Mara ya kwanza kumuamini mwanamke ilikuwa baada ya kuzama kwenye penzi zito na yeye

Mara ya kwanza kumuamini mwanamke ilikuwa baada ya kuzama kwenye penzi zito na yeye

Maandiko yalishasema tuishi nao kwa akili Maana yake ni kwamba wao wanaakili kuzidi wanaume . Na hakuna kiumbe hatari kilichowahi kuumbwa duniani kama Mwanamke. Do not ever try to trust women, never ever pls n pls.
 
. Axa we huon tukikaa kimya ...ndo wanakuja kutipigia kelele JF [emoji23][emoji23]
Ukiona kelele zake zinakusumbua jua tu amekushinda tayari[emoji23][emoji23]

Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.
 
Habari za Wanaume kulia hapa Jamii Forums kuumizwa na Wanawake zinazidi kushika kasi, pole sana Mkuu kwa kuachwa songa mbele kuna maisha baada ya kuachwa.
 
Ukiona mmoja analalamika kuachwa, kuna anayechekelea kupata
Hawa viumbe unatakiwa kuwapeleka kijeshijeshi, akizingua unampandisha cheo
 
Kumbe umewahi kumuamini mwanamke?
255788363637_status_3db06ab39ce34996a4242f528e7a20c7.jpeg
 
Kuna mtu alinifunza kuipenda haki. Kwa kuyapitia maumivu na mazito nilijifunza kuwa na huruma. Kwa mara ya kwanza nikamuamini mwanamke. Ama kweli mapenzi ni matamu mno, nilijikuta nazama zaidi kwenye penzi zito. Nikampa moyo wangu nikampenda kupita maelezo. Kabla ya hapo sikutaka kabisa kumuamini mwanamke yoyote ila akanibadilisha mtazamo wangu.

Nikaamini yupo kwa ajili yangu nikachagua kumfanya wa maisha. Niliamini ananipenda kweli ila yote yalikuwa ni maigizo. Alikuja kuharibu karibu na mwisho. Ilikuwa ni muda mchache tufunge pingu ya maisha pamoja.

Niliumia zaidi ya kuteseka mpaka nikajiuliza yawaje mimi mwanaume nimenasa kwenye mtego wa kitoto. Alifanya kuigiza kila kitu, nikajisahau uongo nikauwona ni ukweli mtupu.
HIJAWAHI TOKEA TANGU NIZALIWE
 
Back
Top Bottom