The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Kataa wewe binafsi usiunganishe wa TZ wote.
Huko nje wanasema kwamba:
"The most mutated variant of the coronavirus yet was found in travelers from Tanzania, prompting scientists to call for greater monitoring in a country that has largely ignored the pandemic".
Acha hao scientists wamalize utafiti wao wake na kitu kamili.
Bado tunamalizia maombolezo ya msiba kwa sasa.
Mungu atuhepushe na janga hili, maana kwa mikusanyiko ile ya wiki nzima isiyokuwa na tahadhari yoyote tunaweza kuongeza maombolezo badaya ya kumaliza maombolezo.
Kapten, walisema hivyo hivyo alipofariki Maalim Seif, na Unguja ilivyo ndogo, nikajua kisiwa kitabaki ukiwa, nikawahi bara kuepuka maambukizi ili nikakamatie beach plot, lakini hadi sasa tunavyoongea watu wanaendelea na maisha kama kawaida. Mbaya zaidi, warusi wamejaa kila kona ya mtaa.
Mungu ataendelea kuepushia mbali na kutufanyia wepesi.