Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Good.sintosahau wosia wako shangazi 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good.sintosahau wosia wako shangazi 😅
basi mimi nipo kwenye upande wa hiyo 11%Wanaume wa humu 89% wako after 'mashangazi'
afu nimesahau kuchukua namba yako aisee 😅
Alafu wewe 🤨🙄
nashindwa kusema, ila kiko mbeya😂Chuo gani
😂😂😂apana! Ngoja kwanza mwenye nyumba atoe vitu nje ndo niombe
Utapopoa watoto wenzio au sio🤣🤣🤣👋damu inachemka bro.... walahi nikimaliza chuo lazima nitapopoa mwanaJF....😂 hii ni ahadi najiwekea na nyie Half american na Johnnie Walker ni mashahidi wangu...😂
Na suala la kuuliza hizo contacts daily nani mwenzangu. Unalimudu vipi?Me nina majina 95 tu...
Huwa sina kawaida ya kuomba namba,ukiniomba wewe nakupa ila ukinichek sisave mpaka unipe mchongo au nione unafaida na me
si unipe namba na wewe 😂Utapopoa watoto wenzio au sio🤣🤣🤣👋
😂komaWewe jaman jamani wewe tema maye chin usije geuka chura hap
Kumbe ni chalii ya apo fyadewatu wa arusha tunaonekana wabaya ila tuko peace sana 😅
Yes kaka yangu wa damu kabisa 😍
Ukute we mwenyewe hapo ndio kenge 🤣Mi lain ya haina namba naunga tu bando nafanya shughuli zangu mtandaoni sjawahi pigia mtu......kifup sina ishu na kenge yeyote
Mjomba wa republic kbs sema ndo hvo anaona wajomba wanavotoa shuhuda za kula utelezi wa humu anahisi ni kitu kirahis 🤣🤣asipokua makini atarudi kununua mumama wa shiva😂koma
Kumbe ni chalii ya apo fyade
Mwambie huyo Johnnie Walker mlevi mlevi.Yes kaka yangu wa damu kabisa 😍
Somo la Kibunda umelielewa Kaka zakodah kaka kuna mashangazi humu natamani sana.....
Mambo yake tumuachie mwenyewe asipende sana mbususu zitamfelisha maishaMjomba wa republic kbs sema ndo hvo anaona wajomba wanavotoa shuhuda za kula utelezi wa humu anahisi ni kitu kirahis 🤣🤣asipokua makini atarudi kununua mumama wa shiva
💰💰💰🤣👋si unipe namba na wewe 😂
achana na huyo dogo Johnnie Walker ubongo umeyeyuka kazi kuitemea mate dyudyu yakeMwambie huyo Johnnie Walker mlevi mlevi.
pesa ipo.... I love you jamani😫💰💰💰🤣👋