Marais kumi wathibitisha kuja kumuaga Rais Magufuli

Marais kumi wathibitisha kuja kumuaga Rais Magufuli

Orodha iliyotolewa mpaka sasa ni hii hapa
IMG-20210322-WA0000~2.jpg
 
Niliwahi Kusikia na Kusoma mahala hapa hapa JF kuwa Marais hawa Mahiri Wawili Museveni na Kagame kutoka Kabila lenye Akili sana Afrika la Tutsi wana Majasusi wao ambao ni Members Wenzetu hapa.

Tafadhali kama bado wapo All - Rounder nawaomba tu wanipe Maelezo ni kwanini hawapo Dodoma Kujumuika na Marais wenzao? au kwakuwa Hayati ni Comrade wao kabisa wameamua wasije leo ila Ijumaa kwa pamoja watajumuika na Wanafamilia huko Mazikoni Chato?

Nitashukuru nikijua ni kwanini hawapo.
 
Niliwahi Kusikia na Kusoma mahala hapa hapa JF kuwa Marais hawa Mahiri Wawili Museveni na Kagame kutoka Kabila lenye Akili sana Afrika la Tutsi wana Majasusi wao ambao ni Members Wenzetu hapa.

Tafadhali kama bado wapo All - Rounder nawaomba tu wanipe Maelezo ni kwanini hawapo Dodoma Kujumuika na Marais wenzao? au kwakuwa Hayati ni Comrade wao kabisa wameamua wasije leo ila Ijumaa kwa pamoja watajumuika na Wanafamilia huko Mazikoni Chato?

Nitashukuru nikijua ni kwanini hawapo.
Barakoa zao hazijakauka
 
Nawakumbusha tu..
Mama Maria Nyerere yuko hai.
Mama Karume yuko hai.
Mama Salmin Amour yuko hai
Mama Omary juma yuko hai.
Mama Mkapa yuko hai
Mama Maiga yuko hai.
Mama Maalim Seif yuko hai
Mama Kijaz yuko hai
Mama Janet Magufuli yuko hai.
Mama Mugabe Yuko hai..

Wanaume tuwe makini


Tafakari,chukua hatua
Tatizo ni kujimwambafy... Hao mwanamke tushaagizwa tuishi nao kwa akili sana...
 
Hapana, muamini aliyesema rais ni mzima na anachapa kazi, na sio mtu wa kuzurura karikoo.
Waliosema kuwa anaeamini kuwa Lowasa sio fisadi akapimwe akili, ndio hao hao ktk uchaguzi wa 2015 walianza kukataa kuwa Lowasa hakuwahi kuwa fisadi. Cha kushangaza mpk leo bado wanashikilia nafasi kubwa kubwa ndan ya chama chenu na mwaka jana 2020 mliwapa ridhaa ya kugombea nafasi za juu za kitaifa ktk uchaguzi mkuu bila kuwapima vizur akili.
 
Waliosema kuwa anaeamini kuwa Lowasa sio fisadi akapimwe akili, ndio hao hao ktk uchaguzi wa 2015 walianza kukataa kuwa Lowasa hakuwahi kuwa fisadi. Cha kushangaza mpk leo bado wanashikilia nafasi kubwa kubwa ndan ya chama chenu na mwaka jana 2020 mliwapa ridhaa ya kugombea nafasi za juu za kitaifa ktk uchaguzi mkuu bila kuwapima vizur akili.
Mimi kama mimi sijawahi kubadili msimamo wangu kuwa Lowassa ni mchafu, na hakustahili nafasi ya uongozi ndani ya nchi hii. Isitoshe mimi sio mwanachama wa cdm bali shabiki wa kutupa wa cdm, hivyo sihusiki na upatikanaji wa viongozi ndani ya cdm. Una lingine kwa msaada zaidi?
 
Duuu nimefikiria sana
Nawakumbusha tu..
Mama Maria Nyerere yuko hai.
Mama Karume yuko hai.
Mama Salmin Amour yuko hai
Mama Omary juma yuko hai.
Mama Mkapa yuko hai
Mama Maiga yuko hai.
Mama Maalim Seif yuko hai
Mama Kijaz yuko hai
Mama Janet Magufuli yuko hai.
Mama Mugabe Yuko hai..

Wanaume tuwe makini


Tafakari,chukua hatua
 
Mimi kama mimi sijawahi kubadili msimamo wangu kuwa Lowassa ni mchafu, na hakustahili nafasi ya uongozi ndani ya nchi hii. Isitoshe mimi sio mwanachama wa cdm bali shabiki wa kutupa wa cdm, hivyo sihusiki na upatikanaji wa viongozi ndani ya cdm. Una lingine kwa msaada zaidi?
Kwa jibu hili kwa kweli sina la kuongeza mkuu kwa vile nimegundua kuwa ww ni mpambanaji
Mimi kama mimi sijawahi kubadili msimamo wangu kuwa Lowassa ni mchafu, na hakustahili nafasi ya uongozi ndani ya nchi hii. Isitoshe mimi sio mwanachama wa cdm bali shabiki wa kutupa wa cdm, hivyo sihusiki na upatikanaji wa viongozi ndani ya cdm. Una lingine kwa msaada zaidi?
Ok mkuu hapa sina cha kuongeza kwa vile nimetambua kuwa ww sio bendera fata upepo. Upo tofauti na wale wanaoshikiwa akili na mwenyekiti wa chama akiwaambia waite maziwa maji wanaita, akiwaambia wakienda msalani wasitumie maji na wao hawatotumia maji nk
 
Kwa jibu hili kwa kweli sina la kuongeza mkuu kwa vile nimegundua kuwa ww ni mpambanaji

Ok mkuu hapa sina cha kuongeza kwa vile nimetambua kuwa ww sio bendera fata upepo. Upo tofauti na wale wanaoshikiwa akili na mwenyekiti wa chama akiwaambia waite maziwa maji wanaita, akiwaambia wakienda msalani wasitumie maji na wao hawatotumia maji nk

Kwa kuongezea mimi sio muumini wa kiongozi yoyote kukaa madarakani kwenye nafasi ya kuchaguliwa zaidi ya miaka 10. Mimi ni mmoja wa washabiki wa cdm ninayepinga wazi wazi Mbowe kuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 10, na haya ninayosema na msimamo wangu uko wazi hapa jukwaani,na washabiki na wanachama wa cdm wanaujua msimamo huo, hata kama hauwafurahishi.

Huyo Lowassa nilipinga wazi wazi ujio wake na hata kuchaguliwa kugombea nafasi hiyo ndani ya Cdm, na ninakiri kuwa lile ni kosa la dhahiri ndani ya cdm, na viongozi wote waliohusika kwenye uhuni ule walitukosea sana. Post zangu zote kuhusu haya ziko humu humu jukwaani toka wakati huo. Na huyu Magufuli ninayempiga spana sasa hivi msimamo wangu ni huu huu toka alipokuwa rais kwa mara ya kwanza, mpaka anaingia kaburini sijawahi kumkubali kwa nafasi ya urais, japo najua fika ni mchapakazi kwa asili.
 
Kwa kuongezea mimi sio muumini wa kiongozi yoyote kukaa madarakani kwenye nafasi ya kuchaguliwa zaidi ya miaka 10. Mimi ni mmoja wa washabiki wa cdm ninayepinga wazi wazi Mbowe kuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 10, na haya ninayosema na msimamo wangu uko wazi hapa jukwaani,na washabiki na wanachama wa cdm wanaujua msimamo huo, hata kama hauwafurahishi.

Huyo Lowassa nilipinga wazi wazi ujio wake na hata kuchaguliwa kugombea nafasi hiyo ndani ya Cdm, na ninakiri kuwa lile ni kosa la dhahiri ndani ya cdm, na viongozi wote waliohusika kwenye uhuni ule walitukosea sana. Post zangu zote kuhusu haya ziko humu humu jukwaani toka wakati huo. Na huyu Magufuli ninayempiga spana sasa hivi msimamo wangu ni huu huu toka alipokuwa rais kwa mara ya kwanza, mpaka anaingia kaburini sijawahi kumkubali kwa nafasi ya urais, japo najua fika ni mchapakazi kwa asili.
Nashukur mkuu kwa mtizamo wako lkn naomba nikuulize maswali mawili kama hautojali.. unasema kwamb ww haujawahi kumkubali Magufuli kwa nafasi ya uraisi toka awamu yake ya kwanza mpk hii ya pili ambayo hajaimaliza japo unajua ni mchapa kazi (1) swali je unaweza kuniambia sabab ya kutokumkubali kwako? Pia unasema kwamb haukubaliani na Mbowe kuendelea kukalia kiti cha uenyekiti kwa zaidi ya miaka kumi (2) swali je unaweza kuniambia sababu ya kutokukubaliana na utaratibu huo wa mwenyekiti au madhara unayoyaona ktk chama kutokana na kukaa kwake muda mrefu ktk nafasi ya uenyekiti taifa?
 
Nashukur mkuu kwa mtizamo wako lkn naomba nikuulize maswali mawili kama hautojali.. unasema kwamb ww haujawahi kumkubali Magufuli kwa nafasi ya uraisi toka awamu yake ya kwanza mpk hii ya pili ambayo hajaimaliza japo unajua ni mchapa kazi (1) swali je unaweza kuniambia sabab ya kutokumkubali kwako? Pia unasema kwamb haukubaliani na Mbowe kuendelea kukalia kiti cha uenyekiti kwa zaidi ya miaka kumi (2) swali je unaweza kuniambia sababu ya kutokukubaliana na utaratibu huo wa mwenyekiti au madhara unayoyaona ktk chama kutokana na kukaa kwake muda mrefu ktk nafasi ya uenyekiti taifa?

Naheshimu maswali yako mawili, ila sio sehemu ya mjadala huu, na isitoshe maswali ningeweza kuyajibu kwa usahihi yangekuwa kwenye nyuzi mbili tofauti. Ila naweza kukupa kidogo kama hutojali.

  1. Magufuli kweli alikuwa mchapakazi kazi, lakini sio rais aliyekuwa anaheshimu mifumo wala kufuata utaratibu. Alikuwa hajali sheria wala katiba, na sheria ama katiba alikuwa anaifuata pale inapokuwa inambeba yeye. Lakini hakujali sheria wala katiba alipotaka kufanya alitakalo hata kama ni kinyume cha sheria na katiba. Chini ya utawala wake mihimili yote ilikuwa dhaifu, na ilifanya atakavyo na sio itakiwavyo na ushahidi upo, huku mihimili hiyo ikishindwa kumzuia. Serikali yake ilijitoa kwenye uwazi na kuminya uhuru wa vyombo vya habari, ili kuficha ukweli, na kutoa taarifa za mafanikio kinyume na uhalisia (kupika data). Kiuchumi hakufanya vizuri kwani wafanyabiashara wengi walipoteza imani na sera zake zilizotegemea utashi wake na sio sheria. Ajira ni sehemu iliyomshinda kabisa. Upande wa demokrasia hili ni eneo lililoshusha uadilifu wake kwa kiwango kikubwa. Chini ya utawala wake tulishuhudia chaguzi za kinyama, kuhayawani na ukatili wa wazi, na haya yalikuwa ni maagizo yake. Kundi la kuteka, kuua na ushenzi mwingine kama huo lilikuwa na baraka zake. Alitumia kundi hili na vyombo vya dola kunyamazisha kila sauti ya ukosoaji, na alitumia magenge yake ya propaganda kutangaza ayatakayo, ikiwemo kuhadaa umma wa watu masikini wasio na uwezo wa kuhoji, maarufu kwa jina la wanyonge, ili kuficha udhalimu wa kimfumo aliokuwa akiuendesha nyuma ya pazia. Magufuli angeweza kuwa rais mzuri kwenye katiba kama ya Marekani, na sio hii inayoruhusu tabia binafsi za rais kuwa ndio za kuongozea nchi. Hapa inatosha.
  2. Mbowe kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi. Kimsingi mimi sio muumini wa kiongozi yoyote kukaa madarakani Zaidi ya miaka 10. Na uzoefu unaonyesha kuwa ubora wa kiongozi yeyote hauzidi miaka 10, na akizidi hapo huanza kutawala kwa mizengwe. Mifano ya viongozi waliokaa madarakani Zaidi ya miaka 10 na kuishia kuchemsha ni 1. Nyerere 2. Mugabe 3. Ghaddaf 4. Hosni Mubaraka 5. Elbashir 6. Paul Biya 7. Mobutu nk. Mbowe kama Mbowe alifanya vyema miaka 10 ya mwanzo, ila kwa sasa kafikia mwisho wa ubora wake, ndio maana unaona mivutano chamani inakuwa mingi, anaanza kuwa na wafuasi wake na sio chama, chaguzi zinagubikwa na mivutano ama kutoa matokeo yenye kuacha malalamiko yenye kutia shaka. Nafasi za uongozi zinatoka kwa upendeleo usio na picha nzuri. Kwa kiongozi mzuri, kosa la kumchukua kiongozi kama Lowassa aliyekuwa haamini falsafa au sera za Cdm, bali aliitumia cdm kama condom kufanikisha maslahi yake, na alipoyakosa akarudi alipokuwa, alipaswa kujiuzulu. Yale sasa ni madhaifu kuonyesha kiongozi kafikia mwisho wa ubora wake. Kwa ufupi huu hapa inatosha. Maelezo zaidi anzisha uzi rasmi wa hoja zako.
 
Back
Top Bottom