Marafiki, Tsh 18 million iko mfukoni, niageze gari gani (TOYOTA)?

Marafiki, Tsh 18 million iko mfukoni, niageze gari gani (TOYOTA)?

Ukiombwa tigo usikatae pia unatakaje hela ya mwanaume mwenzio
Mbona unashoboka mzeebaba, umeombwa wewe!??

Mashoga bila kuongelea kufukua mitaro huwa hamridhiki kabisa!!

Ni mwanaume mwenzangu ila uwezo kifedha kanizidi, punguza kijicho kijana. Utakufa kifo cha mende miguu juu.

Okay tuachane na hayo maneno hapo juu, nisave buku tano ya karibu hapo.
 
Mbona unashoboka mzeebaba, umeombwa wewe!??

Mashoga bila kuongelea kufukua mitaro huwa hamridhiki kabisa!!

Ni mwanaume mwenzangu ila uwezo kifedha kanizidi, punguza kijicho kijana. Utakufa kifo cha mende miguu juu.

Okay tuachane na hayo maneno hapo juu, nisave buku tano ya karibu hapo.
Sababu kubwa ya vijana kama wewe mliojiingiza kulambwa ni kutopenda kufanya kazi kwa weredi n'a kuomba wanaume wenzenu hela za bure .Mimi mwanaume mwenzangu akitaka tusikae tukaongea anipe hela ya bure .Acha kulegea yaan jamaa usikute hata mademu zake hajawah wapa lakitano ww d'ume zima unabongoa et nipe laki tano
 
FORREST.
Mpaka hapo utakuwa ushajua kosablako lilipo, ndio maana huwezi pata ushauri ulionyooka.
NB: Kuwa muwazi kwanza wa gari gani/ipi kati ya zipi unayoipenda, halafu upewe ushauri kuhusu gari husika. Toyota wana magari mengi sana kwa bajeti ya pesa yako. FUNGUKA!!! Gari gani unayoihitaji ili upate ushauri ulioyooka. Sio kweli kuwa hujui gari uitakayo kuanzia tangu uwe na wazo la gari hadi kuipata pesa ya kununulia hiyo gari. FUNGUKA!!!!!!
 
Tatizo watu wanachukulia serious kila kitu. Na sijui kwanini wanapenda sana kutukana pasipohitaji hata matusi.
Mimi nilijua tuu umetania ndio maana nikajoin the fun sidhani kama kuna mtu kachukulia serious comments zetu.
Kabisa mkuu mpaka nimemshangaa mwamba.
Maisha ni hayahaya hata mleta uzi hajakasirika.
 
Mleta mada. Wewe ktk Toyota zote hapa Tz inayokuvutia ni Ipi?
 
Back
Top Bottom