Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Alienda Kwao Nyamongo Tarime kwaajili ya Harusi ya Mdogo wake.Mkazi wa Dar es Salaam, Zitta Samson Magige, amekuta amekufa huku akiwa na jeraha linalodaiwa ni la risasi. Mwili wake ulitelekezwa Barabarani huko Nyamongo
Alienda Kwao Nyamongo Tarime kwaajili ya Harusi ya Mdogo wake.
Ameolewa na alikuwa na duka la Pombe kali Mkoani Dar.
Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Nyamongo
View attachment 2554430
View attachment 2554437
View attachment 2554438
Ameolewa na alikuwa na duka la Pombe kali Mkoani Dar. [emoji3064][emoji3064][emoji3064]