
Hapi Ameamka katika kutoa bla bla!
Mtu ana madaraka ya kufanya kazi halafu ana lia lia kwa Rais, ati watu chini yake wanakula rushwa , asijifikire u RC ni u Boy Scout.
Kwa hili nitamtetea;

RC hana Mamlaka dhidi ya Watendaji waliopo chini yake.

Kuanzia RAS, Wakurugenzi, Watendaji wa Kata/Mitaa/Vijiji.

Mkurugenzi, RAS na DAS ni wateule wa rais kama alivyo RC kwa hiyo hana ubavu zaidi ya kuwasemea kwa Rais ambaye ndiye mwenye rungu.
 
Bado hajakamilisha kazi mtu wa mwisho kutoka baada ya hao alikua ni yeye sijui anasubiria nini?
 
Kwa hili nitamtetea;

RC hana Mamlaka dhidi ya Watendaji waliopo chini yake.

Kuanzia RAS, Wakurugenzi, Watendaji wa Kata/Mitaa/Vijiji.

Mkurugenzi, RAS na DAS ni wateule wa rais kama alivyo RC kwa hiyo hana ubavu zaidi ya kuwasemea kwa Rais ambaye ndiye mwenye rungu.
Ukiwa mkuu wa mkoa unatakiwa kuwa na furugu za kutosha.
Kwani mteule wa Rais ndo nani?
Akila rushwa TAKUKURU ya mkoa tosha kumfungisha firago.
 
Back
Top Bottom