Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mkazi wa Dar es Salaam, Zitta Samson Magige, amekuta amekufa huku akiwa na jeraha linalodaiwa ni la risasi. Mwili wake ulitelekezwa Barabarani huko Nyamongo
Alienda Kwao Nyamongo Tarime kwaajili ya Harusi ya Mdogo wake.
Ameolewa na alikuwa na duka la Pombe kali Mkoani Dar.
Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Nyamongo
Alienda Kwao Nyamongo Tarime kwaajili ya Harusi ya Mdogo wake.
Ameolewa na alikuwa na duka la Pombe kali Mkoani Dar.
Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Nyamongo