Marafiki hawadumu wanakuja na kuondoka, tuliowahi kuwa mabesti nao leo tunaishia kuchunguliana status hata "hi" hakuna

Marafiki hawadumu wanakuja na kuondoka, tuliowahi kuwa mabesti nao leo tunaishia kuchunguliana status hata "hi" hakuna

Hii ilinitokea kwa rafiki yangu mmoja ambaye tulikua tumeshibana haswa kwa miaka mingi, niliamini tutakua close mpaka tukiwa vibibi. Huu urafiki ulivyoisha (kwa sababu ya mgogoro wa kifedha, tulianzisha biashara pamoja) iliniuma kuliko breakup ya mwanaume yoyote. Alihama nchi na hivi karibuni niliona ameview status yangu whatsapp, sijui ilikua kimakosa au alidhamiria. Huwa namkumbuka sana, na kila nikipiga hatua mpya kwenye kazi au maisha nafikiria angekuwepo tungefurahiaje pamoja hilo tukio, nabaki kuumia tu!
Daaa nami nina rafiki alikua mwema sana kwangu, ni mtu ambae sikuwahi kufikiria kama nitamtoa kwenye maisha japo mpaka sasa namkumbuka kwa wema wake kwangu,,
Tatizo letu nilimshauri kuhusu mwenendo wake wa matumizi ya pesa ila akachukulia tofauti alinitumia msg ambayo imegoma kufutika kwenye moyo "futa namba zangu na za mama yangu hatukuhitaji kwenye maisha yetu" daaa nilizifuta kweli na mpaka sasa ni miaka miwili bila mawasilianilo japo namwombea Mungu ambariki sana ktk maisha yake
 
rafiki wa mtaani, shuleni, chuo, n.k. mlikuwa washikaji sanaaaa kujuliana hali kila siku, muda mwingi mpo wote, kushare siri, n.k. lakini leo mmebaki kuchunguliana view stutus,

Halafu hata mkikutana ni salam za dakika 2 tu, baada ya hapo kila mtu anajidai yupo bize, mnabadilishana za kuchunguliana status,

Nje ya marafiki tunaoishia kuangaliana status nina visa hivi

Kuna siku flani nilikuwa napoteza muda naendesha gari mtaani nilikuwa nimerudi kusalimia mkoani nilikokulia, nikamuona rafiki yangu tuliwahi kuwa mabesti sana primary, vile nilivyomona na yeye aliniona ila akazuga kama hajaniona (niligungua badae) , nikaona niende kupaki gari sehemu ya mbele kidofo maana mazingira hayakuruhusu, nilivyopaki nimeshuka namuona mtu kaongeza mwendo wa kutembea kaingia njia nyingine, nikawasha gari fasta niende mtaa wa barabara atayotokea, mara hii macho yaligongana hakuweza kunizuia, tulisalimiana kidogo ila akaniambia ana haraka, namba aliyonipa haipatikani, sijui sababu lakini labda pengine ni gepu la maendeleo niliambiwa hali yake si nzuri

Niliwahi kuwa na rafiki alikuwa anapenda kunitembelea sana kupiga story, yeye alishatoboa tangu akiwa 22 tayari alikuwa na gari yake, sijui hata kilichotokea mara paap mawasiliano yakapungua, off course mpaka leo tukiwa kwenye 30s bado tunachekiana ila ni zile kupeana heri ya mwaka mpya, story imeisha,

Niliwahi kuwa na rafiki tuliekuwa mbali kwa mwaka moja tu, lakini tunatazamiana status na kupeana hi mara kadhaa japo mara chache, alikuwa ameenda mafunzo idara ya ulinzi akabahatika kupata kazi, aliposti video anavishwa cheo kwenye bega, nilimpa hongera ila hakujibu (Blue tick), mara ya pili niliwahi kumpa heri ya mwaka mpya ila hakujibu, damn ! baada ya mwaka na mimi nilibahatika kwenye shughuli zangu, mimi napenda sana magari nilinunua nikajipost status nikiwa safarini ndipo aliponijulia hali "za siku kaka naona mambo yamejipa" nilibaki na maswali mengi

Nimefikia muafaka kukubaliana na ukweli mchungu, hakuna marafiki wa kudumu, mazingira mapya yana marafiki wapya, hali za uchumi zina marafiki wapya, tabia mpya zina marafiki wapya, n.k.

Too bad kuna wengine wanapoteza marafiki wote maana kujenga urafiki mpya ni kitu kizito kwa wengine
''Za siku kaka naona Mambo yamejipa'', 🤣🤣🤣🤣 kauli ya dharau hii
 
rafiki wa mtaani, shuleni, chuo, n.k. mlikuwa washikaji sanaaaa kujuliana hali kila siku, muda mwingi mpo wote, kushare siri, n.k. lakini leo mmebaki kuchunguliana view stutus,

Halafu hata mkikutana ni salam za dakika 2 tu, baada ya hapo kila mtu anajidai yupo bize, mnabadilishana za kuchunguliana status,

Nje ya marafiki tunaoishia kuangaliana status nina visa hivi

Kuna siku flani nilikuwa napoteza muda naendesha gari mtaani nilikuwa nimerudi kusalimia mkoani nilikokulia, nikamuona rafiki yangu tuliwahi kuwa mabesti sana primary, vile nilivyomona na yeye aliniona ila akazuga kama hajaniona (niligungua badae) , nikaona niende kupaki gari sehemu ya mbele kidofo maana mazingira hayakuruhusu, nilivyopaki nimeshuka namuona mtu kaongeza mwendo wa kutembea kaingia njia nyingine, nikawasha gari fasta niende mtaa wa barabara atayotokea, mara hii macho yaligongana hakuweza kunizuia, tulisalimiana kidogo ila akaniambia ana haraka, namba aliyonipa haipatikani, sijui sababu lakini labda pengine ni gepu la maendeleo niliambiwa hali yake si nzuri

Niliwahi kuwa na rafiki alikuwa anapenda kunitembelea sana kupiga story, yeye alishatoboa tangu akiwa 22 tayari alikuwa na gari yake, sijui hata kilichotokea mara paap mawasiliano yakapungua, off course mpaka leo tukiwa kwenye 30s bado tunachekiana ila ni zile kupeana heri ya mwaka mpya, story imeisha,

Niliwahi kuwa na rafiki tuliekuwa mbali kwa mwaka moja tu, lakini tunatazamiana status na kupeana hi mara kadhaa japo mara chache, alikuwa ameenda mafunzo idara ya ulinzi akabahatika kupata kazi, aliposti video anavishwa cheo kwenye bega, nilimpa hongera ila hakujibu (Blue tick), mara ya pili niliwahi kumpa heri ya mwaka mpya ila hakujibu, damn ! baada ya mwaka na mimi nilibahatika kwenye shughuli zangu, mimi napenda sana magari nilinunua nikajipost status nikiwa safarini ndipo aliponijulia hali "za siku kaka naona mambo yamejipa" nilibaki na maswali mengi

Nimefikia muafaka kukubaliana na ukweli mchungu, hakuna marafiki wa kudumu, mazingira mapya yana marafiki wapya, hali za uchumi zina marafiki wapya, tabia mpya zina marafiki wapya, n.k.

Too bad kuna wengine wanapoteza marafiki wote maana kujenga urafiki mpya ni kitu kizito kwa wengine
Acha tu live your life and remember over expectations kills many 🤔
 
Marafiki huja na kuondoka kutokana na nyakati za maisha, Mfano mimi sahv watu nnao wasiliana nao sana ni watu wa kazini kwangu tuu, hawa wengine tunaishia kuangalia status tuu, lakini kitu kinachonipa amani sina kinyongo na mtu,siumii kuona sitafutwi na mtu, wala mafanikio ya mtu hayanipi pressure. Kikubwa nawaombea kheri katika maisha yao
 
Kuna tofauti kubwa kati ya rafiki na mtu wako wa karibu.
Lakini pia sio kile ulie soma nae, kuishi nae mtaa mmoja anaweza akawa rafiki.
Mkuu, kuna watu wanazaliwa kwa baba na mama mmoja lakini sio lazima wawe marafiki.
Na mwisho kabla sijasahau......
Mwanaume sio poa sana kujiendekeza kwenye hizo mambo za status mazee....☹️
 
rafiki wa mtaani, shuleni, chuo, n.k. mlikuwa washikaji sanaaaa kujuliana hali kila siku, muda mwingi mpo wote, kushare siri, n.k. lakini leo mmebaki kuchunguliana view stutus,

Halafu hata mkikutana ni salam za dakika 2 tu, baada ya hapo kila mtu anajidai yupo bize, mnabadilishana za kuchunguliana status,

Nje ya marafiki tunaoishia kuangaliana status nina visa hivi

Kuna siku flani nilikuwa napoteza muda naendesha gari mtaani nilikuwa nimerudi kusalimia mkoani nilikokulia, nikamuona rafiki yangu tuliwahi kuwa mabesti sana primary, vile nilivyomona na yeye aliniona ila akazuga kama hajaniona (niligungua badae) , nikaona niende kupaki gari sehemu ya mbele kidofo maana mazingira hayakuruhusu, nilivyopaki nimeshuka namuona mtu kaongeza mwendo wa kutembea kaingia njia nyingine, nikawasha gari fasta niende mtaa wa barabara atayotokea, mara hii macho yaligongana hakuweza kunizuia, tulisalimiana kidogo ila akaniambia ana haraka, namba aliyonipa haipatikani, sijui sababu lakini labda pengine ni gepu la maendeleo niliambiwa hali yake si nzuri

Niliwahi kuwa na rafiki alikuwa anapenda kunitembelea sana kupiga story, yeye alishatoboa tangu akiwa 22 tayari alikuwa na gari yake, sijui hata kilichotokea mara paap mawasiliano yakapungua, off course mpaka leo tukiwa kwenye 30s bado tunachekiana ila ni zile kupeana heri ya mwaka mpya, story imeisha,

Niliwahi kuwa na rafiki tuliekuwa mbali kwa mwaka moja tu, lakini tunatazamiana status na kupeana hi mara kadhaa japo mara chache, alikuwa ameenda mafunzo idara ya ulinzi akabahatika kupata kazi, aliposti video anavishwa cheo kwenye bega, nilimpa hongera ila hakujibu (Blue tick), mara ya pili niliwahi kumpa heri ya mwaka mpya ila hakujibu, damn ! baada ya mwaka na mimi nilibahatika kwenye shughuli zangu, mimi napenda sana magari nilinunua nikajipost status nikiwa safarini ndipo aliponijulia hali "za siku kaka naona mambo yamejipa" nilibaki na maswali mengi

Nimefikia muafaka kukubaliana na ukweli mchungu, hakuna marafiki wa kudumu, mazingira mapya yana marafiki wapya, hali za uchumi zina marafiki wapya, tabia mpya zina marafiki wapya, n.k.

Too bad kuna wengine wanapoteza marafiki wote maana kujenga urafiki mpya ni kitu kizito kwa wengine
Rafiki wa kweli pesa tu ,hao wengine viroboti tu.
 
Urafiki mara nyingi hujengwa kwa kitu fulani hasa labda ni shuleni, kazini, kanisan, nyumba za kupanga biashara ama kokote,

Kuna watu kweli wanatusaidia lkn siamini lazima niwafanye marafiki sana sana nita wa note in my diary na kuwatakia kila la khery!

Urafiki halisi mtakuwa na ups and downs km mapenzi yalivyo mtatofautishwa na vitu vichache ambavyo huwezi vipata make ni me na me, au ke to ke,

Nachoamini sisi ni binadamu tutatengana ama kuwa mbali huko atakutanna na watu wapya watakuwa marafiki huku nami nikipata marafiki pengine.....

Kinachokuja kuharibu urafiki ni kujiweka kwenye status according na watu unaokutana nao baada ya marafiki wa mwanzoni! Hiki hupelekea chogo, wivu, na kuanzana kuchukiana..

Nina mshkj o level alipo nipo! Mimi nilipo yupo lkn tulitenganishwa kwenda advance shule mbili tofaut so far sikupata rafiki advance mpk namaliza!


Hata namba za advance alumni nimekuja zipata tulipofika chuoni!


chuoni nilipata urafiki kiasi by then nikapunguza sana, nikiamini sio aina ya rafiki ninayemuhitaji!

So far na appreciate kwa kila Jema hata baya walinipa funzo na namna ya kumpokea mtu mpya kwenye cycle yangu!


NB:: family ninayotokea ndiyo marafiki zangu hasa wazazi wangu na ndugu zangu hata nikiwa mpweke, nazungumza na familia yangu..... Nadhani Mungu akijaalia familia nitayoenda itengeneza itakuwa the best pia kwangu na marafiki Bora kwangu.


Hovering Dr am 4 real PhD Determinantor secretarybird
 
Aisee JF ni zaidi ya maarifa!Mimi kuna Jamaa alikuwa Best wangu, wakati flani nilibahatika kupata kazi kabla yake akawa anakuja likizo nilipokuwa nafanyia kazi Eeh bwanaee!kapata kazi mambo kwake mazuri hata simu zangu hapokei Huu sio Ubinadamu ni unyama kwa kweli.
Wanaokuhitaji wakati wa shida ndiyo marafiki wazuri.
Na wewe kama kuna rafiki ambaye ukiwa na shida unaenda kwake, huyo ndiyo rafiki mzuri.
 
NB:: family ninayotokea ndiyo marafiki zangu hasa wazazi wangu na ndugu zangu hata nikiwa mpweke, nazungumza na familia yangu..... Nadhani Mungu akijaalia familia nitayoenda itengeneza itakuwa the best pia kwangu na marafiki Bora kwangu.
Siku zote kaka na dada yako ndiyo ndugu zako wa kweli na marafiki zako wa kweli. Uhusiano wako na wao ndiyo unaokuelezea uhusiano wako na binadamu wengine.
Baba na mama hawatakuwepo uzeeni mwako na watoto wako hawatakuwepo utotoni na ujanani.
Kaka na dada zako watakuwepo karibu maisha yako yote na vice versa.
Unashauriwa kama una uwezo uzae watoto wengi kwa sababu ndugu wakiwa wamepatana, mafanikio kimaisha yanakuwa makubwa sana. Mnasomesha watoto wenu, mnaleana wakati wa ugonjwa etc..
 
Siku zote kaka na dada yako ndiyo ndugu zako wa kweli na marafiki zako wa kweli. Uhusiano wako na wao ndiyo unaokuelezea uhusiano wako na binadamu wengine.
Baba na mama hawatakuwepo uzeeni mwako na watoto wako hawatakuwepo utotoni na ujanani.
Kaka na dada zako watakuwepo karibu maisha yako yote na vice versa.
Unashauriwa kama una uwezo uzae watoto wengi kwa sababu ndugu wakiwa wamepatana, mafanikio kimaisha yanakuwa makubwa sana. Mnasomesha watoto wenu, mnaleana wakati wa ugonjwa etc..
Exactly 👊....
 
Urafiki mara nyingi hujengwa kwa kitu fulani hasa labda ni shuleni, kazini, kanisan, nyumba za kupanga biashara ama kokote,

Kuna watu kweli wanatusaidia lkn siamini lazima niwafanye marafiki sana sana nita wa note in my diary na kuwatakia kila la khery!

Urafiki halisi mtakuwa na ups and downs km mapenzi yalivyo mtatofautishwa na vitu vichache ambavyo huwezi vipata make ni me na me, au ke to ke,

Nachoamini sisi ni binadamu tutatengana ama kuwa mbali huko atakutanna na watu wapya watakuwa marafiki huku nami nikipata marafiki pengine.....

Kinachokuja kuharibu urafiki ni kujiweka kwenye status according na watu unaokutana nao baada ya marafiki wa mwanzoni! Hiki hupelekea chogo, wivu, na kuanzana kuchukiana..

Nina mshkj o level alipo nipo! Mimi nilipo yupo lkn tulitenganishwa kwenda advance shule mbili tofaut so far sikupata rafiki advance mpk namaliza!


Hata namba za advance alumni nimekuja zipata tulipofika chuoni!


chuoni nilipata urafiki kiasi by then nikapunguza sana, nikiamini sio aina ya rafiki ninayemuhitaji!

So far na appreciate kwa kila Jema hata baya walinipa funzo na namna ya kumpokea mtu mpya kwenye cycle yangu!


NB:: family ninayotokea ndiyo marafiki zangu hasa wazazi wangu na ndugu zangu hata nikiwa mpweke, nazungumza na familia yangu..... Nadhani Mungu akijaalia familia nitayoenda itengeneza itakuwa the best pia kwangu na marafiki Bora kwangu.


Hovering Dr am 4 real PhD Determinantor secretarybird
Ntaandika kitu hapa ngoja nipate utulivu..
 
Back
Top Bottom