Mara ya kwanza kumjua mtu aliyejiua kwa sababu ya Mapenzi

Mara ya kwanza kumjua mtu aliyejiua kwa sababu ya Mapenzi

H
Huyo mzee alivyomtandika alifanya Jambo jema Sana.
Tena alipiga mkwara ole wake mje amshike mtu...mpaka mke wake akaanza kuongea kwa lugha yao akim'bembeleza mumewe ndio akaacha..
 
Mapenzi mabaya sana lazima ujifunze kuwa kauzu la sivyo yatakuendesha sana.
 
Mauti ni roho inatembea kila siku ikitafuta wa kumtoa uhai. Mauti na kuzimu ni roho hatari sana zikimuingia mtu hata abembelezwe vipi atajiua tuu kukamilisha sadaka ya kuzimu

Tuombe Mungu tufe kwa faida katika Kristo Yesu
Amiin
 
mapenzi sio kwa watu dhaifu,huu msemo ishi nao utakusaidia uko mbelen,vijana tunaumia kwa sababu ya kuwekeza kwny mapenzi
 
ndo mana mishangazi mingine huamuwa kuyapa matoto yao mbunye kudhibiti kumbukumbu kama hizo ,zakuaza kusema angekuwa na wajukuu
 
Back
Top Bottom