Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikua wavumilivu. Kitu kina load dakika 2 kufungua pange ila tunavumilia.Getjar.com
Ovistore.com
Mp3skull.com
Hulkshare.com
wale GPRS na hasa Nokia najua tuko pamoja
nilikuwa nafikiria hili jinaPerperonity [emoji41]
nilikuwa nafikiria hili jina
hivi bado zipo
sijui hata nilifuata nini huko!!!
Hii mpaka sasa bado inatumika😀😀
kuna Nimbuzz, Eskim , Manase.wen.ru , alafu kuna getjar [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ngoja nikatembeleeNime Google nimeiona pia bado ipo.
[emoji3][emoji3] mimi nilienda kutafuta wa kuchat nao, wengi walikua wa nje ya Tz
Haswaa...umenikumbusha Nokia 6230iKula like kwanza...umenikumbusha enzi hizo simu za kuaminika za kuingilia kwenye mtandao (internet) ni Nokia na Sony Ericsson
Kabisa mkuu,unapakua nyimbo mb2 kwa dk 30 na simu haiminimize huwez gusa popote, inafika 99% inafeli unatakiwa kuanza tena😆😆😆.Tulikua wavumilivu. Kitu kina load dakika 2 kufungua pange ila tunavumilia.
Sahivi mtandao ukigeuka tu 3G watu wanalalamika.
hiyo worldsex ilikuwa inasabisha shilingi 500 isikae mfukoni kwangu, ilikuwa inaishia cyber cafe. tumetoka mbali.worldsex.com,mzibo.net,darhotwire,juzfrenz
DarhotwireKwa wale wazee kidogo tutakumbuka kipindi hicho kuna tovuti tulizitumia sana mfano
[emoji117]Waptrick
[emoji117]Toxicwap
[emoji117]Redwap
Na nyingine nyingi. Kitu gani ukikaa unakikumbuka?[emoji23] Ipi ulipendelea zaidi kutembelea.