Marafiki wangapi uliokuwa nao wakati unasoma bado unao?

Tueleweshe vizuri hicho chanzo
 
Pole sana baby sisy
 
Nina rafiki mmoja niliesoma nae primary. Sasaivi wote ni watu wazima tuna maisha yetu na familia zetu. Wake zetu wanafahamiana na wamekua marafiki pia...
Hongera mkuu ila hapo kwa rariki yako aliyekusimamia ndoa halafu na wewe ukamsimamia ilikuwaje? Nimechanganyikiwa kidogo
 
Hongera mkuu ila hapo kwa rariki yako aliyekusimamia ndoa halafu na wewe ukamsimamia ilikuwaje? Nimechanganyikiwa kidogo
Sisi ndio tulianza kufunga ndoa so yeye na mchumba ake walitusimamia wakiwa hawajaoana bado, sisi tukaja kuwasimamia walipooana.
 
Sisi ndio tulianza kufunga ndoa so yeye na mchumba ake walitusimamia wakiwa hawajaoana bado, sisi tukaja kuwasimamia walipooana.
Aisee kumbe
Taratibu za makanisa zinatofautiana maana mimi nilikuwa najua wanaosimamia ndoa ni wanandoa tu kumbe sehemu nyingine wachumba wanaruhusiwa
 
Aisee kumbe
Taratibu za makanisa zinatofautiana maana mimi nilikuwa najua wanaosimamia ndoa ni wanandoa tu kumbe sehemu nyingine wachumba wanaruhusiwa
Hata mimi nilidhani hivyo, ila kipindi chote cha maandalizi ya ndoa hatukuwahi kuambiwa na wala siku walipoenda kanisani kujitambulisha kama wasimamizi wetu hakuna aliyewauliza kama wameoana au la. So tukaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…