Mara ya mwisho kupima HIV ni lini?

Mara ya mwisho kupima HIV ni lini?

unakuwa unajua

.afya yako af unakuwa huna wasiwasi ata ukiluka bila kondom
Basi ngoja nikuache.....unajua afya yako kivipi hvi unajua magonjwa yapo mengi mnooo wewe, kujua HIV status tu ndo utakuwa umejua afya yako!!!!kwa taarifa yako sijawahi kupima toka nizaliwe na sina wasiwasi naporuka bila kondomu......wewe utakuwa below 25 kwa akili hzi
 
Basi ngoja nikuache.....unajua afya yako kivipi hvi unajua magonjwa yapo mengi mnooo wewe, kujua HIV status tu ndo utakuwa umejua afya yako!!!!kwa taarifa yako sijawahi kupima toka nizaliwe na sina wasiwasi naporuka bila kondomu......wewe utakuwa below 25 kwa akili hzi
sawa mkuu kila mtu na mtazamo wake
 
Back
Top Bottom