Urafiki mara nyingi hujengwa kwa kitu fulani hasa labda ni shuleni, kazini, kanisan, nyumba za kupanga biashara ama kokote,
Kuna watu kweli wanatusaidia lkn siamini lazima niwafanye marafiki sana sana nita wa note in my diary na kuwatakia kila la khery!
Urafiki halisi mtakuwa na ups and downs km mapenzi yalivyo mtatofautishwa na vitu vichache ambavyo huwezi vipata make ni me na me, au ke to ke,
Nachoamini sisi ni binadamu tutatengana ama kuwa mbali huko atakutanna na watu wapya watakuwa marafiki huku nami nikipata marafiki pengine.....
Kinachokuja kuharibu urafiki ni kujiweka kwenye status according na watu unaokutana nao baada ya marafiki wa mwanzoni! Hiki hupelekea chogo, wivu, na kuanzana kuchukiana..
Nina mshkj o level alipo nipo! Mimi nilipo yupo lkn tulitenganishwa kwenda advance shule mbili tofaut so far sikupata rafiki advance mpk namaliza!
Hata namba za advance alumni nimekuja zipata tulipofika chuoni!
chuoni nilipata urafiki kiasi by then nikapunguza sana, nikiamini sio aina ya rafiki ninayemuhitaji!
So far na appreciate kwa kila Jema hata baya walinipa funzo na namna ya kumpokea mtu mpya kwenye cycle yangu!
NB:: family ninayotokea ndiyo marafiki zangu hasa wazazi wangu na ndugu zangu hata nikiwa mpweke, nazungumza na familia yangu..... Nadhani Mungu akijaalia familia nitayoenda itengeneza itakuwa the best pia kwangu na marafiki Bora kwangu.
Hovering Dr am 4 real PhD Determinantor secretarybird