National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
mie sinaga marafiki toka utotoni mwangu.. na si muumini qa urafikiAu hukuwa na rafiki kabisa kama National Anthem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mie sinaga marafiki toka utotoni mwangu.. na si muumini qa urafikiAu hukuwa na rafiki kabisa kama National Anthem
🤣🤣🤣Mimi wa A level tunaishia kuchunguliana tu status
Kutokuwa na rafiki haimaaniishi udunia ya peke yako.. kuna watu kadha kadha.. na hasa watu wazimaUnawezaje aisee, ukiwa na jambo unahitaji kuzungumza na mtu huwa unazungumza na nani?
🙄🙄Nimeduwaa kidogo hapo kwenye Partner in Crime.rafiki wa shule ya msingi duh tulipoachana shule kila mtu alikula kona, secondary nilikua naye mmoja tukaja kuachana huyu namtafta had leo sijajua n mzima au la kwa sasa ninaye mmoja tulikutana kazini she is my partner in crime mpaka sasa
Duu!Labda Cute Wife maana ndio tumemaliza wote shahada ya umbeya jf
kilichokuduwaza🙄🙄Nimeduwaa kidogo hapo kwenye Partner in Crime.
[emoji16][emoji16] wewe hujazeekaSina rafiki yoyote niliyesoma nae hata sijui wapo wapi asee ..kwanza nilikuwa siwapendi walinionaga Muhuni sana ila ndio wakwanza kutoboa ..nikirudi kitaa nawazoom Kwa mbali wengine washazeeka .