OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hatimaye wakuu wa EA wamepata chanjo ya kujikinga na gonjwa hatari la Corona, isipokuwa Rais wetu Mama Samia.
My Take
Uzi hauhitaji hoja yeyote,ni taarifa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mapema mno kujua ni njia ipi mkuu mpya wa nchi ya Tanzania, Mh. Rais Samia Suluhu Hassan atafuata katika masuala mbalimbali ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na ki-Geopolitiki ( kikanda na kimataifa).www.bloomberg.com › articles › m...
Most Mutated Covid-19 Variant Yet Found in Tanzania Travelers ...
23 hours ago — Krisp, which discovered a new strain in South Africa last year that propelled a resurgence of infections in the country, found......
The world’s most mutated coronavirus variant has been found in travellers from Tanzania, according to a new analysis submitted to the WHO.
Written by Bhavya Sukheja
![]()

He who alleges must prove. You allege kuwa mabomba hayana dawa, the burden is on you to prove.UNA UHAKIKA HIZO BOMBA ZINA DAWA?
AU ni for showing puplic...
TANZANIA HATUTAKI.
Sema hutaki wewe na familia yako, kama unayo lakini!UNA UHAKIKA HIZO BOMBA ZINA DAWA?
AU ni for showing puplic...
TANZANIA HATUTAKI.
Kuchoma ni chaguo la mtu, eti una huakika kama bomba zina dawa; huo upuuzi uko Tanzania tu kwa vile mna muda mwingi wa kuchezea na kudanganya watu.UNA UHAKIKA HIZO BOMBA ZINA DAWA???
AU ni for showing puplic...
TANZANIA HATUTAKI.
Hii tabia ya kusema kila kitu ni conspiracy ikome.Inawezekana wanatimiza masharti ya sponsor's kuonyesha wameipata chanjo hiyo
Kataa wewe binafsi usiunganishe wa TZ wote.UNA UHAKIKA HIZO BOMBA ZINA DAWA???
AU ni for showing puplic...
TANZANIA HATUTAKI.
Hivi Kagame na Museven walikuja?View attachment 1735780View attachment 1735781View attachment 1735782
Hatimaye wakuu wa EA wamepata chanjo ya kujikinga na gonjwa hatari la Corona, isipokuwa Rais wetu Mama Samia.
My Take
Uzi hauhitaji hoja yeyote,ni taarifa tu
Acha hao scientists wamalize utafiti wao wake na kitu kamili.Kataa wewe binafsi usiunganishe wa Tanzania wote...
Mungu atuhepushe na janga hili, maana kwa mikusanyiko ile ya wiki nzima isiyokuwa na tahadhari yoyote tunaweza kuongeza maombolezo baada ya kumaliza maombolezo.Acha hao scientists wamalize utafiti wao wake na kitu kamili.
Bado tunamalizia maombolezo ya msiba kwa sasa.
🤣My Take
Uzi hauhitaji hoja yeyote,ni taarifa