Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Naushindweeeee.nawaombea hao 4 popote walipo mungu awaonyeshe droo la biko unalowachezesha 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naushindweeeee.nawaombea hao 4 popote walipo mungu awaonyeshe droo la biko unalowachezesha 😂
Daahh halafu ukiwa kifunia kila mmoja unamwambie ni wewe tu😅😅😁😁😁Siri ya mtungi.
113 😂😂😂 hapo jana nimefuta futa nambaEeh nambie ww huko na majina ngapi?
haya basi angalau uwe unazirukia uwapoze nyoyo 😁Naushindweeeee.
😂😂😂😂😂haya basi angalau uwe unazirukia uwapoze nyoyo 😁
Eeh mim sijawai fikisha hata 70113 😂😂😂 hapo jana nimefuta futa namba
Hayo mambo ya kuulizwa sijui tuko wangapi jibu ni moja tu cha peke ako kaburi.Daahh halafu ukiwa kifunia kila mmoja unamwambie ni wewe tu😅😅
mbona wengi ivo.... 😂 wewe ni dalali??113 😂😂😂 hapo jana nimefuta futa namba
😂😂😂 nimefuta wasp ukifungua unakutana na status mia huko wasp nimefuta koteee zimebaki 40Eeh mim sijawai fikisha hata 70
h wew acha tumbona wengi ivo.... 😂 wewe ni dalali??
Umetisha, hongera 😅😅Hayo mambo ya kuulizwa sijui tuko wangapi jibu ni moja tu cha peke ako kaburi.
Mim namba ambazo zinavoew status zangu mara nyingi hua ni 29 hadi 30.😂😂😂 nimefuta wasp ukifungua unakutana na status mia huko wasp nimefuta koteee zimebaki 40
AmenUmetisha, hongera 😅😅
pambania bro....Da
h wew acha tu
kivipi yani sijaelewa 😅Mimi waga nafuta halafu naisave kule kwa CALL HISTORY
Nikitaka kufuta naibipu afu baadae naifuta namba sinabaki huko kwa call historykivipi yani sijaelewa 😅
Elewa leacture sana dogo😂😂kivipi yani sijaelewa 😅
Ntawaita waje na kaka zanguWw umekomaa na meno yameeacha
Kuota unasema
Mtoto
hivi ndo wanaume wengi wanaumizwa 😂Nikitaka kufuta naibipu afu baadae naifuta namba sinabaki huko kwa call history