Mara ya kwanza kutumia vilevi tofauti tofauti haya ndio yaliyonikuta

Apo kwenye bangi ilibidi nikutukane ila anyway ntarudi niliko toka🤣🤣
 
Mimi kitu ambayo siwezi kuchanganya vinywaji vinavyoleta ulevi. Ntakunywa aina moja kikiisha siongezi tena.

Niliwai zima bar mapema kweupe
 
Kunywa kusahau, usisahau kunywa.
 
Vichwa panzi tutawajua hapa
Kuna jamaa baada ya kupiga lite akaanza kulia msinibake msinibake msinibake jamani
Sasa lite nayo beer ya kulewesha kweli!! Hiyo kichwa Ram yake ndogo sana watu tunakula madude makali kinyama na mkoko tunapush, sema nini mie hua nakua stable sana nikiwa kwenye usukani plus pombe kumkichwa.

Sasa ile nimeingia ndani ya uzio nafunga geti e bhana naweza jiambia acha nisikilizie kidogo, ha ha nakuja kushtuliwa tisa au kumi usiku nimelala kwenye siti. Hii imenitokea zaidi ya mara mbili

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Huwez fakamia k vant kama fanta Orange lazm ikupelekee moto😀😀😀
Ila ukiipga kwa step uhakika

Wewe weed ilikukataa ila lile jani achana nalo lina vibe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…