Marais kumi wathibitisha kuja kumuaga Rais Magufuli

Marais kumi wathibitisha kuja kumuaga Rais Magufuli

Is this supposed to be 'good news' or something! Does it add any value or will it change the fact that the strongman is gone forever. Stop trying to justify the goodness of the departed. It doesnt matter anymore..he is gone. Either way if he was good or evil it doesnt matter as he is no more. Stop playing politics with his demise. Let his soul rest. He is gone forever and he shall never came back. You all need to get over it and stop making this funeral like a competition
whats sad is. they are using his funeral as political ladder, they forget the fact no matter how much they try to clear his name he is gone and this time gone forever.
as you said. let the man rest in peace.
 
Inaweza kuwa hizi

1. Kenya
2. Rwanda
3. Burundi
4. Uganda
5.Msumbiji
6. ZAMBIA
8. SOMALIA
9.SOUTH SUDAN
10. MALAWI

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nawakumbusha tu..
Mama Maria Nyerere yuko hai.
Mama Karume yuko hai.
Mama Salmin Amour yuko hai
Mama Omary juma yuko hai.
Mama Mkapa yuko hai
Mama Maiga yuko hai.
Mama Maalim Seif yuko hai
Mama Kijaz yuko hai
Mama Janet Magufuli yuko hai.
Mama Mugabe Yuko hai..

Wanaume tuwe makini


Tafakari,chukua hatua
Ongeza mama Yar'Adua
Mama Chiluba
Mama Zenawi
Mama Machel
Mama Satta
Mama Mwanawasa
Mama Mutharika
Mama Doe
Mama Mubarak
Mama Gaddafi
Mama Habyarimana
Mama Ndadaye
Mama Ntaryamirwa
Mama Buyoya
Mama Nkurunziza
Mama Kabila Sr.
Ondoa mama Kaunda na mama Obasanjo
 
Marais zaidi ya 10 wa mataifa mbalimbali duniani wamethibitisha kuhudhuria shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli itakayofanyika kesho Dodoma.

Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abasi amesema leo Machi 21, 2021 kuwa hadi sasa ana orodha ya zaidi ya marais 10 na kuahidi kuweka wazi majina na nchi zao mchana wa leo.

Magufuli alifariki dunia Machi 17 kutokana na maradhi ya moyo.

Rais huyu wa awamu ya tano anatarajiwa kuzikwa Machi 26 nyumbani kwao Chato mkoani Geita
Bado tu wanaendelea na ile tabia yao ya Kudanganyana ama ni kweli? Siamini with this Corona kama kuna viongozi 10 watakuwa kumzika....!!
 
Hebu fikiria kuna wabunge walikuwa wanakatwa mishahara yao kila mwezi ili hela wanazokatwa zije zisaidie chama wakati wa uchaguzi. Lkn chakushangaza ulipofika uchaguzi mkuu chama kilianza kuchangisha wananchi masikini kwa madai kwamb chama hakina pesa ya uchaguzi wakati michango ilikuwa imeshakatwa kwa miaka yote mi5, hauoni kama hapa kuna ukigeu geu na upigaji
Bora hao wanaochangidhana wenyewe. Kuna wale wanaokwenda kuzichota hazina na kujidai ni miradi na Ruzuku za chama.
 
Nawakumbusha tu..
Mama Maria Nyerere yuko hai.
Mama Karume yuko hai.
Mama Salmin Amour yuko hai
Mama Omary juma yuko hai.
Mama Mkapa yuko hai
Mama Maiga yuko hai.
Mama Maalim Seif yuko hai
Mama Kijaz yuko hai
Mama Janet Magufuli yuko hai.
Mama Mugabe Yuko hai..

Wanaume tuwe makini


Tafakari,chukua hatua
Mhhhhh
 
Screenshot_2021-03-21-22-06-27-586_com.flightradar24free.png
Screenshot_2021-03-21-15-58-16-611_com.flightradar24free.png
 
Marais zaidi ya 10 wa mataifa mbalimbali duniani wamethibitisha kuhudhuria shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli itakayofanyika kesho Dodoma.

Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abasi amesema leo Machi 21, 2021 kuwa hadi sasa ana orodha ya zaidi ya marais 10 na kuahidi kuweka wazi majina na nchi zao mchana wa leo.

Magufuli alifariki dunia Machi 17 kutokana na maradhi ya moyo.

Rais huyu wa awamu ya tano anatarajiwa kuzikwa Machi 26 nyumbani kwao Chato mkoani Geita
Wataje...jamaa bado wanatulisha tu matango pori kama enzi za Meko😀
 
Kwahiyo tumuamini yule mwenyekiti na genge lake waliowahi kusema kuwa Lowasa alikuwa fisadi papa na baada ya kwenda kugombea uraisi kupitia chama chao wakameza matapishi yao wenyew kwa kupinga kwa nguvu zao zote kuwa Lowasa hakuwahi kuwa fisadi?
Hapana, muamini aliyesema rais ni mzima na anachapa kazi, na sio mtu wa kuzurura karikoo.
 
1. Raisi wa manzese
2. Raisi wa wasafi
3. Raisi wa wacheza bao
4. Raisi wa watuma salamu redioni
5. Raisi wa Tff
6. Raisi wa ngumi
n.k
 
Museveni ni jirani zaidi. Marais wa mbali wamehudhuria kuaga mwili wa Rais wetu,iweje yeye haonekani? Ama ana udhuru? Samahani kama ni swali la kijinga ila imeniuma.

FB_IMG_1616391978116.jpg
 
Back
Top Bottom