Mara ya kwanza kutumia vilevi tofauti tofauti haya ndio yaliyonikuta

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee jamaa kumbe ugoroo una balaaa sanaa
 
Ukiachana ni zile kupiga glasi mbili tatu za bia alafu kuishia hapo hapo siku ya kwanza kulewa nilikua form 2 kwenye harusi ya ndugu yangu nilipiga kilimanjaro lager kama 6 hivi ila nilikua normal tu sikufanya kituko chochote mpaka leo nishakua mzoefu sijawahi kupiga bia mpaka kuzima kabisa au kufika hatua ya kufanya vituko
 
Bora walivyo ipiga marufuku ilikuwa siyo poa wana kwambia kina kavu na mbichi[emoji1787][emoji1787]
Oyaaa acha kabisa
Nilipata shida kwenda home maana ilikua ni ng'ambo ya barabara yani ile barabara nilukua naiona ipo juu kama futi moja hivi, sasa kunyanyua mguu ndio shida, miguu mizito balaa[emoji1787]
 
Hebu jaribu shisha na gongo uje utusimulie mkuu bila kusagau kuberi na cocacola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…