Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)


We jamaa ni liongo sana. Kwamba malaika akakwambia kuwa kuna hasi na chanya! Akugusia intergration na differentiation?
 
Siwezi kuyaandika yote.
Imenishangaza sana kwa jinsi ulivyoacha kutoa ujumbe uliopewa na “malaika “ kwa wanadamu! Nini kimekutokea hujaendelea tena tangu May 2022?! Hii inasema mengi kuhusu authenticity ya claims zako. Jihadhari na New Age Movement na mambo yake.
 
Mkuu endekea na hii kitu, ikiwezekana andika pembeni halfu post yote.

Halafu sasa ndio uje tujadili. Hii kupost nusunusu ndio inaleta mkanganyiko na kuanza kubiashana bila msingi wowote.

Tema nondo
 
Mwaka 2017 nilienda Rwanda na jamaa angu flan hivi!
Wakati tunarudi tukiwa njiani nyakati za usiku tukapita sehem tukapaki kwa muda... Lile eneo kwakipindi chote tulipopumzika akili inaniambia kuwa nilishawah kupiga hapo miaka kadhaa nyuma.
 
Je, hii ni simulizi ya kutunga (fiction), au ni halisi?
Uliambiwa kweli?
 
ulijaribu kucheku maleria mkuu. maana kuna kitu kinaitwaga HALLUCINATIONS, hii kitu iogope. unaweza ukaona unapiga picha na yesu
 
Nadhani ulipofika darasani hiyo mida mibaya ukachukuliwa tena na usingizi mzito kuliko wa bwenini
 
Mwaka 2017 nilienda Rwanda na jamaa angu flan hivi!
Wakati tunarudi tukiwa njiani nyakati za usiku tukapita sehem tukapaki kwa muda... Lile eneo kwakipindi chote tulipopumzika akili inaniambia kuwa nilishawah kupiga hapo miaka kadhaa nyuma.
Kupiga nn mruzi au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…