osward mambo
Senior Member
- Jul 31, 2020
- 148
- 55
Tuleteni hizo chanjo.wanaohitaji
wachanjwe,,wasiotaka basi !!
wachanjwe,,wasiotaka basi !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye kazi ya kuthibitisha kuwa ameibiwa kuku ni mlalamikaji wala si mwizi wa kuku.UNA UHAKIKA HIZO BOMBA ZINA DAWA???
AU ni for showing puplic...
TANZANIA HATUTAKI.
Kama uzi hauhitaji hoja, hiyo taarifa si ungepeleka moja kwa moja Lumumba kwa wajinga wenzako ambao hawakumshauri Rais aanze kuchanja yeye kwanza na Makamu afuate wote wangekuwa hai wanachapa kazi. Rais aliyopo hana namna ya kupata Chanjo haraka maana Mtangulizi wake alikataa na kuzuia mgawo wetu wa bure toka WHO badala yake kuwa agizo lake waganga wa kienyeji wajanja wakaiuzia Serikali mashine feki za kujifukiza ambazo hata yeye mwenyewe hazikumsaidia. Rais aende Muhimbili, Mloganzila Mtangulizi hakufanikiwa!
katika kumuenzi jiwe?Sichomi Chanjo Ng'o labda wapite nyumba kwa nyumba na waje kwa kushtukiza
la sivyo nikijua leo wanakuja nyumba niliyopo Mbwa ntawafungulia saa 8 mchana...
This is stupidity Sweden walijitia kujaribu hii, wamefyekwa kweli! Jiwe alisema kwanza wakifa hawataisha, Thank God kaondoka yeye. Serendepity ni mauaji ya Kimbari!jia ya pili ni kuacha nature itake control. Acha virusi visambae hadi asilimia 70 ya watu wawe infected halafu badaye, watakaokufa wafe, watakaoishi watapata natural immunity
Hapanakatika kumuenzi jiwe?
Mbinyo wa Mataifa makubwa haukwepeki, nchi yetu ni ndogo sana (kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia) haiwezi kamwe kuwatunishia misuli haya mataifa makubwa.Kazi ipo, Tanzania chini ya CCM kwa mara nyingine tena inatengwa katika mkakati maalum wa kuwekewa mbinyo.
Je huu ni muendelezo wa njama kubwa ya "mabeberu" kutumia nchi jirani kuongeza kuichagiza Tanzania ibadilike siyo tu ktk masuala ya kijamii (afya n.k) bali hata masuala ya kidemokrasia, kisiasa na uchumi.
Ni mapema mno kujua ni njia ipi mkuu mpya wa nchi ya Tanzania, Mh. Rais Samia Suluhu Hassan atafuata katika masuala mbalimbali ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na ki-Geopolitiki ( kikanda na kimataifa).
Photo: H.E Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania
Ulisikia kauli ya mwisho ya Mganga Mkuu wa Serikali? Unajitia Uzalendo wakati hata uwajibikaji wa kutafuta habari hauna. Huo ndio uzalendo uchwaraUNA UHAKIKA HIZO BOMBA ZINA DAWA???
AU ni for showing puplic...
TANZANIA HATUTAKI.
Wacha uchawi mkuuMara paaap! Mmoja wao anapata, "blood clots" (mgando wa damu), nchi yake inakuwa kwenye maombolezo, tunamzika, tunamsahau, maisha yanaendelea.
Wacha tusubiri, tutaona matokeo yake.
Wapi Ulaya ambako walifanya tofauti na Sweden hawakufyekwa?This is stupidity Sweden walijitia kujaribu hii, wamefyekwa kweli! Jiwe alisema kwanza wakifa hawataisha, Thank God kaondoka yeye. Serendepity ni mauaji ya Kimbari!
Chanjo ya corona imepelekwa dunia kote ili wananchi wapate kuchanjwa kuepukana na ugonjwa wa corona ISIPOKUWA TU Tanzania. Jirani zetu kwa kuonyesha umuhimu wa chanjo hiyo Marais wa Uganda, Kenya wamepata chanjo hiyo hivyo ni wakati muafaka sasa Tanzania pia ikaiga nchi zingine duniani kuwaletea wananchi wake chanjo ya corona.
Watu hawafuati taratibu za kujikinga na corona na hadi leo bado wanamsifia Magufuli kwenye hili la Corona,sasa sijui kama muitikio wake utakuaje endapo zitaletwa hizo chanjo.Chanjo ya corona imepelekwa dunia kote ili wananchi wapate kuchanjwa kuepukana na ugonjwa wa corona ISIPOKUWA TU Tanzania. Jirani zetu kwa kuonyesha umuhimu wa chanjo hiyo Marais wa Uganda, Kenya wamepata chanjo hiyo hivyo ni wakati muafaka sasa Tanzania pia ikaiga nchi zingine duniani kuwaletea wananchi wake chanjo ya corona.