Mara ya kwanza kutumia vilevi tofauti tofauti haya ndio yaliyonikuta

Masikini watoto wa Mungu wameshindwa kutambua ugoro kwa mwana aliyepotea .

Wakaishia kumpa beji dah [emoji38][emoji38]

Waseminary walifeli sana
 
[emoji1787][emoji1787]Nili ibaga kubeli ya uncle si nikawa na tafuna nameza mate weee nilizima kustuka saa moja jioni
 
Bia za Tz chungu sana
Siwezi
Heri nilewe na ginger ale

Hiyo flying fish nzuri. Ila napo imezidi utamu
flying fish sukari nyingi.

halafu haileweshi. kipindi ndio imeingia ingia nadhani mwanzoni mwa mwaka jana. nikaagiza nikajikuta napiga tu nafika mpka chupa ya 12. bado niko fresh kabisa.

shida tu nilianza kuihisi hewa imekuwa nzito, na mapigo ya moyo yanaenda kasi. Nadhani kwa sababu ya sukari nyingi.
Now nikitaka nisilewe naagiza hiyo ila nakunywa mwisho caton moja tu. (chupa 6)
 
Aisee una bahati sana ujinga huu uliufanya Mbeya, ungekuwa Dar ungeokotwa tena kwa kugombaniwa huku hujitambui na mpaka sasa ungekuwa unavaa shanga kiunoni na kuwa demu wa mwanamme mwenzako. Shukuru sana bado una malinda. Ulanzi oyeeee!
 
Aisee una bahati sana ujinga huu uliufanya Mbeya, ungekuwa Dar ungeokotwa tena kwa kugombaniwa huku hujitambui na mpaka sasa ungekuwa unavaa shanga kiunoni na kuwa demu wa mwanamme mwenzako. Shukuru sana bado una malinda. Ulanzi oyeeee!
ko wanaume wa dar huwa mnaowana sio
 
Hata mimi aisee nisha jalibu mara kadhaa, sihisi kitu nikaamua kuachana nayo
Ndugu zangu msijidanganye,mnavuta vitu vya kawaida..Nilikuwaga kama nyie..Nilipiga hiyo kitu ya South Africa(Lesotho specifically) kitu ni grade 1 kabisa tulishare watatu...Sasa nikawa nasema aaah hizi hazinichukuagi na hazina effect kwangu..Sasa Jamaa aliyeileta akapiga paff kama 5 tuu akaacha,Tulikuwa na binti mmmoja ye kapiga paff 2 tuu then mwamba sasa nikaigonga yote bila shida..
Kwa kuwa nakazaga hainichukui na haina effect nikaenda room kwanza maana nilianza kama kusikia usingizi pale pale..Mmmmh nimefika room nikaona kama kila kitu kinaenda slow motion kuanzia naingia kwenye kitanda hadi nilivyojilaza...Nikatulia dakika moja kitandani naona kichwa kimepata utulivu uliopitiliza..Ule utulivu ulinizidi nikahisi naweza kudata nikarudi sebleni kwa wenzangu ili nione hali zao zikoje..Sasa nikajikaza kama hamna kinachoendelea,ila sasa changamoto ikawa yule binti alisimama na kuanza kutuuliza hivii hamsikii kelele za bodaboda na magari kweli??Nikawa najikaza kucheka lakini nashindwa na ukicheka sana unaonekana imeshakuchukua so ilikuwa ni kuchekana tuu mwisho wa siku nikafunguka tuu asee hii kitu imenichukua na sielewi elewi hapa naona kila mtu ananyata tuu ilihali anatembea..Full hallucinations asee,Na mwisho kabisa nilivyoona ile kitu haifai ni yule binti alisema anaingia chumbani kupumzika..Kafika room katoka in 2 minutes karudi sebuleni anatuambia daah yani washikaji najisikia kulala ngoja niende room kulala..Asee nilicheka kichizi kwa Kuwa she just came from her room..

All in all bangi ni madawa ya kulevya na mihadarati wacha ipigwe marufuku..Kama una kichwa chepesi unakuwa chizi pale pale..Ile highness ilikaa for almost two hours hadi kuisha kichwani..

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Kmbe za huku sio za grade one mkuu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hii ndo bangi sasa

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Nilivuta skanka pale dodoma al manusula niachwe na basi full wenge japokuwa nilikuwa kichwa sana kwenye bushi tunavuta mchana kuwa afu saf saf sema skanka au high grade 🙌🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…