Marafiki hawadumu wanakuja na kuondoka, tuliowahi kuwa mabesti nao leo tunaishia kuchunguliana status hata "hi" hakuna

Marafiki hawadumu wanakuja na kuondoka, tuliowahi kuwa mabesti nao leo tunaishia kuchunguliana status hata "hi" hakuna

Mna
Me nilikuwaga na mwana fln tangu tukiwa watoto. Baada ya kuhitimu aliwahi kupata kazi kabla yangu urafki uliyumba Sanaa. Hata hivyo nilijua shida ikowapi nlikaza baadae nlpata kazi hata ivyo ubest ulitoweka kabisa. Mwezi jana alipunguzwa kazin kwa makosa ya kinidhamu huwa ananichek mara kwa mara hata ivyo nilimpunguza kwenye cycle ya mabest zangu amebaki kama ndugu
Mnafiki huyo....
 
Daaa nami nina rafiki alikua mwema sana kwangu, ni mtu ambae sikuwahi kufikiria kama nitamtoa kwenye maisha japo mpaka sasa namkumbuka kwa wema wake kwangu,,
Tatizo letu nilimshauri kuhusu mwenendo wake wa matumizi ya pesa ila akachukulia tofauti alinitumia msg ambayo imegoma kufutika kwenye moyo "futa namba zangu na za mama yangu hatukuhitaji kwenye maisha yetu" daaa nilizifuta kweli na mpaka sasa ni miaka miwili bila mawasilianilo japo namwombea Mungu ambariki sana ktk maisha yake
Aaamin!
 
Sisi wapenzi wa mchezo wa drafti tuna marafiki wengi hadi wanamwagika. Kama we mwanaume jaribu kutembelea vijiwe vya drafti. Utashangaa marafiki unaopata. Hata kama si muongeaje utapata tu marafiki. Ila tu usitake mambo ya uongo uongo eti best best.
 
Daaa nami nina rafiki alikua mwema sana kwangu, ni mtu ambae sikuwahi kufikiria kama nitamtoa kwenye maisha japo mpaka sasa namkumbuka kwa wema wake kwangu,,
Tatizo letu nilimshauri kuhusu mwenendo wake wa matumizi ya pesa ila akachukulia tofauti alinitumia msg ambayo imegoma kufutika kwenye moyo "futa namba zangu na za mama yangu hatukuhitaji kwenye maisha yetu" daaa nilizifuta kweli na mpaka sasa ni miaka miwili bila mawasilianilo japo namwombea Mungu ambariki sana ktk maisha yake
Hakuwa mwema.
 
Rafiki wa mtaani, shuleni, chuo, n.k. mlikuwa washikaji sanaaaa kujuliana hali kila siku, muda mwingi mpo wote, kushare siri, n.k. lakini leo mmebaki kuchunguliana view stutus,

Halafu hata mkikutana ni salam za dakika 2 tu, baada ya hapo kila mtu anajidai yupo bize, mnabadilishana za kuchunguliana status,

Nje ya marafiki tunaoishia kuangaliana status nina visa hivi

Kuna siku flani nilikuwa napoteza muda naendesha gari mtaani nilikuwa nimerudi kusalimia mkoani nilikokulia, nikamuona rafiki yangu tuliwahi kuwa mabesti sana primary, vile nilivyomona na yeye aliniona ila akazuga kama hajaniona (niligungua badae) , nikaona niende kupaki gari sehemu ya mbele kidofo maana mazingira hayakuruhusu, nilivyopaki nimeshuka namuona mtu kaongeza mwendo wa kutembea kaingia njia nyingine, nikawasha gari fasta niende mtaa wa barabara atayotokea, mara hii macho yaligongana hakuweza kunizuia, tulisalimiana kidogo ila akaniambia ana haraka, namba aliyonipa haipatikani, sijui sababu lakini labda pengine ni gepu la maendeleo niliambiwa hali yake si nzuri

Niliwahi kuwa na rafiki alikuwa anapenda kunitembelea sana kupiga story, yeye alishatoboa tangu akiwa 22 tayari alikuwa na gari yake, sijui hata kilichotokea mara paap mawasiliano yakapungua, off course mpaka leo tukiwa kwenye 30s bado tunachekiana ila ni zile kupeana heri ya mwaka mpya, story imeisha,

Niliwahi kuwa na rafiki tuliekuwa mbali kwa mwaka moja tu, lakini tunatazamiana status na kupeana hi mara kadhaa japo mara chache, alikuwa ameenda mafunzo idara ya ulinzi akabahatika kupata kazi, aliposti video anavishwa cheo kwenye bega, nilimpa hongera ila hakujibu (Blue tick), mara ya pili niliwahi kumpa heri ya mwaka mpya ila hakujibu, damn ! baada ya mwaka na mimi nilibahatika kwenye shughuli zangu, mimi napenda sana magari nilinunua nikajipost status nikiwa safarini ndipo aliponijulia hali "za siku kaka naona mambo yamejipa" nilibaki na maswali mengi

Nimefikia muafaka kukubaliana na ukweli mchungu, hakuna marafiki wa kudumu, marafiki huja na kuondoka kutokana na mazingira mapya, tabia mpya, nyakati za maisha, n.k. hawa wengine tunaishia kuchunguliana status tu.

Too bad kuna wengine wanapoteza marafiki wote maana kujenga urafiki mpya ni kitu kizito kwa wengine
Hatupendi ila dunia inatuchuja kila mtu na level yake na hamuwezi tena kuwa pamoja km level zenu za maisha ni tofauti..

Dunia ni uwanjani wa fujo wa hatma.
 
Urafiki una kanuni na mvuto wake.
Urafiki unaweza kutengenezwa na;
1. Mazingira yanayofanana..eg mko darasa au shule au chuo kimoja...nje ya hapo urafiki unajifia kifo cha kawaida.

2. Urafiki unaweza kutengenezwa kwa kazi au biashara inayofanana ukifilisika ..urafiki ndio umegota.

Kuna urafiki usio na sababu yaani mmejikuta tu mna urafiki huu mara nyingi hudumu.

Asante sana rafiki yangu mwema...(mwana jf) sijawahi kujuta wewe kuwa rafiki yangu.
Exquisite comment !


Kudos !
 
Hapana hata familia yako,inawesa kukugeuka,unifahamu KESI ya bilionea msuya,unaifahamu KESI ya bilionea Davis Mosha,.......kwa umri uliofikia haujawahi ona watoto,make,mume wanaikimbia familia?
rafiki kwa kweli,ni:-
1.Ile dhamira Yako ya kutaka watu wafanikiwe,yaani urafiki ni Hali na sio mtu.
2.wewe muajiri,manager,boss,
Kitendo Cha kutaka kampuni/ofisi Yako,iwe na output kubwa huku wafanyakazi wakinufaika ,hapo tayari utakua na marafiki wengi mno
3.Upo mtaani unawasidia wasiojiweza,wajane unawasapoti kuwasomeshea watoto wao,hata siku ukiumwa huna damu,rundo la watu litakuja kukutolea damu.
4.Ila una watoto wanna wanasoma IST,FEZA etc........unawafundisha kula mapizza,uchoyo,ulevi uzinzi etc.....siku ukiumwa watatokea club kuja kukuona na hata mmoja hatakua na sifa ya kukutolea damu,maana wote watakua miili Yao imejaa tattoos
Ha ha ha ha awesome....

Nimeipenda hii....


".....urafiki ni dhamira ya kutaka wengine wafanikiwe". Exquisite!!
 
Kama wote tuliokuwa na kusoma pamoja maisha yetu yangekuwa mazuri urafiki wetu ungeendelea maradufu kinyume cha hapo lazima ukaribu utapungua tu maisa yapo hivyo mkuu japokuwa inaumiza
Rafiki wa mtaani, shuleni, chuo, n.k. mlikuwa washikaji sanaaaa kujuliana hali kila siku, muda mwingi mpo wote, kushare siri, n.k. lakini leo mmebaki kuchunguliana view stutus,

Halafu hata mkikutana ni salam za dakika 2 tu, baada ya hapo kila mtu anajidai yupo bize, mnabadilishana za kuchunguliana status,

Nje ya marafiki tunaoishia kuangaliana status nina visa hivi

Kuna siku flani nilikuwa napoteza muda naendesha gari mtaani nilikuwa nimerudi kusalimia mkoani nilikokulia, nikamuona rafiki yangu tuliwahi kuwa mabesti sana primary, vile nilivyomona na yeye aliniona ila akazuga kama hajaniona (niligungua badae) , nikaona niende kupaki gari sehemu ya mbele kidofo maana mazingira hayakuruhusu, nilivyopaki nimeshuka namuona mtu kaongeza mwendo wa kutembea kaingia njia nyingine, nikawasha gari fasta niende mtaa wa barabara atayotokea, mara hii macho yaligongana hakuweza kunizuia, tulisalimiana kidogo ila akaniambia ana haraka, namba aliyonipa haipatikani, sijui sababu lakini labda pengine ni gepu la maendeleo niliambiwa hali yake si nzuri

Niliwahi kuwa na rafiki alikuwa anapenda kunitembelea sana kupiga story, yeye alishatoboa tangu akiwa 22 tayari alikuwa na gari yake, sijui hata kilichotokea mara paap mawasiliano yakapungua, off course mpaka leo tukiwa kwenye 30s bado tunachekiana ila ni zile kupeana heri ya mwaka mpya, story imeisha,

Niliwahi kuwa na rafiki tuliekuwa mbali kwa mwaka moja tu, lakini tunatazamiana status na kupeana hi mara kadhaa japo mara chache, alikuwa ameenda mafunzo idara ya ulinzi akabahatika kupata kazi, aliposti video anavishwa cheo kwenye bega, nilimpa hongera ila hakujibu (Blue tick), mara ya pili niliwahi kumpa heri ya mwaka mpya ila hakujibu, damn ! baada ya mwaka na mimi nilibahatika kwenye shughuli zangu, mimi napenda sana magari nilinunua nikajipost status nikiwa safarini ndipo aliponijulia hali "za siku kaka naona mambo yamejipa" nilibaki na maswali mengi

Nimefikia muafaka kukubaliana na ukweli mchungu, hakuna marafiki wa kudumu, marafiki huja na kuondoka kutokana na mazingira mapya, tabia mpya, nyakati za maisha, n.k. hawa wengine tunaishia kuchunguliana status tu.

Too bad kuna wengine wanapoteza marafiki wote maana kujenga urafiki mpya ni kitu kizito kwa wengine
 
Rafiki wa mtaani, shuleni, chuo, n.k. mlikuwa washikaji sanaaaa kujuliana hali kila siku, muda mwingi mpo wote, kushare siri, n.k. lakini leo mmebaki kuchunguliana view stutus,

Halafu hata mkikutana ni salam za dakika 2 tu, baada ya hapo kila mtu anajidai yupo bize, mnabadilishana za kuchunguliana status,

Nje ya marafiki tunaoishia kuangaliana status nina visa hivi

Kuna siku flani nilikuwa napoteza muda naendesha gari mtaani nilikuwa nimerudi kusalimia mkoani nilikokulia, nikamuona rafiki yangu tuliwahi kuwa mabesti sana primary, vile nilivyomona na yeye aliniona ila akazuga kama hajaniona (niligungua badae) , nikaona niende kupaki gari sehemu ya mbele kidofo maana mazingira hayakuruhusu, nilivyopaki nimeshuka namuona mtu kaongeza mwendo wa kutembea kaingia njia nyingine, nikawasha gari fasta niende mtaa wa barabara atayotokea, mara hii macho yaligongana hakuweza kunizuia, tulisalimiana kidogo ila akaniambia ana haraka, namba aliyonipa haipatikani, sijui sababu lakini labda pengine ni gepu la maendeleo niliambiwa hali yake si nzuri

Niliwahi kuwa na rafiki alikuwa anapenda kunitembelea sana kupiga story, yeye alishatoboa tangu akiwa 22 tayari alikuwa na gari yake, sijui hata kilichotokea mara paap mawasiliano yakapungua, off course mpaka leo tukiwa kwenye 30s bado tunachekiana ila ni zile kupeana heri ya mwaka mpya, story imeisha,

Niliwahi kuwa na rafiki tuliekuwa mbali kwa mwaka moja tu, lakini tunatazamiana status na kupeana hi mara kadhaa japo mara chache, alikuwa ameenda mafunzo idara ya ulinzi akabahatika kupata kazi, aliposti video anavishwa cheo kwenye bega, nilimpa hongera ila hakujibu (Blue tick), mara ya pili niliwahi kumpa heri ya mwaka mpya ila hakujibu, damn ! baada ya mwaka na mimi nilibahatika kwenye shughuli zangu, mimi napenda sana magari nilinunua nikajipost status nikiwa safarini ndipo aliponijulia hali "za siku kaka naona mambo yamejipa" nilibaki na maswali mengi

Nimefikia muafaka kukubaliana na ukweli mchungu, hakuna marafiki wa kudumu, marafiki huja na kuondoka kutokana na mazingira mapya, tabia mpya, nyakati za maisha, n.k. hawa wengine tunaishia kuchunguliana status tu.

Too bad kuna wengine wanapoteza marafiki wote maana kujenga urafiki mpya ni kitu kizito kwa wengine

Mie nimechoka kuwafuatilia maana napiga simu tunaongea as if sasa tutaendeleza mawasiliano, wapi...Kila mtu apamabane na hali yake!
 
Nimepoteza marafiki zangu wengi nilipoolewa aisee...wengine naumia maana nikikumbuka moments zetu pindi tupo chuoni daah...sema ndo hivyo no way out...unakuta unamtafuta mtu ww tuu...yani inakua one side communication..unaamua kuacha tuu..
Kuna best angu urafiki umekoma juzi juzi kisa tuu sijamchangia mdogo wake alikua anaoa kiasi cha hela alonichangia kwny harusi yangu jamani tena alikua anakumbushia mimi nilikutolea hii...so mm nimetoa hela ya kadi..as long as harusi iko mbali na nisingeweza kuhudhuria nikamwabia ukiolewaga ww ndo ulalamike akanchunia nahisi kaniblock...
Niliumia basi nimeachana nae...any way maisha nadhani ndivyo yalivyo..
Uzi umenigusa...
Hii tabia bongo sijui nani kaileta, yaani mtu kwenye shughuli yake anataka umchangie kiasi alichokuchangia wewe au zaidi na umtunze kiasi alichokutunza wewe au zaidi.

Ile tabia iliyokuwepo zamani ya kumpa kitu mtu kwa moyo wote bila kutegemea malipo siku hizi haipo.

Mtu hajali unacho au huna kwa wakati huo.
 
Hii tabia bongo sijui nani kaileta, yaani mtu kwenye shughuli yake anataka umchangie kiasi alichokuchangia wewe au zaidi na umtunze kiasi alichokutunza wewe au zaidi.

Ile tabia iliyokuwepo zamani ya kumpa kitu mtu kwa moyo wote bila kutegemea malipo siku hizi haipo.

Mtu hajali unacho au huna kwa wakati huo.
Yani ajabu sana..sasa bora angekua yeye mwenyewe ni mdogo wake...eboo
 
Back
Top Bottom