Mara ya kwanza kumuamini mwanamke ilikuwa baada ya kuzama kwenye penzi zito na yeye

Maandiko yalishasema tuishi nao kwa akili Maana yake ni kwamba wao wanaakili kuzidi wanaume . Na hakuna kiumbe hatari kilichowahi kuumbwa duniani kama Mwanamke. Do not ever try to trust women, never ever pls n pls.
 
. Axa we huon tukikaa kimya ...ndo wanakuja kutipigia kelele JF [emoji23][emoji23]
Ukiona kelele zake zinakusumbua jua tu amekushinda tayari[emoji23][emoji23]

Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.
 
Habari za Wanaume kulia hapa Jamii Forums kuumizwa na Wanawake zinazidi kushika kasi, pole sana Mkuu kwa kuachwa songa mbele kuna maisha baada ya kuachwa.
 
Ukiona mmoja analalamika kuachwa, kuna anayechekelea kupata
Hawa viumbe unatakiwa kuwapeleka kijeshijeshi, akizingua unampandisha cheo
 
HIJAWAHI TOKEA TANGU NIZALIWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…