Shema Zion Nuru
Member
- Aug 4, 2018
- 17
- 10
asante kwa msaada wako,KUTOKWA KWA MKOJO KWA WINGI BILA YA KHIARI (POLYURIA): dawa yake hiyo kutwa mara mbili asubuhi kabla ya chakula.
Kanuni ya Kwanza: Pika majani ya matango kisha unywe robo kikombe cha chai kutwa mara tatu.
Kanuni ya pili: Chukua Bizrulqutni vijiko vitatu vikubwa uchemshe ndani ya maji lita moja na nusu. Kunywa kikombe kimoja cha kahawa kutwa mara mbili.
MARADHI YA MTU AU MTOTO KIKOJOZI: Kikojozi ni mtu ambae hukojoa kitandani usiku au mchana wakati anapokua amelala usingizi. Anaweza kuwa mtoto au mtu mzima SABABU: Sababu kubwa za mtu kuwa kikojozi ni pamoja na Kulegea kwa kibofu cha mkojo Kuota usingizini kuwa mtu anakojoa, na kuwa na usingizi mzito kuliko kiasi.
KULEGEA KIBOFU: Ikiwa kibofu cha mkojo kimelegea mkojo utakua hauna kizuizi cha kuzuia unapokua umeshakusanyika kwenye kibofu.
TIBA: Chukua asali nusu lita, unga wa kamun aswad vijiko sita vikubwa na unga wa habat soda vijiko vitatu vikubwa halafu ukoroge vyote pamoja. Chota vijiko viwili vikubwa vya mchanganyiko huu wa dawa ukoroge ndani ya kikombe cha maji ya moto halafu unywe kikombe kimoja kutwa mara mbili.
KUKOJOA KWA SABABU YA NDOTO: Sifa ya mtu anayekojoa kitandani akiwa usingizini anaweza akaota kuwa amekwenda chooni kukojoa lakini akiamka asubuhi anajikuta kuwa amekojoa kitandani, na anapokuwa anakojoa kitandani huwa anahisi raha wakati ule wa kukojoa.
SABABU: Hii huwa ni athari za ndoto za kishetani kwa sababu shetani humuotesha ndoto za kukojoa na akamkojoza kwa kihakika.
Hali hii pia huwatokea watu wazima bila kujali jinsia wala umri, wazima au wagonjwa
TIBA: kAMA NI MKRISTO ASOMEWE BIBLIA KABLA YA KULALA NA KAMA NI MUISLAM FANYA HIVI Hakikisha umeshika udhu kabla ya kulala halafu usome kabla ya kulala Ayatul Qursi, Suratul-Ikhlas, Suratul Falaq na Suratul Nas mara tatu tatu kama inavyosema hadithi. Pia kabla ya kulala uombe dua ya kulala. Ukifanya hivyo shetani atakaa mbali nawe na ndoto hizi hazitatokea tena.
ANAEKOJOA KWA SABABU YA USINGIZI MZITO: Hali kama hii huwatokea watoto ambao hucheza sana mchana kisha wakachoka. Wanapoenda kulala huwa wamechoka sana na hata usiku wakati wamelala hawawezi kupata hisia ya kutaka kwenda kukojoa chooni kwa sababu wamezidiwa na usingizi.
TIBA: Tiba yake ni mtoto aweze kupunguza mchezo na aweze kulala kidogo mchana kama ilivyo katika mafundisho ya sunnah. Tiba ya pekee ni mtoto adhibitiwe na kupangiwa ratiba za kucheza, na kupangiwa muda wa kutosha kuweza kupumzika, ikiwezekana alale mchana kidogo.
Anayeweza kufuata haya Maagizo yangu ayafuate yatamsaidia asiweze asiyafuate mimi sijamlazisha Mtu nimefundishwa bure na mimi nimetoa hapa bure.
MAKE IT OR BREAK IT source.MziziMkavu.
Km utaweza nayaomba kwa njia ya PDF,
Natanguliza shukrani!
0753181739