Marafiki hawadumu wanakuja na kuondoka, tuliowahi kuwa mabesti nao leo tunaishia kuchunguliana status hata "hi" hakuna

Marafiki hawadumu wanakuja na kuondoka, tuliowahi kuwa mabesti nao leo tunaishia kuchunguliana status hata "hi" hakuna

Bajeti ya kusaidia watu tena?
Yes,......huwezi kujiita tajiri/unaelekea kwenye kuutafuta utajiri halafu hauna bajeti ya kusaidia,.......,may be Kwa Imani yangu ya UISLAM,hii ni lazima..........najua pia zipo dini wapo tayari wamchangie kiongozi wao anunue gari la kifahari la nne,ila hawapo tayari watoe hata kidogo jirani yao afurahie sikukuu na yeye
 
unintended lkn hii kauli haitotoka milele kwenye moyo
una jua hasira na kumbukumbu ni simu Tisha kwa akili na roho zetu ?, acha liende usi weke moyoni kivile.

mkumbushe tu kuhusu ujumbe huo, Kisha mwambie I moved on.
nina hakika ali hisi una muonea wivu kisa pesa zake.
(Japo wewe wajua sio kweli).

we live to heal, not to let the hate inside us kill us slowly.
 
Yes,......huwezi kujiita tajiri/unaelekea kwenye kuutafuta utajiri halafu hauna bajeti ya kusaidia,.......,may be Kwa Imani yangu ya UISLAM,hii ni lazima..........najua pia zipo dini wapo tayari wamchangie kiongozi wao anunue gari la kifahari la nne,ila hawapo tayari watoe hata kidogo jirani yao afurahie sikukuu na yeye
Labda nyie matajiri ila mimi bajeti yangu mwenyewe haitimii halafu niweke bajeti ya random person, never.
 
Hakika hata nikijaribu kurudisha moyo nyuma nashindwa, Kuna siku alinitafuta akawa anaongea as if hakuna kiliwahi kutokea ila nikasema hapana, wema unintended lkn hii kauli haitotoka milele kwenye moyo
Naijua hio, mtu kakutenga muda mrefu tena mbaya zaidi yeye ndie alikuwa chanzo ila out of no where anataka mrudiane utadhani hakuna kilichotokea, na ukiona hivyo ujue huko alikoenda hana uhuru kama alivyokuwa na wewe, watu aliokutana nao wamemtumia, upweke, n.k.
 
Naijua hio, mtu kakutenga muda mrefu tena mbaya zaidi yeye ndie alikuwa chanzo ila out of no where anataka mrudiane utadhani hakuna kilichotokea, na ukiona hivyo ujue huko alikoenda hana uhuru kama alivyokuwa na wewe, watu aliokutana nao wamemtumia, upweke, n.k.
Sahihi hata kabla ya hilo alikua akisema mimi ni rafiki ambae tumeelewana na nilimpenda yani utengano wetu ulikua kama break ya mapenzi ya girlfriend na boyfriend iliniumiza kupita maelezo lkn kidogo nafuu naiona ktk nafsi
 
unazungumziaje mtu mliekuwa marafiki mnatafutana kila muda ila moja akitoboa hapokei simu za mwenzake ?
Ninao wengine nimewapa ramani ya do this do that...ila wakatangulia kutoboa leo hii wanatuina tuna mawazo ya kimaskini...it's just a matter of time na sisi tutatoboa Kisha watasema " Naona mambo yamejipa" kama walivyomwambia jamaa mmoja huko juu.
These people are very pathetic
 
Back
Top Bottom