Alienda Kwao Nyamongo Tarime kwaajili ya Harusi ya Mdogo wake.Mkazi wa Dar es Salaam, Zitta Samson Magige, amekuta amekufa huku akiwa na jeraha linalodaiwa ni la risasi. Mwili wake ulitelekezwa Barabarani huko Nyamongo
Alienda Kwao Nyamongo Tarime kwaajili ya Harusi ya Mdogo wake.
Ameolewa na alikuwa na duka la Pombe kali Mkoani Dar.
Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Nyamongo
View attachment 2554430
View attachment 2554437
View attachment 2554438
Kafie mbele hukoKaka swala hili lipo kiroho zaidi, kibiblia mtawala yeyote akiondolewa kwa hila kabla ya wakati wa Mungu hata kama alikua ni mbaya basi damu yake itasumbua sana. Ukisoma biblia utaona visa vingi vya hivi na mbaya zaidi adhabu hua inakua kwa wote taifa zima. Haya mauaji yalianza baada ya JPM kufariki, na haya unayosikia ni machache sana kuna mengine ni ya sumu kimya kimya mengine hayareport, taifa limekumbwa na roho ya mauti. Solution ni kuendelea kuomba rehema mbele za Mungu yamkini kuna siku atatusamehe. Si umeona vyombo vya ulinzi na usalama vimeshindwa, tutawalaumu bure hii ni kesi na Mungu na wa kututoa hapo ni MUNGU tuu maana IGP hana uwezo wa kujua kesho fulani atamnyonga mke wake. Ni hayo tuu
Na ingetungwa hekaya ambayo yoyoye angeliaminiAngekuwepo yule mzee angesingiziwa hili kuwa kahusika nalo
YeahNa ingetungwa hekaya ambayo yoyoye angeliamini
Angekuwepo yule mzee angesingiziwa hili kuwa kahusika nalo
Hahahah wabongo ni wanafiki sana yani. Kizazi cha wanafiki ndicho hiki tunakishuhudia sasa. Mtu ni mubaya for as long as ha entertain unafiki na mpenda ukweli ila ni mzuri akiwa ana support wizi na ujambazi.Kwa sasa watu wako kimya kama vile hakuna mauaji, watu ni wanafiki haijapata kutokea, uzuri alikua anajitetea anasema hata akitoka kwenye urais mauaji yatatokea tu
Ule uchaguzi wa 2020 jinsi alivyouendesha ni sehemu ya kuupenda ukweli?Hahahah wabongo ni wanafiki sana yani. Kizazi cha wanafiki ndicho hiki tunakishuhudia sasa. Mtu ni mubaya for as long as ha entertain unafiki na mpenda ukweli ila ni mzuri akiwa ana support wizi na ujambazi.
Main post tumeambiwa alikuwa "anamiliki duka la pombe kali" so alikuwa mfanyabiashara na moja kwa moja snitches wangesema hakulipa kodi kwa wakati wakamuondoa.Alieuwawa ni nani na angekuwa na interest gani na huyo mzee?
Dunia uwanja wa fujoHivi inakuwaje watu wanauana hovyo namna hii? Au ndio nchi kufunguka?
Nje ya mada, wewe ni mgeni hapa jukwaani?Alieuwawa ni nani na angekuwa na interest gani na huyo mzee?
Yeah ugeni huwa hauishi mkuu. Kuna kipindi unaweza kutokuingia jukwaani miazi kadhaa ukirudi kuna mambo yalishakupita na yakapotea.Nje ya mada, wewe ni mgeni hapa jukwaani?
Enzi za yule watu wa kawaida walikuwa salama zaidi kuliko kuliko wasaliti, mafisadi, wakwepa kodi na magaidi.Angekuwepo yule mzee angesingiziwa hili kuwa kahusika nalo
Basi kuna mzee humu kila kifo unacho kijua wewe cha kuanzia 2015 mpaka 2021 alihusika yeye hata vya marelia tuh ni yeye huyo mzee tena hapa wangesema tunda lake hiloYeah ugeni huwa hauishi mkuu. Kuna kipindi unaweza kutokuingia jukwaani miazi kadhaa ukirudi kuna mambo yalishakupita na yakapotea.
So yes mimi ni mgeni.
Sahizi Wasaliti, Mafisadi, Wakwepa kodi na Magaidi ndio wanatamba. Watu wa chini ndio wanasota kila kona ni kipigo tu.Enzi za yule watu wa kawaida walikuwa salama zaidi kuliko kuliko wasaliti, mafisadi, wakwepa kodi na magaidi.
Nini makasiriko mkuu wakati nimeongea iliyo kweli, anyway mpaka yakukute majanga ndio utajua umuhimu wa toba mbele za MunguKafie mbele huko