Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Upo Guest House?nina mwaka sijapima ila leo nimeamua kupima natumia kipimo hiki cha mate vipimo vya kutoboana na sindano kwangu sivipendi
je wewe mara ya mwisho kupima lini kama ujapima pima
na je kama umemletea wewe ugonjwa itakuwajeMimi napima kupitia wife... Siku akiniambia anao najua nimekwisha
Duh! Hapo ni kwako ethahahaha
hapana mkuu home
Potelea pote. Coz naplay safena je kama umemletea wewe ugonjwa itakuwaje
kuna via viashiria gani kuwa nipo gestDuh! Hapo ni kwako et
ahahah ngoja siku it itokee uone utakavyo chalukaPotelea pote. Coz naplay safe
Pima kwanza, usisahau kuleta mrejeshokuna via viashiria gani kuwa nipo gest
nimeghaili kwazaPima kwanza, usisahau kuleta mrejesho
jitahidi kupima mara kwa maraMimi nina mwezi nilipima kupitia kwa wale wa kujiita Abbot
unafungua then unakuwa kama unaswaki then unachukua unaweka kwenye kichupa flan hiv then majibu baada ya dakika tenHiyo njia gani?
mbona unajiogopa hivyoKaniambia tucheck leo....naona tunaenda kupata tunachokitaka.Maana haiwezekani mmepima mmekuta salama,then mnaenda kupima Tena🙄 kupimapima siyo kuzuri kabisa🤒
thanksNi lini!?
All the best
Haitakiwi kupima Mara kwa Mara mkuumbona unajiogopa hivyo