Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Nauyo tuseme ni mapenzi au biashara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi imefunguliwa hata ukiuliwa as long as Plea bargain ipo nobodys going to jail 🤣🤣🤣Hivi inakuwaje watu wanauana hovyo namna hii? Au ndio nchi kufunguka?
Kama angelikuwa anathreaten interest za huyo Jiwe, basi kwa tabia ya jiwe the first suspect ni yeye, hilo hallina shida maana alikuwa na tabia ya kuua wapinzani wakeAngekuwepo yule mzee angesingiziwa hili kuwa kahusika nalo
Sasa mbona kipindi cha jiwe hali ilikua nafuu zaidi ya sasa?Kama angelikuwa anathreaten interest za huyo Jiwe, basi kwa tabia ya jiwe the first suspect ni yeye, hilo hallina shida maana alikuwa na tabia ya kuua wapinzani wake
Si kweli, yalikuwa hayasemwi maana kila mmoja likuwa mwoga. ya sasa ni personal issues kati yao and not the state. mauaji ya sasa hayahusishwi na state! watu wangesema mana sasa kuna unafuu sana wa kusemaSasa mbona kipindi cha jiwe hali ilikua nafuu zaidi ya sasa?
Mkuu unataka kusema mauaji ya wakati wa JPM ni sawa na mauaji ya sasa? nazungumzia uwingiSi kweli, yalikuwa hayasemwi maana kila mmoja likuwa mwoga. ya sasa ni personal issues kati yao and not the state. mauaji ya sasa hayahusishwi na state! watu wangesema mana sasa kuna unafuu sana wa kusema
Na kipindi hiki mauaji yamezidi Sanaa kuliko enzi za mwendazake.Angekuwepo yule mzee angesingiziwa hili kuwa kahusika nalo
Mbona taarifa ya mauaji ya watu 20 kilosa haijaripotiwa?Si kweli, yalikuwa hayasemwi maana kila mmoja likuwa mwoga. ya sasa ni personal issues kati yao and not the state. mauaji ya sasa hayahusishwi na state! watu wangesema mana sasa kuna unafuu sana wa kusema
Yeye alikuwa haui watu wadogowadogo.Angekuwepo yule mzee angesingiziwa hili kuwa kahusika nalo
Mbona wwe Mtu Mkubwa hajakuwa!!?Yeye alikuwa haui watu wadogowadogo.
Kweli kabisa. Haya mauaji ya mtu mmoja mmoja ukifatilia chanzo chake ni Moja kati ya sababu ulizotaja.Binadamu tukitaka angalau kuwa safe tujiepushe na dhuluma, wizi, ulaghai, tamaa, uongo, utapeli na maovu mengine dhidi ya binadamu wengine, siyo kila mtu atamwachia Mungu ukimfanyia hayo lazima atalipiza tu kwa namna yoyote ile. Personally huwa nachukulia zile amri kumi za Mungu kama principles za kumuongoza binadamu ili awe salama
Wewe umejuaje kama hayajaripotiwa.au unataka yaripotiwe vip ili ujue yameripotiwa?Mbona taarifa ya mauaji ya watu 20 kilosa haijaripotiwa?
Na imetokea juzi tu hapa week ya Jana.
Ambapo watu 20 wameuawa kwa sumu.???!!
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Acha kudanganya watu wewe.Watu wanakufa na kuuana toka nchi kuumbwa.mengine ni mbwembwe tu.Kaka swala hili lipo kiroho zaidi, kibiblia mtawala yeyote akiondolewa kwa hila kabla ya wakati wa Mungu hata kama alikua ni mbaya basi damu yake itasumbua sana. Ukisoma biblia utaona visa vingi vya hivi na mbaya zaidi adhabu hua inakua kwa wote taifa zima. Haya mauaji yalianza baada ya JPM kufariki, na haya unayosikia ni machache sana kuna mengine ni ya sumu kimya kimya mengine hayareport, taifa limekumbwa na roho ya mauti. Solution ni kuendelea kuomba rehema mbele za Mungu yamkini kuna siku atatusamehe. Si umeona vyombo vya ulinzi na usalama vimeshindwa, tutawalaumu bure hii ni kesi na Mungu na wa kututoa hapo ni MUNGU tuu maana IGP hana uwezo wa kujua kesho fulani atamnyonga mke wake. Ni hayo tuu
Nimejua kwa sababu nipo huku shambani.Wewe umejuaje kama hayajaripotiwa.au unataka yaripotiwe vip ili ujue yameripotiwa?
Kwa Jiwe hata kule kuripoti matukio hayo ilikuwa ni jinai.Wewe umejuaje kama hayajaripotiwa.au unataka yaripotiwe vip ili ujue yameripotiwa?
Hahahah si wanalamba asali, njaa ikikaba makasiriko ni mengi 🤣 na waeneza propoganda ndio hao hao ambao walizibiwa mirija. Ndio maana sahizi husikii mboyoyo.Na kipindi hiki mauaji yamezidi Sanaa kuliko enzi za mwendazake.
Lakini, hukuti watu wakisema
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Unazingua bablai, watu mbona wanauwawa daily. Sio wote angelaumiwa ila kuna ambao dot zilikuwa zinaunganika kwake ndio maana