Marafiki hawadumu wanakuja na kuondoka, tuliowahi kuwa mabesti nao leo tunaishia kuchunguliana status hata "hi" hakuna

Marafiki hawadumu wanakuja na kuondoka, tuliowahi kuwa mabesti nao leo tunaishia kuchunguliana status hata "hi" hakuna

Ni message ya kikatili sana hii, ni basi tu utakuwa strong ukiwa nje lakini ndani ya moyo kumejaa maumivu, ni vitu vinavyochukua muda mrefu kupona ila vinaacha makovu ya milele
Hakika hata nikijaribu kurudisha moyo nyuma nashindwa, Kuna siku alinitafuta akawa anaongea as if hakuna kiliwahi kutokea ila nikasema hapana, wema unintended lkn hii kauli haitotoka milele kwenye moyo
 
Urafiki mara nyingi hujengwa kwa kitu fulani hasa labda ni shuleni, kazini, kanisan, nyumba za kupanga biashara ama kokote,

Kuna watu kweli wanatusaidia lkn siamini lazima niwafanye marafiki sana sana nita wa note in my diary na kuwatakia kila la khery!

Urafiki halisi mtakuwa na ups and downs km mapenzi yalivyo mtatofautishwa na vitu vichache ambavyo huwezi vipata make ni me na me, au ke to ke,

Nachoamini sisi ni binadamu tutatengana ama kuwa mbali huko atakutanna na watu wapya watakuwa marafiki huku nami nikipata marafiki pengine.....

Kinachokuja kuharibu urafiki ni kujiweka kwenye status according na watu unaokutana nao baada ya marafiki wa mwanzoni! Hiki hupelekea chogo, wivu, na kuanzana kuchukiana..

Nina mshkj o level alipo nipo! Mimi nilipo yupo lkn tulitenganishwa kwenda advance shule mbili tofaut so far sikupata rafiki advance mpk namaliza!


Hata namba za advance alumni nimekuja zipata tulipofika chuoni!


chuoni nilipata urafiki kiasi by then nikapunguza sana, nikiamini sio aina ya rafiki ninayemuhitaji!

So far na appreciate kwa kila Jema hata baya walinipa funzo na namna ya kumpokea mtu mpya kwenye cycle yangu!


NB:: family ninayotokea ndiyo marafiki zangu hasa wazazi wangu na ndugu zangu hata nikiwa mpweke, nazungumza na familia yangu..... Nadhani Mungu akijaalia familia nitayoenda itengeneza itakuwa the best pia kwangu na marafiki Bora kwangu.


Hovering Dr am 4 real PhD Determinantor secretarybird
Umenena mkuu, rafiki yangu mkubwa ni Mimi yaani najipenda mwenyewe then wanafamilia.
 
Ni kweli kabisa ,hapo ndio utajua nafasi ya familia yako na ndugu...Wale mliokuwa sehemu moja labda kazi au masomoni kila mtu ana maisha yake mkiachana kidogo tu.
Cha kusikitisha ni kwamba hata asilimia kubwa ya ndugu leo hii ni masnitch tu, thamani Yako Kwa ndugu itaonekana kama uko njema kiuchumi, ukiwa lofa hakuna anaekujali..familia yako ndo kila kitu.
 
Marafiki wengi wapo kimasilahi tu ,wakishapata wanachokitafuta wanatafuta marafiki wa level zao na kusahau waliosota bao.

Mimi nina jamaa angu tulikuwa karibu sana ,alipopata kitengo fulani ndio mwisho wa kupokea simu hadi leo

Na wengi sana nimekutana na hayo

#mimi watu kama hao nafuta namba zao , siku tukikutana wakiniomba namba nawapa ya zamani ambayo haipo hewani


Mwingine mkikutana anakuuliza sikuhizi unafanya kazi gani ,badala ya kujuliana hali .


Jino kwa jino
 
Marafiki wengi wapo kimasilahi tu ,wakishapata wanachokitafuta wanatafuta marafiki wa level zao na kusahau waliosota bao.

Mimi nina jamaa angu tulikuwa karibu sana ,alipopata kitengo fulani ndio mwisho wa kupokea simu hadi leo

Na wengi sana nimekutana na hayo

#mimi watu kama hao nafuta namba zao , siku tukikutana wakiniomba namba nawapa ya zamani ambayo haipo hewani


Mwingine mkikutana anakuuliza sikuhizi unafanya kazi gani ,badala ya kujuliana hali .


Jino kwa jino
Hilo swali la unafanya kazi gani hakika ni swali la kimbea sana,
 
Familia ndiyo rafiki wa kweli.
Marafiki wengi wanaachana pale mmoja anapopiga gepu fulani.
Asap Rock vs Asap Rillei ni case ya kweli kabisaa jamaa anamuonea wivu mshkaji waliosotabtangu utotoni kisa yeye katoboa kwa kumpata Rihanna. Ukitaka kujua watu ni washenzi ukitoboa ndo watakutafuta.
Kingine ni ndoa ukioa wanawake wanajaribu kila njia kukuweka mbali na marafiki zako
 
Yan na namba ya simu nimebadili rasmi jana. Za zaman nimeziacha watsap kwa muda ila nitaziondoa hata huko watsap

Nina kautaratibu kangu hivi , nafikiri ni kazuri tu, anayenikacha huwa sina muda wa kumbembeleza arudi, hata kama nipo maji ya shingo.

Na nikiamua kwenda mbele huwa sirudi nyuma.
Huwa sibadili namba labda wao ndo wabadili… Wakinitafuta nawakaushia.
 
Mimi Kuna marafiki tulikua pamoja na tulishirikiana Sana katika kupeana updates Za nafasi za kazi

Na tulitembea Sana kwenye mikoa tofauti ili mradi tupate check namba

Balaa lilianza baada ya wachache wao kupata ajira mawasiliano yalipungua na mwisho wa siku ukituma message unaulizwa Nani mwenzangu

Basi na Mimi nilikubaliana Na Hali japo baadhi yao niliwasaidia ata kipesa pindi walipokwama
Nashukuru Na Mimi nilikuja kupata kazi maisha mengine yanaendelea
 
Back
Top Bottom